Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bro elewa point yangu....huyu ana uwezo wa kujinunulia gari...and yes JPM alikua anagawa pesa but kwa watu wa hali ya chini sio hawa waliokula keki ya inchi miaka nenda miaka rudi..
Hana hivi unajua benefits za marais Tanzania hata suala la kupewa nyumba ni JPM alilipitisha! Hebu pitia packages za retirement Urais Kenya halafu urudi!
 
Hana hivi unajua benefits za marais Tanzania hata suala la kupewa nyumba ni JPM alilipitisha! Hebu pitia packages za retirement Urais Kenya halafu urudi!
Benefits za Nyumba if am not mistaken ni sheria ya 1999 sema si Mkapa wala JK aliewahi kutekeleza, JPM alivyoingia akalitekeleza kwa kuwajengea wastaafu hao nyumba km sheria inavyoelekeza maana sheria inataka hivyo, i cant blame him kwa kutekeleza sheria..
But zawadi ya birthday haipo kwenye sheria yoyote na ndio maana huyu mzee kila mwaka anaadhimisha birthday yake bt hajawahi kupewa gari km zawadi kutoka serikalini until today.
 
Benefits za Nyumba if am not mistaken ni sheria ya 1999 sema si Mkapa wala JK aliewahi kutekeleza, JPM alivyoingia akalitekeleza kwa kuwajengea wastaafu hao nyumba km sheria inavyoelekeza maana sheria inataka hivyo, i cant blame him kwa kutekeleza sheria..
But zawadi ya birthday haipo kwenye sheria yoyote na ndio maana huyu mzee kila mwaka anaadhimisha birthday yake bt hajawahi kupewa gari km zawadi kutoka serikalini until today.
Mzee unatuchosha. Ujuaji mwingi mbele kiza.
Kumpatia mtu zawadi mpaka sheria iandike!? Vipi raisi alipotoa zawadi ya Tausi kwa uhuru imeandikwa wapi!?

Sisi tunafikiria mambo makubwa viti hivi vidogo vidogo waachie MMU.
 
Screenshot_20210508-050035_2.jpg
Screenshot_20210508-142812_2.jpg
Screenshot_20210508-142325_1.jpg
Screenshot_20210508-142344_1.jpg

Upcoming EA most beautiful city 🔥🔥🔥

DODOMA
 
Mzee unatuchosha. Ujuaji mwingi mbele kiza.
Kumpatia mtu zawadi mpaka sheria iandike!? Vipi raisi alipotoa zawadi ya Tausi kwa uhuru imeandikwa wapi!?
Dont make it personal mzee...km nakuchosha unaweza kupiga kimya tu mkuu sio lazima kunijibu...how much is that tausi worth? Je alinunuliwa au alitolewa kwenye mabanda ya ikulu?
I real appreciate all the effort you guys have been putting to raise our motherland flag high but we need to learn to agree to disagree without disrepecting each other...
 
Dont make it personal mzee...km nakuchosha unaweza kupiga kimya tu mkuu sio lazima kunijibu...how much is that tausi worth? Je alinunuliwa au alitolewa kwenye mabanda ya ikulu?
I real appreciate all the effort you guys have been putting to raise our motherland flag high but we need to learn to agree to disagree without disrepecting each other...
Wewe kanakuuma kagari kamoja tu.
Kwani Tausi mmoja anauzwa how much!?
Yani zawadi ya kagari aina ya saloon kanakuuma!!? Utaweza kuhonga mwanamke kweli wewe!?

Inamaana Mama Suluhu hana uwezo wa kununua gari!? Hebu acha utoto basi.
 
Wewe kanakuuma kagari kamoja tu.
Kwani Tausi mmoja anauzwa how much!?
Yani zawadi ya kagari aina ya saloon kanakuuma!!? Utaweza kuhonga mwanamke kweli wewe!?

Inamaana Mama Suluhu hana uwezo wa kununua gari!? Hebu acha utoto basi.
Watu walioshiwa hoja always wanakimbilia kwenye personal attacks...its not worth it.
 
ndio umeishia hapo!? Nimekuuliza mama Samia hana uwezo wa kununua gari kwa pesa yake ya mshahara!?
Inawezekana anao bt hilo gari hajanunua kwa pesa yake and thus why kwa mdomo wake mwenyewe kasema kwa niaba ya serikali leo tunampatia benzi la chini ambalo litampa raha kwenye safari zake sasa km ww unaona hio ni kauli ya kulinunua binafsi au benzi alilopatiwa ni ka saloon tu then its okay...Tunatofautia uelewa and i respect that.
 
Inawezekana anao bt hilo gari hajanunua kwa pesa yake and thus why kwa mdomo wake mwenyewe kasema kwa niaba ya serikali leo tunampatia benzi la chini ambalo litampa raha kwenye safari zake sasa km ww unaona hio ni kauli ya kulinunua binafsi au benzi alilopatiwa ni ka saloon tu then its okay...Tunatofautia uelewa and i respect that.
Kwani serikali ikimnunulia Mzee wa ruksa benzi mpya kunashida!?
 
Back
Top Bottom