Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua kuna maswali unaniuliza ninaweza nikeshe nikikujibu?

Na kikuuliza kwanini Marekani sasa hivi ina female Vice President na ni black woman utanijibu nini?
Nikikujibu ni njia ya kurudisha imani kwa washirika na dunia kwa ujumla hawa baada trump kuvurunda....ntakuwa nimekosea?
 
ichoboy01 ulisema 88 Nairobi haitajengwa, what can you say now😂😂. I promise you that this building will get completed before your Mzizima tower which was started in 2013👇👇

View attachment 1769884
Kwani ni uongo kwamba construction haikuanza 2013??🤣🤣🤣🤣 au pia unabisha jengeni kwanza alaf muongee sasa acheni mturuki ajenge afanye investment akimaliza sasa panueni makalio yenu hapa, kwani pinnacle ilikuaje sasa limebaki shimo la mavi pale 🤣🤣🤣🤣
 
Huku tukijenga majengo kila siku nyinyi sidhani kama mtapata proposal yeyote hadi mwaka 2050
Proposal bila utekelezaji ni sawa na zero kuna render mia mbili alaf alaf hakuna utekelezaji hausaidiii 🤣🤣🤣 sisi tunataka kuona concrete jungle alaf mupanue ushuzi sasa
 
Na hakuna mahali madini yenyu imepeleka Tanzania Imagine,Do you know in Kenya only 4% of minerals are Touched na inaletanga $11.5billion yearly,96% percent of mineral in Kenya are untouched,Usisahau Tuna Madini yote
11.5 b dollar au 11b ksh naona umechanganya chai na soda🤣🤣🤣
 
Iko hivi, sisi wazalendo tunasema hakuna baya nchi yangu itafanya bali watu tuliowapa madaraka ndio watafanya mabaya, so mm siwezi kukubali Tz ikisemwa vibaya kivyovyote vile ila kiongozi atayeifanyia mabaya Tz nitammulika na siwezi muacha kmy kmy, eti nianze kusema ooh Tz cjui ipo nyuma ya fala gn cjui ninini, huo usenge mm binafsi siwezi, nikiona imeshindikana bora kuondoka kwenye hii battle lkn daima siwezi isemea mby nchi yng mana naipenda kuliko demu wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikishindikana naachana na hii battle, simple like that, eti atokee fala mmoja anifanye nianze kuigeuka nchi yangu kisa tu kuna mtu ananikwaza, huo usenge siwezi narudia tena ikishindikana naachana na hii battle lkn co kwenda against na the promised country a.k.a Tanzania frankly siwezi kabisa na haitakuja kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama baba yako alivyo mpumbavu......I’ll miss you the most [emoji2956]
Mzee kwenye hills za matusi sio hulka yangu......

Ila naomba usihame jukwaa najua wew ni mzalendo....kama ni matusi yapuuze na Mimi mtu anitukanaye sina hata time ya kumjibu

The same to as....tuona mawazo yako mbadala siyo na kama mzalendo mwenzetu twajaribu kukulejeza koz mbele yetu kunamaadui we need to be together bro in this battle....so pls[emoji120][emoji120][emoji120] don't quit ...this is your responsibility kama mzalendo...don't be irresponsible just for minor things like [emoji867]

Mkuu Mimi nastop hapa coz hakuna jambo lisilokuwa na mwisho...if u will change..good if not I won't force u and I believe the other coming issues we will be together as usual....uo ndo ukomavu wa kihoja so don't leave bro
 
Eti nianze kusema "Kenya inatuzidi kwenye ushuzi flani" hiyo haitakaa itokee nawaambia, mm ninachojua na nilichofundishwa shuleni tangu darasa la kwanza, form 4, form six, mpk chuo kwamba hakuna nchi duniani hapa tamu kama Tanzania na iko hivyo akilini mwangu mpk cku nakufa, hii nchi Mungu anaipenda sana, unaweza kuona corona imesumbua dunia nzima mpk nchi wanazosema wao ni za ahadi lkn hapa imegonga mwamba, locust invasion imeishia Kenya, kimbunga Jobo kimeishia huko huko hapa kwetu kilitaka kuingia lkn Mungu kwasababu anaipenda nchi hii akaagiza jeshi la malaika mfano wa upepo likaenda kukifukuzia mbali, sasa leo eti atokee mtu aanze kuniambia eti Tz cjui ninini, never in my life bora kufa maamaee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Democracy ambayo hao waliyoianzusha wanai violate democracy gn hii, democracy ya kuiba mali za wanyonge from Africa? What is the true meaning of democracy? Kwamba kuhakikisha bara tajiri linazidi kuwa maskini? Au ndo democracy ya kuhakikisha asiyejua asijue daima, what is the meaning of democracy? Nmekuja kugundua democracy ni mkenge tulioingizwa waafrika ili tuzidi kuwa maskini. Hao walioanzisha democracy Rais wao anachaguliwa na wachache bila kujali kura zilizopigwa na wengi, huu ni mkenge tunaoingizwa waafrika kupitia elimu yao walio ifix at 90 drgree, mm cwezi kuingia mkenge huu japo nmesoma elimu yao hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeeh....Mkuu wa CIA alikuwa anastafu alipoulizwa unaonaje ulimwengu wa ujasusi.....alijibu ulimwengu ni adaa...unajua alimanisha nini Mkuu?

The way we see things are not the way they are...
 
Hahaha....kwa hiyo ni mwendo wa
survive for fitest....live for existence....nakupata sana mkuu
Hakuna democracy duniani anayebisha aje aniambie nchi gani ina democracy, wkt mwenyezi Mungu mwenyewe kuna mahali anaonesha upendeleo wa dhahiri, naomba mwenyezi anisamehe sn km nitakuwa nmeenda against ila huo ndio ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti nianze kusema "Kenya inatuzidi kwenye ushuzi flani" hiyo haitakaa itokee nawaambia, mm ninachojua na nilichofundishwa shuleni tangu darasa la kwanza, form 4, form six, mpk chuo kwamba hakuna nchi duniani hapa tamu kama Tanzania na iko hivyo akilini mwangu mpk cku nakufa, hii nchi Mungu anaipenda sana, unaweza kuona corona imesumbua dunia nzima mpk nchi wanazosema wao ni za ahadi lkn hapa imegonga mwamba, locust invasion imeishia Kenya, kimbunga Jobo kimeishia huko huko hapa kwetu kilitaka kuingia lkn Mungu kwasababu anaipenda nchi hii akaagiza jeshi la malaika mfano wa upepo likaenda kukifukuzia mbali, sasa leo eti atokee mtu aanze kuniambia eti Tz cjui ninini, never in my life bora kufa maamaee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee umenikosha sana...hadi raha yani..huo ndo uzalendo.....kwa kweli ashukuriwe Mungu kwa matendo makuu ya ajabu namba hii
 
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
D5FE6A0D-AE68-41AB-BDD8-1396AF40F4BD.jpeg
 
Kwa nini usiwe specific. USA iliiba rasilimali za wapi? Usifananishe serikali za watu na firms!

Hujui how those imperialist countries operate. In brief, those firms when they are inside their countries are public, but when they come to our countries, they operate like private firms. And the profit obtained used to subsidise the service in their countries.
 
Back
Top Bottom