Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huu ndiyo ukweli wa mambo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

kenya na wafanyabiashara yake wanahofia sana wawekezaji wa Rz coz wanajua chamoto kitakachowatokeaView attachment 1774084
Na kama ningeweza kumjibu ni eti waTanzania wachache ndio wako na uwezo wa kuwekeza nje ya nchi yao., how many tried but failed?., Hawawezi kufika kumi nakuambia!., A sober discussion there, wacha tuone matunda yake.
 
Mama amefunga mjadala, ameisifu Nairobi na kukubali ni half London. Sasa kama Rais kakubali na yeye ni Rais wa pili kusema hivyo wewe ni nani upinge

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app

huwez kuja kwangu afu ukaanza kusema mbona nina masofa machafu hiv na ya low quality .. lazima usifie.. mf ‘wow una TV nzuri hiv, nimeipenda ‘
 
Nakumbuka hiyo niliandikiaga thread

huo ndiyo ukweli na upo wazi,,wakenya tumewapa sana nafasi ila wao ni mziki utapigwa dana dana mpaka basi ,,,

na anko wangu alitaka kufanya jambo kubwa sana kenya la kibiashara lakini kilichomkuta ni kanjanja tu za kutosha akaamua kuvuka upande mwingine,,
wafanya biashara wa kikenya na serikali yao kwa ujumla ni waoga sana kwa Tz ,wanahofia sana market yao kushikwa na wafanyabiashara wa Tz
 
Nakumbuka hiyo niliandikiaga thread

Idiotic policies za mwendazake za kushtukia na covid19 restrictions played a huge role, which was felt globally, haimaanishi eti it's the norm chief CCM propagandist., think!😂 Mama anaweka mambo sawa EAC, blind patriots hamuna lenyu.
 
Na kama ningeweza kumjibu ni eti waTanzania wachache ndio wako na uwezo wa kuwekeza nje ya nchi yao., how many tried but failed?., Hawawezi kufika kumi nakuambia!., A sober discussion there, wacha tuone matunda yake.
[emoji1787][emoji1787] usiupinge ukweli mzee ojwani,
watz huwa hatufungui vikampuni uchwara sisi tukija kuwekeza tunawekeza kweli na kwa taarifa yako kama haujui wafanyabiashara wote wakubwa wa tz waliotaka kufungua viwanda kenya government yenu ikishirikiana na baadhi ya wafanyabiashara waliwaletea figisu figisu mpaka wakastopisha mipango...

Azam akianzisha kiwanda huko atateka soko la kenya nzima..

ninyi ni waoga mpo radhi kuweka mzungu ila Mtz akitaka kufanya jambo huko huwa mnajikanyaga kwa kuweka figisu
 
huo ndiyo ukweli na upo wazi,,wakenya tumewapa sana nafasi ila wao ni mziki utapigwa dana dana mpaka basi ,,,

na anko wangu alitaka kufanya jambo kubwa sana kenya la kibiashara lakini kilichomkuta ni kanjanja tu za kutosha akaamua kuvuka upande mwingine,,
wafanya biashara wa kikenya na serikali yao kwa ujumla ni waoga sana kwa Tz ,wanahofia sana market yao kushikwa na wafanyabiashara wa Tz
Eti waoga, ni nyie hamuna mental frame ya ku survive any global business environment that need shrewdness and some level of intelligence to navigate through. Jikubali wacha vijisababu uchwara, ukweli uko wazi., basi kama ni ukweli mko sawa na tunawaogopa mngekua DRC kuliko Kenya😂😂, kuna soko kubwa kule! utasema Kenya imewafungia?., Na Burundi and Rwanda je? Hawa ni majirani zenyu mbona bado Kenya inawafunga bao huko? South Sudan? Ghana? Inaonyesha fikra zako ni outright fallacious! East Africa nyie wanyonge sana ikija biashara nje ya border zenu, waganda wamewashinda kwa hili., na soon Rwanda wako njiani.,
 
huu ndiyo ukweli wa mambo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

kenya na wafanyabiashara yake wanahofia sana wawekezaji wa Rz coz wanajua chamoto kitakachowatokeaView attachment 1774084
Azam angefanikiwa kuingia mombasa nadhani sasa hivi angeshaiteka mombasa yote kwa bidhaa zake.

Ila kwenye zile energy drinks zake ameiteka kinoma.
 
[emoji1787][emoji1787] usiupinge ukweli mzee ojwani,
watz huwa hatufungui vikampuni uchwara sisi tukija kuwekeza tunawekeza kweli na kwa taarifa yako kama haujui wafanyabiashara wote wakubwa wa tz waliotaka kufungua viwanda kenya government yenu ikishirikiana na baadhi ya wafanyabiashara waliwaletea figisu figisu mpaka wakastopisha mipango...

Azam akianzisha kiwanda huko atateka soko la kenya nzima..

ninyi ni waoga mpo radhi kuweka mzungu ila Mtz akitaka kufanya jambo huko huwa mnajikanyaga kwa kuweka figisu
Azam has weak products, he sells a lot in Mombasa, very useless stuff, kule coast ako na watu wa ukoo wake na marafiki, huyu Kenya hatoboi, poor standards za products zake haziwezi survive here, energy drinks na juice ziko na after taste!!., Kenya shoprite walishindwa wakafunganya virago ndio Azam ataweza? Abaki tu kwa media, pengine atajaribu kidogo.
 
Eti waoga, ni nyie hamuna mental frame ya ku survive any global business environment that need shrewdness and some level of intelligence to navigate through. Jikubali wacha vijisababu uchwara, ukweli uko wazi., basi kama ni ujweklli mko sawa na tunawaogopa mngekua DRC kuliko Kenya😂😂, kuna soko kubwa kule! utasema Kenya imewafungia?., Na Burundi and Rwanda je? Hawa ni majirani zenyu mbona bado Kenya inawafunga bao huko? South Sudan? Ghana? Inaonyesha fikra zako ni outright fallacious! East Africa nyie wanyonge sana ikija biashara nje ya border zenu, waganda wamewashinda kwa hili., na soon Rwanda wako njiani.,
. Uliambiwa ukabisha haya SASA majibu hayo hapo, nyie hamtuwezi hata kidogo na tukipata fursa ya kufanya investment kwenu basi ujue ndio tumewatawala, mnatuogopa na vibiasha vyenu ucharwa
 
Nairobi estates,,prezo Suluhu aliona hizi akitua jkia,,haamini ako Kenya,,sa anita Nairobi Europe 😂😂😂😂

FB_IMG_16202085588251873.jpg


FB_IMG_16202085207772230.jpg


FB_IMG_16202085139784402.jpg
 
Azam has weak products, he sells a lot in Mombasa, very useless stuff, kule coast ako na watu wa ukoo wake na marafiki, huyu Kenya hatoboi, poor standards za products zake haziwezi survive here, energy drinks na juice ziko na after taste!!., Kenya shoprite walishindwa wakafunganya virago ndio Azam ataweza? Abaki tu kwa media, pengine atajaribu kidogo.
Acha kujidanganya we bwege heb taja brand tofauti na brand za tz, ambayo inaweza kuwa competitive na brand ya Azam.? 😂😂 Ila we jamaa unajipa moyo sana,sisi tz ndio tunamiliki AE biggest brands
 
. Uliambiwa ukabisha haya SASA majibu hayo hapo, nyie hamtuwezi hata kidogo na tukipata fursa ya kufanya investment kwenu basi ujue ndio tumewatawala, mnatuogopa na vibiasha vyenu ucharwa

Prove that by showing me other investments mumewekeza kwa neutral ground vs Kenya, kwa mfano DRC, Rwanda, Uganda, Burundi, Ghana, Zambia, Nigeria, South Sudan etc., kama mko na uwezo, wacha kupiga kifua yenye hamuna😂😂., Kama ni ukweli kwa sasa hivi hayo makampuni yangekua yameteka soko la EAC na SADC kuliko Kenya., na pia profits zao inalazimu mkusanye makampuni kama zaidi ya tano ndio ilingane na mapato ya the best from Kenya,😂 mapato ya 10 best performing companies za Kenya kwa ujumla ni zaidi ya kampuni zenu 30 to 40! Unajua hilo?.,
 
Eti waoga, ni nyie hamuna mental frame ya ku survive any global business environment that need shrewdness and some level of intelligence to navigate through. Jikubali wacha vijisababu uchwara, ukweli uko wazi., basi kama ni ukweli mko sawa na tunawaogopa mngekua DRC kuliko Kenya[emoji23][emoji23], kuna soko kubwa kule! utasema Kenya imewafungia?., Na Burundi and Rwanda je? Hawa ni majirani zenyu mbona bado Kenya inawafunga bao huko? South Sudan? Ghana? Inaonyesha fikra zako ni outright fallacious! East Africa nyie wanyonge sana ikija biashara nje ya border zenu, waganda wamewashinda kwa hili., na soon Rwanda wako njiani.,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] acheni uwoga,,waambieni wafanyabiashara wenu na hiyo government yenu kuwa wafungue spana ,Tz haiji kenya kuchukua nchi bali inakuja kuteka biashara ueoga hauna maana,,,
huku sisi tunawakaribisha mje kufanya biashara tena mje wengi tu wakutosha
 
Acha kujidanganya we bwege heb taja brand tofauti na brand za tz, ambayo inaweza kuwa competitive na brand ya Azam.? 😂😂 Ila we jamaa unajipa moyo sana,sisi tz ndio tunamiliki AE biggest brands
😂😂😂😂😂 can't argue with blind patriotism.😂😂😂.,
 
Azam has weak products, he sells a lot in Mombasa, very useless stuff, kule coast ako na watu wa ukoo wake na marafiki, huyu Kenya hatoboi, poor standards za products zake haziwezi survive here, energy drinks na juice ziko na after taste!!., Kenya shoprite walishindwa wakafunganya virago ndio Azam ataweza? Abaki tu kwa media, pengine atajaribu kidogo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti poor product.....

yaani unatokwa na mapovu hadi matakoni,,,,,

usipende kuropoka hovyo,,,unadhani kwanin azam kapigwa pin huko kujenga kiwanda..

huyu jamaa akiingia huko anateka uchumi wote wa kenya
 
Prove that by showing me other investments mumewekeza kwa neutral ground vs Kenya, kwa mfano DRC, Rwanda, Uganda, Burundi, Ghana, Zambia, Nigeria, South Sudan etc., kama mko na uwezo, wacha kupiga kifua yenye hamuna😂😂., Kama ni ukweli kwa sasa hivi hayo makampuni yangekua yameteka soko la EAC na SADC kuliko Kenya., na pia profits zao inalazimu mkusanye makampuni kama zaidi ya tano ndio ilingane na mapato ya the best from Kenya,😂 mapato ya 10 best performing companies za Kenya kwa ujumla ni zaidi ya kampuni zenu 30 to 40! Unajua hilo?.,
We mjomba huwezi kuwa na akili timamu, heb taja kampuni kubwa hapo kwenu kenya ambayo inaweza kushindana hata na Azam tu kwamfano.? Infact sisi tunauza bidhaa nyingi uko rwanda, Burundi, Congo n.k .. binafsi hakuna bidhaa za kenya popular tz,
 
. Uliambiwa ukabisha haya SASA majibu hayo hapo, nyie hamtuwezi hata kidogo na tukipata fursa ya kufanya investment kwenu basi ujue ndio tumewatawala, mnatuogopa na vibiasha vyenu ucharwa
ni kweli kabisa hawa majamaa ni waoga sana,,,kenya inaihofia sana Tz,,,
 
Back
Top Bottom