Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

. Uliambiwa ukabisha haya SASA majibu hayo hapo, nyie hamtuwezi hata kidogo na tukipata fursa ya kufanya investment kwenu basi ujue ndio tumewatawala, mnatuogopa na vibiasha vyenu ucharwa


huyu ndo mwamba sasa, na uwekezaji wake unakuaga sio wa kitoto

hiv mmenotice wawekezaji (individuals not companies) wa kitanzania wana nguvu (mitaji) kuliko wa kikenya .. MO, Bakhresa, Rostam , Asas na yule wa Lake Oil wakiwekeza kenya kwa ujumla watawekeza zaid ya $1b
 
huyu ndo mwamba sasa, na uwekezaji wake unakuaga sio wa kitoto

hiv mmenotice wawekezaji (individuals not companies) wa kitanzania wana nguvu (mitaji) kuliko wa kikenya .. MO, Bakhresa, Rostam na yule wa Lake Oil wakiwekeza kenya watawekeza zaid ya $1b
Unafkiri hawayajui hayo wakenya.? Wanayajua yote hayo wanaogopa kupigwa bao tu.. tz ipo vizur bhana .. hii EA hakuna nchi ya kushindana na tz kwasasa
 
acha ubishi wakitoto wafanyabiashara wa nchi mbili wapo hapo nairobi wanazungumza kero zao ,,,
wewe usiye na biashara hata ya shoe shine unabishana nao we kama nani upinge[emoji1787][emoji1787]
Hunijui Kaka,mie naeza nunua Bugati na Niichome,unasikia naweza nunua mpaka ikulu yenu🤣🤣🤣🤣Don't think you know me,Niuraigwa wee kigui Giki??
 
Hunijui Kaka,mie naeza nunua Bugati na Niichome,unasikia naweza nunua mpaka ikulu yenu🤣🤣🤣🤣Don't think you know me,Niuraigwa wee kigui Giki??
Bro The best 007 naomba ukaenayo hii☝️ kwa matumiz ya baadae 😂😂😂, usiweze kununua huo uchafu wenu hapo eti ikulu uje uweze kununua ikulu ya bongo.? 😂😂
 
makampuni 500 ya kikenya wametumia 1.7b$ Tanzania .. akina MO, Bakhresa, Rostam, ASAS na Lake Oil pekee wanaweza kuwekeza zaid ya 1b$ kwa pamoja
Oilcom and camel oil unawaeka wapi?? Wakat oilcom anavituo na depo mombasa nairobi and kisumu 🤣🤣🤣
AB549094-A0F8-408F-BB47-2A9376CC3629.jpeg
 
huyu ndo mwamba sasa, na uwekezaji wake unakuaga sio wa kitoto

hiv mmenotice wawekezaji (individuals not companies) wa kitanzania wana nguvu (mitaji) kuliko wa kikenya .. MO, Bakhresa, Rostam , Asas na yule wa Lake Oil wakiwekeza kenya kwa ujumla watawekeza zaid ya $1b
yaan wafanya biashara watatu wa bongo wakiwekeza kenya wanafunika wafanyabiashara wao 500 waliowekeza tz kwa vikampuni uchwara[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23] Hawa jamaa vipi.? Nimemtaka huyu jomba Yosef Festo ataje kampuni kubwa za uko kwao Kenya anazodai eti zinaingiza faida kubwa kuliko kampuni za tz, naona anaruka ruka tu eti wao wanapata faida kubwa [emoji23][emoji23][emoji23] hovyo kabisa
hawezi kuleta,,,,,,hawakawii kuleta bank na safaricom ambayo kwa kenya ndiyo inaonekana ikiingiza mpunga
 
Hunijui Kaka,mie naeza nunua Bugati na Niichome,unasikia naweza nunua mpaka ikulu yenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Don't think you know me,Niuraigwa wee kigui Giki??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa mzee wa bugatti hongera
 
yaan wafanya biashara watatu wa bongo wakiwekeza kenya wanafunika wafanyabiashara wao 500 waliowekeza tz kwa vikampuni uchwara[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja Tuone,Sasa hivi Ni Fair trade,Mutajua hamjui my Friends🤑🇰🇪
 
Kumbe hili jomba jinga sana 😂😂😂. SASA hata investment za Azam hakuna kampuni ya Kenya inayoweza kufukia , mtatuzid vipi kwenye faida SASA.?😂😂 .. et Azam ni tv .. 😂😂.. taja kampuni kubwa kama Azam moja tu acha kujifurahisha kakaangu ,alaf tulinganshe hapa investment zao na impact yao ..sio eti unataja taja profit alaf vikampuni vyenyewe ni vikampuni uchwara .. taja kampuni best/top turukenayo tulinganshe na kampuni za tz mbona simple tu bro
Wewe ni kilaza kabisaa!., Kaa ukijua., hujui popularity sio mapato, Azam ni TV(decoder) na football club😂😂😂.,so kwasabavy wengi mnatazama Azam Tv n club mnadhani Azam sasa ndio kusema 😂😂😂, weka annual profit yao tuone hawezi kua wa kwanza hata hiyo Tz yenyewe😂.,
 
hatujuani mzee,hapa hakuna ushabiki,,,,
ukichat na watu jf usijifanye ndiyo umemjua mtu

msifie mtu ili bichwa livimbe zaidi ila moyoni unajua ukweli wako huwa funa wang'ong'a kisogoni,,

hujui watz vizuri wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Imekuingia kikamilifu😂😂.,
 
Wewe ni kilaza kabisaa!., Kaa ukijua., hujui popularity sio mapato, Azam ni TV(decoder) na football club😂😂😂.,so kwasabavy wengi mnatazama Azam Tv n club mnadhani Azam sasa ndio kusema 😂😂😂, weka annual profit yao tuone hawezi kua wa kwanza hata hiyo Tz yenyewe😂.,
Ww kataa kubali azam kashika coast ya kenya na baadhi ya maeneo ya bara kenya na tusibishane kwa hili nakwambia 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom