Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

30 Tanzanian Companies Invest 178 Million USD and create 3000 Jobs in Kenya

530 Kenyan Companies invest 1.7 Billion USD and create 51087 Jobs in Tanzania.

Wadau wa Uchumi hebu Chambueni Hapo tupate Madini.

IMG_1620575540.451282.jpg
 
30 Tanzanian Companies Invest 178 Million USD and create 3000 Jobs in Kenya

530 Kenyan Companies invest 1.7 Billion USD and create 51087 Jobs in Tanzania.

Wadau wa Uchumi hebu Chambueni Hapo tupate Madini.
Angalia hesabu hizi

30 Tanzanian companies zime invest $178mil in Kenya, while 530 companies from Kenya zime invest $1.7b in Tz.

Sasa tuangalie uwiano ili tuone nani mbabaishaji hapa.

30 companies = 178,000,000 usd
530 companies = ? Usd


30coys × ? Usd =530coys ×178,000,000usd

? Usd = 530 × 178,000,000 / 30

? = 3,144,666,667usd

Kwahiyo hizi kampuni uchwara toka kenya zilitakiwa zi invest $3.1bn kulingana na sisi tulichoki invest kwao.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kungekua na Makapuni 530 ya Tz Kenya kwa average ya Mshiko wa hao 30 Companies walio invest , wangekua wameinvest jumla ya 3.14 Billion USD.
Heresay vs facts on ground , you guys need to be studied for real
 
30 Tanzanian Companies Invest 178 Million USD and create 3000 Jobs in Kenya

530 Kenyan Companies invest 1.7 Billion USD and create 51087 Jobs in Tanzania.

Wadau wa Uchumi hebu Chambueni Hapo tupate Madini.
almost kama kampuni 300 tu tunawachalaza tena nazaidi ,,,ila hiyo ni mahesabu tu ya juu juu maana sisi huwa hatufungui vikampuni vya uchochoroni...

hapo tunawapiga kwa kampuni mia tu
 
huu ukweli, wenyewe hawapendi ujue
au kwan wao wenyewe wanasemaje
Waseme nn wkt wanachungulia wanasepa, yn wastani wa kampuni zetu ni kwamba kila moja ime invest at least usd 6mil while their ushuzi companies zina average ya only usd3.2 mil investment each, so kuanzia leo huwezi kuwasikia tena wakiongelea ushuzi wa investment abroad, km wanabisha waruhusu wawekezaji wetu waingie kwao kirahisi ili waelewe somo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waseme nn wkt wanachungulia wanasepa, yn wastani wa kampuni zetu ni kwamba kila moja ime invest at least usd 6mil while their ushuzi companies zina average ya only usd3.2 mil investment each, so kuanzia leo huwezi kuwasikia tena wakiongelea ushuzi wa investment abroad, km wanabisha waruhusu wawekezaji wetu waingie kwao kirahisi ili waelewe somo

Sent using Jamii Forums mobile app
wakiruhu washua wao watadrop kiuchùmi live bila chenga
 
Nionyeshe picha ya muuza miwa Nairobi cbd au vibanda za mama ntilie katikati mwa jiji
Wapiga kiwi viatu...na wauza mahindi ya kuchemsha hakuna? Nahisi ata boda boda hakuna CBD...na yake matoroli ya maji wanayotembeza watu Kule..au CBD Ni wapi?
 
Back
Top Bottom