The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,529
Tutajie matajiri wa5 weusi Kenya, sisi wapo na mmoja wao alikuwa very popular huko kwenu, anaitwa the late Reginald Mengi.'Mmetuachia' mlipogundua matajiri wote huko kwenu ni Wahindi na Waarabu, otherwise mngekuwa mshatufungulia mathread. Unadhani hatumjui nyinyi wanafiki.![]()
Wewe binafsi unapesa ngapi, nionyeshe balance ya mobile money.Tutajie matajiri wa5 weusi Kenya, sisi wapo na mmoja wao alikuwa very popular huko kwenu, anaitwa the late Reginald Mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataja aliye kaburini Sasa?🤣🤣Tutajie matajiri wa5 weusi Kenya, sisi wapo na mmoja wao alikuwa very popular huko kwenu, anaitwa the late Reginald Mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahaaaNionyeshe picha ya muuza miwa Nairobi cbd au vibanda za mama ntilie katikati mwa jiji






Kwahiyo mali zake nazo zipo kaburini, kampuni zake nazo zimemfata kaburini au sio? Kwnn mnauwezo mdogo hivi Wakenya?Unataja aliye kaburini Sasa?
Yani Hamna Tajiri Mweusi top 10 hapo Bongo?
Halafu hao Wahindi wenu bado ni either politicians or connected to politicians. Usidhani hatujui hiyo nchi yenu.
Usifosi tufanane, sisi tuna matajiri wengi more than twice yours.Unataja aliye kaburini Sasa?
Yani Hamna Tajiri Mweusi top 10 hapo Bongo?
Halafu hao Wahindi wenu bado ni either politicians or connected to politicians. Usidhani hatujui hiyo nchi yenu.
Over 500 companies with only $1.7bn huoni aibu? Hizo kampuni ukiacha zile za wazungu na waarabu mfano DTB, au KCB ni ushuzi mtupu na ndiyo maana ya hiyo $1.7bn, simply trashIt is just one of the 53 Tanzanian companies operating in Kenya. Kenya has over 500 companies operating in Tanzania. So is it a lie that we are dominating? Kama unatia shaka, tafuta hotuba ya Mama SSH akihutubia bunge la Kenya - amezungumzia hili swala

Mo dewji ashakuwa mbunge unapinga??😂😂Usifosi tufanane, sisi tuna matajiri wengi more than twice yours.
Sent using Jamii Forums mobile app



, hayo maji ya mtaro na masela watakua wanayanyonya tu pamoja na utamu wa Miwa 


.Bingolala, just let it sink in your head, then accept and move on. Hizi kelele unapiga hapa won't change anything and won't make more Tanzanian companies to invest in Kenya if they can't compete effectively.Over 500 companies with only $1.7bn huoni aibu? Hizo kampuni ukiacha zile za wazungu na waarabu mfano DTB, au KCB ni ushuzi mtupu na ndiyo maana ya hiyo $1.7bn, simply trash
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee natamani nirudi home sweet home tunaelekea huku polepole tutafika🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪Wakenya ona kama Europe yani adi raha onaababa laoo
View attachment 1754556View attachment 1754557
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ni mtaani kaka (sehemu za makazi). 😂 😂 😂 Huko miwa huuzwa tena sana lakini cbd huwezipata ujinga kama huo. Sasa leta pia vibanda za mama ntilie cbd tumalize hii story 😂 😂
Wewe kweli mwehu. Hao ni hawkers ambao hata Dar wanapatikana ndani ya mji. Ama unataka nikiluletee hawkers wa Dar? Hawkers hawana permanent structures kama zile zenu za mama ntilie za TPA. Ndio maana unaona kila siku ni watu wa kufukuzana na askiri wa jiji.Hii hapa zaidi ya muuza miwa na mama ntilieView attachment 1778642View attachment 1778643View attachment 1778644View attachment 1778645View attachment 1778646View attachment 1778647View attachment 1778648View attachment 1778649View attachment 1778650View attachment 1778651View attachment 1778653View attachment 1778654View attachment 1778655View attachment 1778656View attachment 1778657
Sent using Jamii Forums mobile app
duuuuhh!!! unafki tena!!! huna hoja mzee,,,'Mmetuachia' mlipogundua matajiri wote huko kwenu ni Wahindi na Waarabu, otherwise mngekuwa mshatufungulia mathread. Unadhani hatumjui nyinyi wanafiki.![]()




kudadekiKnight Frank 2021 hawakubaliani nawe. 🤣 🤣 🤣duuuuhh!!! unafki tena!!! huna hoja mzee,,,
tuna zaidi ya dollar millionaire 10,000/= sasa hapo jiongeze mzee
kKnight Frank 2021 hawakubaliani nawe.![]()
![]()
![]()


unajirisha matango pori.Ubungo sio Japan in world bank,acha kupiga RAMLIJust imagine ubungo interchange( best road in tz) is a donation by japanese govt to poor tz, jamani kweli tz level yenu burundi