Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
😂😂😂😂😂😂😂😂 hiyo “GUVU” nani aliandika? Mimi? Maana mimi sikuandika. Mimi nimeandika “nguvu” kwenye post yangu Kwa hiyo nilivyoona umenijibu na kuandika “GUVU” nikajua ni typo uliyoandika wewe.Mzee nenda kalale hujui kueleza.
Nimekuuliza GUVU maana yake ni nini!?
Wewe unaleta nguvu ya watu.
NIAMBIE NGUVU NI NINI!?
Unajua maana ya Maana!?
Ukiambiwa kutaja maana ya kitu, kwenye sentensi yako hutakiwi kuingiza neno la hicho kitu tena.
MF: ukiulizwa Nini maana ya msichana?
Huwezi kusema msichana ni mwanamke msichana.
Kwa kipimo cha maswali hayo nimegundua uelewa wako ni duni.
Pata elimu kwanza ndio uje ujaribu. Kwa sasa hujui unachokiongea.
Mungu akusaidie.
Kwanza, “GUVU” ni neno la Kiswahili? Na linamanisha nini?
Halafu, Kwa hiyo Kati ya vitu vyote nilivyoandika umeona kukosoa jinsi ninavyojibu maswali?
Who do you think you are mpaka nikujibu Kwa kutumia formalities?
Wewe nimeshakwambia ni mtoto tu. Na nilikuita Kobe kiakili kwasababu uko slow kiakili! Na nilikuwa Sawa.
Ukiwa slow hata uelewa wako ni duni! Kumbe nilikuwa nadili na circus clown..
Adios.