Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

S70k hapo nilipunguza tu,ilala nyumba zinauzwa zaidi ya pesa hiyo,na wanaonunua hapo wananunua kiwanja kwani wanavunja hizo nyumba na kujenga ghorofa,na kuhusu muonekano wa roof usikutishe,hapo ni mitaa ya kueleweka dada
Mada ilianzia hapa
Wapi mahali nimetaja Ubungo hapo? Mbona unatapatapa?
Sasa wewe ukaanza kutaja ubungo, so Ubungo ipo ilala?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
New York of Africa inachemsha sehemu nyingi aiseh! 😂 😂 😂
Yani planning ni zero right from the city center to residential areas!
Samaki wabichi wanauzwa dar CBD, kwanuka uvundo mbaya😷😷
images (7).jpeg
images (9).jpeg
 
Kwahiyo hizo za ubungo zipo ilala

Aliyekuingiza mkenge ni mkunya mwenzako ambaye kazi yake huwa ni kuvamia comment za watu bila kuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mtanganyika mwenzako ndio alitaja Ilala baada ya kukosa majibu kuhusu mjadala wa vibanda zilizopi kando ya Ubungo flyover. It was just his clever way of evading the topic of discussion. Jaribu kufuatilia discussion
 
Ni mtanganyika mwenzako ndio alitaja Ilala baada ya kukosa majibu kuhusu mjadala wa vibanda zilizopi kando ya Ubungo flyover. It was just his clever way of evading the topic of discussion. Jaribu kufuatilia discussion
We mwehu tu unaniletea wivu wako wa Ubungo interchange mimi, km 3level hakuna kwenu pita mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakuaje kwetu wakati definition ya three-level interchange yenyewe hujui?

Wewe nilishakuambia ni mjinga wa kupuuzwa tu. Kwa jinsi unavyorukaruka!
Huyo jamaa ndo alivyo, yuko desparate, akileta utoto just ignore him
 
Naona serikali imeanza kutoa zawadi za bethidei...hii inatoka fungu gani ktk bajeti?
I dont agree with iasee...mtu anaelipwa 80% ya msharaha wa raisi aliepo madarakani bado anazawadiwa gari worth milions of state money just to make him confy while kuna vijiji havina zahanati...naona wimbo wa kubana matumizi umefika mwisho.
Ntakukumbuka sana JPM, uliwainua sana watu wa chini ila now naona alienacho anazidi kuongezewa.
 
Back
Top Bottom