President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Imepenya hiyo. Lazima mwili usisimke.Very poor quality road. Quality mbovu sana hii.
Imepenya hiyo. Lazima mwili usisimke.Very poor quality road. Quality mbovu sana hii.
Sasa unataka nitype kama mama Ngina 🤣 🤣🤣Yani dume zima unatype kama dadako😁😁 ndo manake usenge hauishi dar😁😀
Type kama magufuli the bulldozer😂Sasa unataka nitype kama mama Ngina 🤣 🤣🤣
Umia pole,,hii Ni phase one pekee,, phase 2 iko njiani na itakuwa na huge parking building size ya hio yenu ya magufuli😁😁Na wenye 16 lanes waite nn kma hio 8lanes inaitwa super?? 😂😂😂 au ndio maana ile ushuzi mliofungua juzi mukaita ultra modern👇👇👇👇👇 View attachment 1780145View attachment 1780146
Eti Thika superhighway Ni 8 lanes😂😂😂😂mamayoo,,,10-12 lanes,,Tz yote hakuna lanes Kama hiziUmia pole,,hii Ni phase one pekee,, phase 2 iko njiani na itakuwa na huge parking building size ya hio yenu ya magufuli😁😁
This will almost size ya Thika superhighwayView attachment 1780382View attachment 1780383View attachment 1780384
Western bypass, uhuru is trying hard in terms of road without too much PR like the late dictator.
Kunyaland mtu mweusi mwenye uwezo wa kuwekeza hivyo lazima atakua mwanasiasa,huwezi kukuta raia wa kawaida ana mshiko wa maana
Kwahiyo umeanza kunipangia cha kuandika!? Huu ushenzi nani kakufunza!?Type kama magufuli the bulldozer😂
Eti na wanalinganisha mwanza na Mombasa interms of roads😂😂View attachment 1780361View attachment 1780368View attachment 1780362
Tanzanians must learn, changamwe interchange in Mombasa, one of a kind in EA😍
#uhurunakazi😍👏View attachment 1780361View attachment 1780368View attachment 1780362
Tanzanians must learn, changamwe interchange in Mombasa, one of a kind in EA😍
And it dwarfs kibaha highway in tanzaniaThis will almost size ya Thika superhighway
Eti Thika superhighway Ni 8 lanes😂😂😂😂mamayoo,,,10-12 lanes,,Tz yote hakuna lanes Kama hizi
Nakwambia expressway si ya kuchezea,,itatoa Thika superhighway jasho😍View attachment 1780411
Best road in EA but will be rivaled by the expressway😎
Nakwambia expressway si ya kuchezea,,itatoa Thika superhighway jasho😍
Angalia kuanzia dakika ya name... nikipata zaidi ntashare..
Hii hapa Chini angalia mahindi choma sekunde ya 036.
Kwa na red soil ni mazingira mabovu? Wewe akili ya kuazima utawacha lini?Ss km red cc tufanyeje, it's non of our business nenda ambia aliyesababisha muwe na mazingira mbovu naturally.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku ndio kule Dar vijijini? 😂Mambo yapo mwishoni kabisa
View attachment 1780322View attachment 1780323View attachment 1780324View attachment 1780325
So ishu Ni muda au ishu ni hizo biashara holela?Video ya kwanza sijaona unachojaribu kudhibitisha ,so labda ufafanue zaidi. Video ya pili ni pale OTC, junction ya Landhies Road na Racecourse Road kama sijakosea. Kama unafahamu Nairobi vizuri, utagundua kwamba hapo ndio 'entrance' ya kuingia katikati mwa mji kwa magari zote kutoka Eastlands, Juja rd na Thika rd. Hapo hujaingia cbd haswa!
Kuhusu huyo mtu wa kuchoma mahindi, hata wewe unaona ni mtu mmoja tu kumaanisha sio jambo la kawaida kwa sababu wangekuwa wengine hapo. Halafu utapata video ilichukliwa mida za jioni ambapo ndio hua wanavamia sehemu nyingi maeneo hayo (downtown generally)