Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Magufuli amefanya Rais wa Tanzania aogopeke na aheshimiwe sn, ona Wakenya wanavyomtetemekea Samia bado wanahisia za kimagu magu viumbe wengine atari yn mtu kafa lkn bado anatawala[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi uhuru kachaguliwa tena kuwa Rais wao Magufuli hakuhuthuria uapisho, ilikua national debate Kenya why JPM didn't attend
 
IMG_7198.jpg
 
We fala kweli yn Azam anauzia wazungu huko ulaya na wamekubali standards eti we mnuka mavi wa mathare unasema hazina standard unajisikia lkn [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii 👇 hataki kujibu 😂😂😂. Na mwenzake bwana Mapesa 😂😂😂 . Bwana mapesa a.k.a mzee wa bugatti . Eti Azam haina standards 😂😂.. muite hapa aje
 
Profits ya Azam ni ngapi?.,can it stand with Kenya's top 5 even kwa profits?😂😂😂 kilaza., usinijibu hili najua., endelea kujitekenya na kucheka dogo.😂😂 Azam ni TV😂😂😂.,
Bro,the family has an estimated worth zaidi ya billions of US dollars and you really think itazidiwa na kampuni za kenya ambazo hata hazifahamiki?
 
Bro,the family has an estimated worth zaidi ya billions of US dollars and you really think itazidiwa na kampuni za kenya ambazo hata hazifahamiki?
Nimecheka pale makampuni zaidi ya 500 kutoka Kenya kuunvest only $1.7bn yn ukifanya average ya kila moja imeinvest kiasi gani ndio utajua hizo kampuni 500 ni km za washona viatu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Waruhusu wawekezaji from Tz waende Kenya alafu muone kwnn Tz tuna millionaires wengi EA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ziara ya Samia ni kuwafaidisha zaidi Kenya kuliko Tz.

Magufuli alishawawekea vikwazo na maisha yetu yakawa kawaida tu. Na tulishawasahau.

Nchi nzima ya Ke wamewekeza $1.7bn? Hiyo ni revenue ya Azam kwa mwaka.
Yani Kenya watakuja kutumia Rasilimali ZETU kutajirisha nchi yao alafu sisi serikal yetu inafuraia Ajira za mishahara ya laki laki yani kwenye Rasilimali ZETU tunapata asilimia 1% ya 100 alafu 99% zinaenda Kenya kwa kutupoza wanasema tukauze maind [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yani Kenya watakuja kutumia Rasilimali ZETU kutajirisha nchi yao alafu sisi serikal yetu inafuraia Ajira za mishahara ya laki laki yani kwenye Rasilimali ZETU tunapata asilimia 1% ya 100 alafu 99% zinaenda Kenya kwa kutupoza wanasema tukauze maind [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kojoa ulale kwanza
 
Back
Top Bottom