NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Wamepuyanga sana,500 companies kwa usd 1.7 bln!ni kichekesho cha hali ya juu!
Wakati wanasema wanadominate, Wanacontrol Tanzanian Economy



.Wamepuyanga sana,500 companies kwa usd 1.7 bln!ni kichekesho cha hali ya juu!



.30 Tanzanian Companies Invest 178 Million USD and create 3000 Jobs in Kenya
530 Kenyan Companies invest 1.7 Billion USD and create 51087 Jobs in Tanzania.
Wadau wa Uchumi hebu Chambueni Hapo tupate Madini.![]()
Angalia hesabu hizi30 Tanzanian Companies Invest 178 Million USD and create 3000 Jobs in Kenya
530 Kenyan Companies invest 1.7 Billion USD and create 51087 Jobs in Tanzania.
Wadau wa Uchumi hebu Chambueni Hapo tupate Madini.![]()


Superior everywhere.


Heresay vs facts on groundKungekua na Makapuni 530 ya Tz Kenya kwa average ya Mshiko wa hao 30 Companies walio invest , wangekua wameinvest jumla ya 3.14 Billion USD.![]()
, you guys need to be studied for real
almost kama kampuni 300 tu tunawachalaza tena nazaidi ,,,ila hiyo ni mahesabu tu ya juu juu maana sisi huwa hatufungui vikampuni vya uchochoroni...30 Tanzanian Companies Invest 178 Million USD and create 3000 Jobs in Kenya
530 Kenyan Companies invest 1.7 Billion USD and create 51087 Jobs in Tanzania.
Wadau wa Uchumi hebu Chambueni Hapo tupate Madini.![]()



Waseme nn wkt wanachungulia wanasepa, yn wastani wa kampuni zetu ni kwamba kila moja ime invest at least usd 6mil while their ushuzi companies zina average ya only usd3.2 mil investment each, so kuanzia leo huwezi kuwasikia tena wakiongelea ushuzi wa investment abroad, km wanabisha waruhusu wawekezaji wetu waingie kwao kirahisi ili waelewe somohuu ukweli, wenyewe hawapendi ujue
au kwan wao wenyewe wanasemaje![]()




wakiruhu washua wao watadrop kiuchùmi live bila chengaWaseme nn wkt wanachungulia wanasepa, yn wastani wa kampuni zetu ni kwamba kila moja ime invest at least usd 6mil while their ushuzi companies zina average ya only usd3.2 mil investment each, so kuanzia leo huwezi kuwasikia tena wakiongelea ushuzi wa investment abroad, km wanabisha waruhusu wawekezaji wetu waingie kwao kirahisi ili waelewe somo
Sent using Jamii Forums mobile app




wakenya ni kunguni tuWakenya passion na huu uzi naona inaondoka kila kukicha, walikuwa hawajui ss wameujua ukweli unaouma
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapiga kiwi viatu...na wauza mahindi ya kuchemsha hakuna? Nahisi ata boda boda hakuna CBD...na yake matoroli ya maji wanayotembeza watu Kule..au CBD Ni wapi?Nionyeshe picha ya muuza miwa Nairobi cbd au vibanda za mama ntilie katikati mwa jiji
Huwa nawaza sana nikitazama bendera ya Kenya
View attachment 1777350

Pimbi huyo anaropoka tuu hajui kitu achana naeKojoa ulale kwanza