Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,947
- 34,996
Tunakuja sasa ๐๐๐๐
Mama angethubutu kutamka wakenya nao waje Tz kufanya kazi Tanzania bila work permit kesho Teargass na familia yake yote wangekua dar lux,but bi mkuu kaukwepa huu mitego yote,sio ajira utalii wala avition hotuba zake zote kakomaa na ushirikiano wa kibiashara tu ๐ ,biashara biashara biashara ๐