Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Misumari hii imeacha maumivu makubwa kwa wakunya
IMG_20210511_200340.jpg
 
Wewe mpumbavu kweli
Hili ni soko la dhahabu yaani hapo wanunuzi wa dhahabu ni wa bongo na wana uwezo hata wa kununua hundreds of gold kilograms kwenda kuiuza Dubai

Fanya tena analysis yako ya kipumbavu


Unaniwekea video ya brokers wadogo wadogo. Una kichaa wewe.
 
Hizo pesa mpaka watanzania watalipa😁😁😁😁 mmezoea kutumia miradi yetu bure, leo mmepatikana😂😂😂
Yani hii ni mess nyingine kenyatta kaandika kwenye historia ya kenya 🤣🤣🤣 baada ya SGR na lamu port
 
Huku kenya, gesi katika nyumba ni swala la lazima sababu makaa bei ghali sana, nashangaa bado tz mnatumia kuni.
Hujaelewa point ya tuusan kasema planing ya kupeleka mabomba majumbani sio zike gas za kununua kwenye cylinder huku zimejaa watu wanazo na bei nzuri tu yeye anazungumzia mabomba direct to homes hio kwenu ni historia ya miaka 100 mbele🤣🤣
 
Yani hii ni mess nyingine kenyatta kaandika kwenye historia ya kenya 🤣🤣🤣 baada ya SGR na lamu port
Yani aeke hela yake pale alaf alipe basi atakua mwendawazimu 🤣🤣🤣🤣🤣 hio ni mess mzee
Hii barabara tunalipa sote jiulize kwanini imeanzia JKIA😁😁 wageni ikiwemo malazy ndo mtalipa sana, akili kubwa😝😝
 
Hii barabara tunalipa sote jiulize kwanini imeanzia JKIA😁😁 wageni ikiwemo malazy ndo mtalipa sana, akili kubwa😝😝
So mchina akilipa alaf hela yake inaenda kwa nani???😅😅😅 ni sawa na kutoa mfuko wa shati kuweka wa suruali ama ni namna gani

miaka 30 mchina anachukua ushuru na ajira za uhakika juu hahahhahah aisee 😂😂😂
 
Back
Top Bottom