Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Usifanye nikuweke kundi moja na Ichoboy na dadake The best 007 😁Hizo video hapo ni wapi mdogo angu.? Sio kenya hapo.? 😂😂 Mnataka kutulisha matango.?
Usifanye nikuweke kundi moja na Ichoboy na dadake The best 007 😁Hizo video hapo ni wapi mdogo angu.? Sio kenya hapo.? 😂😂 Mnataka kutulisha matango.?
Usidhani mimi ninafanana na mama Ngina. 🤣 🤣 🤣 Chang'aa imekula medulla oblongata yako.Usione aibu post maziwa na toothpick kama kawaida yako😀
Na ni cheaper ku own gas than kununua gunia moja ya makaa! Hawa hawajui Kenya, gas is taking over, na tunangoja gas ya mama Samia.,Usituforce tufanane, gesi kenya si luxury ni neccessity lazima umiliki. Mkipigwa bao kubalini mbona tuusan amekubali bila ubishi.
Gunia la mkaa ni cheap San pwani. ..kule moshi mkaa ni ghali kiasi...Mimi natumia mkaa gas na umeme me pamoja nikijaza mtungi wa 30kg natumia 3months,apo inaenda sambamba na mkaa...siku gas ikiisha natumia plate za umemeNa ni cheaper ku own gas than kununua gunia moja ya makaa! Hawa hawajui Kenya, gas is taking over, na tunangoja gas ya mama Samia.,
Sasa huyo mzungu wako aambiwe saa hii achague sehemu ya kuishi kati ya Tandika middle income estate na Ruai 'slum' unafikiri atachagua wapi kati ya hizi sehemu mbili?Ukhekhekhekhekhekhe boga mwenzio kasema hii ni slum ama 🤣🤣🤣👇👇👇 Nicxie hvi nyinyi munafkiri mzungu ni mpumbavu kama nyinyi View attachment 1781853View attachment 1781855
Yani umeenda ukadownload picha ya ubongo uniwekee, lazima umeumia vibaya sana. 😁😁😁 ugua poleUsidhani mimi ninafanana na mama Ngina. 🤣 🤣 🤣 Chang'aa imekula medulla oblongata yako.
View attachment 1782090
Huna balance kwenye brain yako.
Sitaki kukuita wewe ni mpumbavu, kwa sababu wewe ni zaidi ya upumbavu wenyewe.
Huyu ni yule smomi wa hisibati aliyetufanyiea hesabu za ajabu ajabu kwenye uzi fulani humu ndani. Yani alijiaibisha aise! Anajiita IT expert 😂 😂Huyu ndo yule taahira wakupost maziwa, haya leo post tena tucheke😂
Unasubuliwa na safura. Muone daktari. Acha kula vyakula ovyo ovyo kibera.Yani umeenda ukadownload picha ya ubongo uniwekee, lazima umeumia vibaya sana. 😁😁😁 ugua pole
Hapa hakuna mama Ngina wa kukutetea. Umeacha kusoma hesabu umeingia kwenye hisabati nikuulize maswali!?Huyu ni yule smomi wa hisibati aliyetufanyiea hesabu za ajabu ajabu kwenye uzi fulani humu ndani. Yani alijiaibisha aise! Anajiita IT expert 😂 😂
We could be poor but not this poor. Tatu bora hatupokenya ukitoa nairobi wanaishi m,aisha ya dhiki sana, poor kenyans
Braza yangu ameoa mturkana🥰😛Nipe mfano wa m'Turkana aliyeoa mkikuyu.
Nyie wakenya huwa hamtawadhi baada ya kukata gogo. Huwa mnatembea na matamahuruku kwenye nguo zenu.We could be poor but not this poor. Tatu bora hatupoView attachment 1782179
IT expert 😂 😂 😂 😂Hapa hakuna mama Ngina wa kukutetea. Umeacha kusoma hesabu umeingia kwenye hisabati nikuulize maswali!?
Jifunze kutawadha kwanza.IT expert 😂 😂 😂 😂
No wonder wengi wenu wanakuja Kenya kusoma. Sio kwa jinsi ulivyokata ile hisibati kwa shoka
Nikama Afghanistan 😆🤣🤣🤣🤣
Braza yangu ameoa mturkana🥰😛
Mi Ni Mkenya😎🇰🇪🔥🔥Kwani wee ni mkikuyu. Wee si ni Pokot.
🤣🤣🤣
Sasa iko wapi scandal Hapa?🤔