Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa huyo mzungu wako aambiwe saa hii achague sehemu ya kuishi kati ya Tandika middle income estate na Ruai 'slum' unafikiri atachagua wapi kati ya hizi sehemu mbili?

Tandika middle income estate
View attachment 1782153

Ruai 'slum'
View attachment 1782154

Tofauti ni kama ardhi na mbingu
Mbona slums ziko nyingi sana lakini chakushangaa sioni ukizitaja au nikuleter list hapa 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇
Hzi ni chache hebu tuguse hapa alaf tufananishe na tandale au tandika ukitoka hapo wewe mwanaume 🤣🤣👇👇👇 nakutajia chache kwanza
 
Sasa huyo mzungu wako aambiwe saa hii achague sehemu ya kuishi kati ya Tandika middle income estate na Ruai 'slum' unafikiri atachagua wapi kati ya hizi sehemu mbili?

Tandika middle income estate
View attachment 1782153

Ruai 'slum'
View attachment 1782154

Tofauti ni kama ardhi na mbingu
Ww unaeza fananisha tandika na kariobangi ???? Umeona tofaut kwann slum hakuna tanzania na hutakaa kuziskia mpaka dunia inasmama🤣🤣🤣🤣🤣🤣 unaeza fananisha tandale na mathare ???? Mzungu sio mpumbavu kama ww boga kila siku nakwambia
 
niliskia kua unajua kenya hadi chupi zao..hebu nieleze apo ni eneo gani?na ni stage za matatu za kuenda wapi?
Mwambie dada yako aniulize hilo swali alaf nitamjibu wala usipate shida 🤣🤣🤣
 
Jifunze kutawadha kwanza.
Mzee hiyo hisibati ni yako na mama Ngina. Sisi tunafanya hisabati mwanangu.
Unajua Calculus wewe!?
Nitatafuta ile ujinga yako nipige screenshot nilete hapa watanzania wenzako waone jinsi IT expert wao ni pumba
 
Nitatafuta ile ujinga yako nipige screenshot nilete hapa watanzania wenzako waone jinsi IT expert wao ni pumba
Wewe njoo leo tumalizane watchman
nairobi kuna slums zaidi ya 20 hzo slums wanaishi nguruwe au watu 🤣🤣🤣🤣 unaenda sehemu unachukua vipicha vya estate alaf unafananisha na tandika mbona huchukui zehemu za nguruwe kama mathare ukafananisha na tandika tujue kwann mzungu hakuona slum 😄😄😄
 
Kwahio mama ngina ndio aliwatia ujinga huo hvi wewe kama kenya ina average ya 40% unemployment rate unategemea middle class gani hao, hzo estate mostly ni investors za mtu mmoja mmoja wakiwemo politicians na wajanja baadhi, leo utaniambia unashindana na tanzania kwenye middle class economy wakat mtanzania kazi anayo opportunities zipo, social services bei nafuu ardhi bei nafuuu na vifaa vya kujenga nyumba bei nafuu east africa yote 😀😀 sasa leo hata tukiangalia umiliki wa ardhi hapo nairobi ni wachache sana na wengi wamuna ndoto ya maisha wala ya kumiliki ardhi kazi iliobakia ni kusongamana kwenye slums over 70%🤣🤣🤣🤣🤣 na kama unabisha sema
Let me tell you a country like Tunisia,Israel,Morocco is Small countries be but TZ hamtowai wafikia na Ulazy wenu,Sasa Mkijilinganisha na Kenya mmepotea kwanza ipiteni Angola ama Ndio muanze kujigamba,Wacheni maringo ya peni mbili,TZ is Slum😢🤣🤣🤣🤣🤣
 
Let me tell you a country like Tunisia,Israel,Morocco is Small countries be but TZ hamtowai wafikia na Ulazy wenu,Sasa Mkijilinganisha na Kenya mmepotea kwanza ipiteni Angola ama Ndio muanze kujigamba,Wacheni maringo ya peni mbili,TZ is Slum😢🤣🤣🤣🤣🤣
Nani alikwambia tanzania ina muda kujilinganisha na failed state sisi hatuna slum mzee hatuwezi fanana mpaka dunia itasimama🤣🤣🤣🤣 sasa pambaneni kwanza na maisha manake ajira zenyewe hamuna maisha magumu vitu bei ghali sijui munajifananisha na nani labda mujifananishe na zimbabwe manake muliekwa kundi moja na world bank🤣🤣🤣👇👇👇
 
Nilimcheki kwa ule uzi wa avocado, kwao ndo amesoma sana😁
Kumbe uliiona! Jamaa msomi mtoto wa bongo alijiaibisha mbele ya umma. Yani nilicheka sana ile hesabu yake. Na vile alikuwa serious hadi anajiita IT expert 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kumbe uliiona! Jamaa msomi mtoto wa bongo alijiaibisha mbele ya umma. Yani nilicheka sana ile hesabu yake. Na vile alikuwa serious hadi anajiita IT expert 🤣 🤣 🤣 🤣
Kwanzia siku hiyo nilimdharau sana yani😀
 
Na huyu anaskuma nini CBD🤣🤣👇👇👇 na kama anapeleka maji ferry kwenye soko la samaki utasemaje?? Kwasababu soko la samaki lipo CBd near ikulu View attachment 1782210
Nilishakuambia mwenye tulikuwa tunajadiliana naye kuhusu hili alishashindwa akaachana nayo. Sasa wewe unakuja hapa mara ferry mara ikulu mara samaki mara cbd. Nairobi kuna ferry? Na ni nani alikuambia ikulu yetu iko karibu na cbd? Huna hoja wala jibu kaka nyamaza
 
Back
Top Bottom