Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kwahio kariakoo level yake ni hapo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ujumbe umeupata
images (6).jpeg
 
Kariakoo ni soko kumbe๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ tuchekeni kwa pamoja ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Nicxie bhn yn miaka yote humu alikuwa anajua The mighty Ubungo three level interchange ipo kkoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mshenzi tuu...ni wapi nimesema ubungo iko kariakor? Leta udhahidi mahali nimesema hivyo fala wewe. Ulishindwa kujibu hoja za Ubungo ukafululiza hadi kariakor kutafuta picha kisha unaweka maneno kinywani mwangu! Wewe unafaa tu kupuuzwa
 
Katoroka ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ vipi kariakoo huitaki tena. Just imagine the top estate in lazyland is just a noisy open air flea market,,,๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜View attachment 1777711View attachment 1777707
Kw hivyo anakataa kwamba kariakor sio residential area! ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ Huenda hata yeye anaona aibu presidential area juwa katikati mwa jiji
 
Kw hivyo anakataa kwamba kariakor sio residential area! ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ Huenda hata yeye anaona aibu presidential area juwa katikati mwa jiji
Kariakoo is a mix of residential area and noisy market in the middle of a city. Very bad combination i tell you.
 
Kariakoo is a mix of residential area and noisy market in the middle of a city. Very bad combination i tell you.
New York of Africa inachemsha sehemu nyingi aiseh! ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Yani planning ni zero right from the city center to residential areas!
 
Back
Top Bottom