Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
We ni mpumbavu kweli humsikii waziri akisema huyo mama ni m'bena mtu wa Iringa? 😅😅😅😅 Wivu wako ni next levelHuyo mama sio mtu mweusi. Wacha uongo zako.
We ni mpumbavu kweli humsikii waziri akisema huyo mama ni m'bena mtu wa Iringa? 😅😅😅😅 Wivu wako ni next levelHuyo mama sio mtu mweusi. Wacha uongo zako.
Wabena ni watu wa Germany? 😂😂😂😂Huyo mama sii Mweusi, Ila huyu ni Mweusi. Anaitwa Tabitha Karanja. Google her.
View attachment 1780387
Wafanjaa na watumwa wa Libya hamna akili ya kivumbua chochoteTanzania ni nchi ya kuigwa? Mna nini ya kuiga nyie malazy? Hizi ni vitu zipo hadi uzunguni sasa sijui na wao kawaiga nyie!
😂😂😂😂 Eti hamtupendi? Kwani nani hata anataka kupendwa na ninyi? 🤣🤣🤣Kuelimisha mitanzania ni balaa!, alafu wanasema hatuwapendi but ni fikra zao zinashangaza.,
Subiri kaka,,ata ya Thika superhighway mlisema haitajengwa,,jionee BRT station ikijengwa sasa
View attachment 1781056
View attachment 1781057
View attachment 1781058
Watz wengi wanaishi vijijiniHuku kenya, gesi katika nyumba ni swala la lazima sababu makaa bei ghali sana, nashangaa bado tz mnatumia kuni.
hiv hamjionni kuwa mnakurupuka na kuchekesha sana?? hiv hiz vibanda vinaweza kuaccomodate abiria during peak hours?? au ndo watapanga folen hadi nje hadi barabara za pili huko.. vyetu vyenyewe nilivyovikubwa watu wanapanga folen hadi nje sembuse hiv vibanda vyenu? mnakurupuka kama mlivyojenga the ultra modern terminal in nairobi
pia, hapo sion usalama wowote wa kuzuia watu kuingia bila kulipa.. kunaonekana kbsa kipo level sawa na barabara
nyingine geza kaeleza kwenye zile ngazi za kwenda kwenye footbridge, mmewaconsider walemavu wanaotumia vile vibaiskel vyao?
Na jinsi wakivyojenga hapo Kati na Chini chini..gari ikikosea njia inakivaa kituo chotre..very risky..hawajiulizi why ss vituo vipo juuhiv hamjionni kuwa mnakurupuka na kuchekesha sana?? hiv hiz vibanda vinaweza kuaccomodate abiria during peak hours?? au ndo watapanga folen hadi nje hadi barabara za pili huko.. vyetu vyenyewe nilivyovikubwa watu wanapanga folen hadi nje sembuse hiv vibanda vyenu? mnakurupuka kama mlivyojenga the ultra modern terminal in nairobi
pia, hapo sion usalama wowote wa kuzuia watu kuingia bila kulipa.. kunaonekana kbsa kipo level sawa na barabara
nyingine geza kaeleza kwenye zile ngazi za kwenda kwenye footbridge, mmewaconsider walemavu wanaotumia vile vibaiskel vyao?
Tuna misitu ya kutosha mkaa bei nafuu japokuwa swala la kutunza hifadhi zetu ndo inatulazimu kuangalia njia mbadala mojawapo ni gesi,bio fuel etcHuku kenya, gesi katika nyumba ni swala la lazima sababu makaa bei ghali sana, nashangaa bado tz mnatumia kuni.
Na jinsi wakivyojenga hapo Kati na Chini chini..gari ikikosea njia inakivaa kituo chotre..very risky..hawajiulizi why ss vituo vipo juu


Huyo Eric Hamisi waliomuweka TPA ni bomb
Mtu anayeiweza hiyo TPA ni former managing director, sijui hata aliewashauri wamweke Eric ni nani, anyway ndio tofauti za uongozi hizoarudishwe kule kwenye meli.. huku sidhan kama anapaweza
Arudishwe vp wakati kule kashawekwa mtu? mama anahitaji kupangua watu zaidi haswa kitengo cha IT!arudishwe kule kwenye meli.. huku sidhan kama anapaweza