Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna mtu sijamuelewa hapa kwenye forum, husema kwamba mzungu akisema kitu ndo hivyo basi??? Akili gani hii??? Kwani mzungu ndiye mungu wake au vipi??? Akasema hapa kuwa mzungu amesema Umoja, Donholm yani Eastlando in Nairobi ni Slum. Sawa iwe ni slum, na kama hapa ni Slum, Dar ita itwa nini??????? Maana hapa pameshinda Dar mara Ishirini.

View attachment 1775793

View attachment 1775794

View attachment 1775795


Kama nadanganya, mtu achukue muda wake akatazame zile video humu za ujenzi wa SGR Dar. Zina aerial views nzuri za kufunga mjadala.
Barabara iko sawa ila izo nyumba ni cheap ,nothing to brag abt
 
H

Huu ni upuuzi sasa. Si ilikuwa $1 billion. Sasa imehamia hadi $2.5 billion. Hii ni white elephant na haitajengwa.
Dar-Mombasa pipeline will be about 600 km with half of that $2.5 bln be chested by each country through private financing. I believe from Tanga Uganda branch will be under consideration.

The price can be known whether reasonable or not only when detailed design is completed. Mind u Mtwara-Dar gas pipeline (533 km) was built at a cost of $1.25 bln in 2013!
 
Leo nimepita kariakoo wanatangaziwa kwamba wanapewa wiki moja kama sikosei, haitakiwi raia kupita barabarani, so wamachinga wanatakiwa waondoke.

Ofcz ktk vitu ambavyo JPM alikuwa ananiudhi ni hapa kwa wachuuzi, haiwezekani mtu aweke banda lake popote pale, maanake nn ss? Watu wamejenga vibanda kwenye side walks zen raia waliojengewa wanapita barabarani, hii ckuwahi kuikubali na sitoweza kuikubali hata kdg.

Sent using Jamii Forums mobile app
This is major menace all over Africa. Its not something government wakes up and just decides to kick them out without an alternative.
These guys are poor and they also need to make money
 
The next apology 😅😅😅

Things keep getting tougher

Kazi iendelee tafadhali



These are small issues nothing to be proud of whether an apology is made or not there is a real issue raised. African are very petty man
 
Mm hua nakwambia wakenya ni watu wenye roho mbaya na wivu juu ya tanzania yani mgonvi wao wakwanza ni maendeleo ya tanzania hawataki kabisa kuskia tanzania inaendelea na bado mutaamini😀😀
As long as you are in this world people will talk about you, you are not leaving in isolation in an island people discuss about Mars, what about tz now
 
As long as you are in this world people will talk about you, you are not leaving in isolation in an island people discuss about Mars, what about tz now
Bahati mbaya ni wakenya pekee wanaoizungumzia Tanzania. Kunasiri gani imejificha!? Hebu niambie.
 
Ukiweka ugoko tunaweka jiwe.
Dar kama Dar
View attachment 1776576
Muongeze na hii [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
IMG_20210506_065713_523.jpg
IMG_20210506_065709_178.jpg
IMG_20210428_073035_734.jpg
IMG_20210428_073029_746.jpg
IMG_20210428_073015_667.jpg
IMG_20210428_073024_697.jpg
IMG_20210428_073015_667.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Do you believe in what you have written
100% sure bahat nzuri sana mm wakenya nawajua mpaka chupi zao manake nimeishi nao nimetembea hio nchi karibua yote huna chakunidanganya wewe 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom