Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leta sample
Mbona unataka tujaze server wakati tumezipost huku huu mwaka wa tatu sasa?
Anyway, hii hapa Jacaranda Gardens kule mtaa wa Kahawa West, just an ordinary neighborhood
images (35).jpeg
images (34).jpeg
images (38).jpeg
images (36).jpeg
images (37).jpeg
images (41).jpeg
 
Kwa mujibu wa comment hii aliyeshituka ni wewe. Umezoea huku unalialia kama mtoto anayenyonya maziwa ya mama yake!!!
Ukweli ni kwamba hizi miradi zinawapa goosebumps kinoma. Unakumbuka kuna wakati mlikuwa mkiziita 'dormitories zinazofanana' when we used to post such here? Leo mnazishabikia 😂 😂
 
Ukweli ni kwamba hizi miradi zinawapa goosebumps kinoma. Unakumbuka kuna wakati mlikuwa mkiziita 'dormitories zinazofanana' when we used to post such here? Leo mnazishabikia 😂 😂
Unapenda utani siyo. Nairobi Nyumba zake ni za kizamani.
 
Zinaubora ,naona umekua makini this time
Zipo nyingi tu kaka ila hakuna haja ya kujaza server. Kumbuka huu mfumo wa gated communities tuliukumbatia kitambo so such developments are almost everywhere
 
Zipo nyingi tu kaka ila hakuna haja ya kujaza server. Kumbuka huu mfumo wa gated communities tuliukumbatia kitambo so such developments are almost everywhere
Najua ila most of em hazinamvuto
 
Najua ila most of em hazinamvuto
Kila mtu ana mtazamo tofauti. One man's meat is another man's poison. Huenda mimi pia sivutiwi na za kwenu ila kwa macho zako zinaweza kuwa tu sawa. That's the beauty of life
 
Back
Top Bottom