Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani anashobokea mkenya huku wewe mama,nyie ndio mnaishoboka pumbavu ndio maana sio Rais au wasanii wa bongo wakija kenya huko inakua habari kubwa kama sikukuu ya nchi
Umesema vizuri sana raisi na wasanii wenu ndo wanapewa attention huku, huko kwenu a normal kenyan is very respected.
 
IMG_7199.jpg
 
hayo masuala ya waafrika weusi na weupe hilo nalo pia tumewaachia ....

mnajidhihirisha ni jinsi gani mind set zenu zimekaa kimatabaka/kubaguana

ila vip kuhisu uko kwenu kulikoni naona washua wenu hapo walioishika kenya
mfaño huo chiniView attachment 1778579
Mmeruachia wakati kila mara mnatuambia jinsi nchi yetu imemilikiwa na mabebetu? Acheni unafiki. Alafu weka list yote ya top 20 na ufananishe na la Tanzania. Stop cherry picking.
 
Mmeruachia wakati kila mara mnatuambia jinsi nchi yetu imemilikiwa na mabebetu? Acheni unafiki. Alafu weka list yote ya top 20 na ufananishe na la Tanzania. Stop cherry picking.
hakuna cha unafki....

ni mwendo wa kentatta family kudadeki mbona mtaisoma namba

mwendo wa wanasiasa ...

tumewaachia hizo harakati za sijui mkenya mweusi,mara ooh sijui mkenya mweupe mara ooh sijui mkenya mjaruo mara sijui mkenya mkikuyu,,,

hizo mambo sisi hatuna endeleeni na akili za makalioni
 
hayo masuala ya waafrika weusi na weupe hilo nalo pia tumewaachia ....

mnajidhihirisha ni jinsi gani mind set zenu zimekaa kimatabaka/kubaguana

ila vip kuhisu uko kwenu kulikoni naona washua wenu hapo walioishika kenya
mfaño huo chiniView attachment 1778579
Ukiwaambia walete list ya matajiri wa Kenya tofauti na wazungu, wahindi au waarabu wanakuletea wanasiasa, utakuta mtu analeta jina la Kenyatta, joho et al kwamba ni tajiri, Wakenya ni wehu sn wallahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Lake Oil Station, Ingekua Hiyo Picha ya Tz ungeskia mkenya akisema “ Great to see Kenyan Companies Dominating in Tanzania” .
It is just one of the 53 Tanzanian companies operating in Kenya. Kenya has over 500 companies operating in Tanzania. So is it a lie that we are dominating? Kama unatia shaka, tafuta hotuba ya Mama SSH akihutubia bunge la Kenya - amezungumzia hili swala
 
hakuna cha unafki....

ni mwendo wa kentatta family kudadeki mbona mtaisoma namba

mwendo wa wanasiasa ...

tumewaachia hizo harakati za sijui mkenya mweusi,mara ooh sijui mkenya mweupe mara ooh sijui mkenya mjaruo mara sijui mkenya mkikuyu,,,

hizo mambo sisi hatuna endeleeni na akili za makalioni

'Mmetuachia' mlipogundua matajiri wote huko kwenu ni Wahindi na Waarabu, otherwise mngekuwa mshatufungulia mathread. Unadhani hatumjui nyinyi wanafiki.🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom