Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmetuacha mbali kwenye nini mzee.? Miradi ya nyumba ya serikali au. .?
Sasa ni nini mko nayo mpya kando na hizo mmeshinda mkipost wiki nzima? And then huku hatutegemei nyumba kama hizo kujengwa tu na serikali ndio ziwepo. Gated communities are almost everywhere in Nairobi na sio miradi ya serikali
 
Sasa ni nini mko nayo mpya kando na hizo mmeshinda mkipost wiki nzima? And then huku hatutegemei nyumba kama hizo kujengwa tu na serikali ndio ziwepo. Gated communities are almost everywhere in Nairobi na sio miradi ya serikali
Hii miradi mzee wangu ipo mingi mno, ipo nchi nzima in case you don't know, na hata hizo gated communities dar zipo za kushato ni vile Mazingira ya kurusha drone DSM ni magumu sana na vlogas wengi wanatumia kuiba ili kuonyesha uzur wa dar, lakini siku nikipata nafasi nitafanya hiyo shughuli mwenyewe na ndio mtakapojua kwamba tulishawapitaga mbali sana,.. nyie kwenye barabara tena barabara za ndani ya Nairobi kidogo ndio mtatuumiza vichwa Ila tofauti na barabara za ndani ya Nairobi hakuna kitu kingine mnaweza kutushinda
 
Kwenye hili swala la brt wakenya wamekurpuka sana aisee wapende wasipende ila kwa mradi wamebugi , wewe imagine wakati wa pick hours itakuje Kwenye izo marked brt roads
Kwani wanaakili hawa mzee, Rais wao mlevi ndio anawapoteza maboya
 
Wanaongelea BRT ya Kenya but wanatumia picha za TazView attachment 1781441
Ndo zao hizo 🙄🙄👇👇👇
Screenshot_20210512-073437_YouTube.jpg
 
Back
Top Bottom