"Promised country" 🤣🤣🤣Ikishindikana naachana na hii battle, simple like that, eti atokee fala mmoja anifanye nianze kuigeuka nchi yangu kisa tu kuna mtu ananikwaza, huo usenge siwezi narudia tena ikishindikana naachana na hii battle lkn co kwenda against na the promised country a.k.a Tanzania frankly siwezi kabisa na haitakuja kutokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah this is, huamini au?"Promised country" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipe kifungu! 🤣 🤣 🤣
Nchi pekee yenye amani ya kweli duniani since Uhuru."Promised country" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yategemea ni amani gani unayoiongelelea. Sio "kuvaa ngozi ya kondoo kumbe ndani mbwa mwitu"
Tanzania ni nchi yenye amani iko ivyo, Watz ni watu wakarimu wanaojali kitu kinaitwa Consideration, hakuna raia wema km Watz hata waisraeli hawamudu kuwa km Watz take it from me.Yategemea ni amani gani unayoiongelelea. Sio "kuvaa ngozi ya kondoo kumbe ndani mbwa mwitu"
Nawaonea huruma sana mkiona mkiona ngozi nyeupe mara mnamuuliza umetokea wapi ? Yaani full kujipendekeza, yaani full kujiweka kuwa karibuImeingia hyo
Walker255 yani jomba umetoa funzo mpka mi mwnywe nimejikuta kumbe kuna mengine sijui..Mzee nenda kalale hujui kueleza.
Nimekuuliza GUVU maana yake ni nini!?
Wewe unaleta nguvu ya watu.
NIAMBIE NGUVU NI NINI!?
Unajua maana ya Maana!?
Ukiambiwa kutaja maana ya kitu, kwenye sentensi yako hutakiwi kuingiza neno la hicho kitu tena.
MF: ukiulizwa Nini maana ya msichana?
Huwezi kusema msichana ni mwanamke msichana.
Kwa kipimo cha maswali hayo nimegundua uelewa wako ni duni.
Pata elimu kwanza ndio uje ujaribu. Kwa sasa hujui unachokiongea.
Mungu akusaidie.
Mzee hapa mnaongelea demokradia wala sio wrestling[emoji23][emoji23]Mzee nenda kalale hujui kueleza.
Nimekuuliza GUVU maana yake ni nini!?
Wewe unaleta nguvu ya watu.
NIAMBIE NGUVU NI NINI!?
Unajua maana ya Maana!?
Ukiambiwa kutaja maana ya kitu, kwenye sentensi yako hutakiwi kuingiza neno la hicho kitu tena.
MF: ukiulizwa Nini maana ya msichana?
Huwezi kusema msichana ni mwanamke msichana.
Kwa kipimo cha maswali hayo nimegundua uelewa wako ni duni.
Pata elimu kwanza ndio uje ujaribu. Kwa sasa hujui unachokiongea.
Mungu akusaidie.
Jomba nimekuvulia kofia katika maswala ya elimu kuhusu demokrasia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo “GUVU” nani aliandika? Mimi? Maana mimi sikuandika. Mimi nimeandika “nguvu” kwenye post yangu Kwa hiyo nilivyoona umenijibu na kuandika “GUVU” nikajua ni typo uliyoandika wewe.
Kwanza, “GUVU” ni neno la Kiswahili? Na linamanisha nini?
Halafu, Kwa hiyo Kati ya vitu vyote nilivyoandika umeona kukosoa jinsi ninavyojibu maswali?
Who do you think you are mpaka nikujibu Kwa kutumia formalities?
Wewe nimeshakwambia ni mtoto tu. Na nilikuita Kobe kiakili kwasababu uko slow kiakili! Na nilikuwa Sawa.
Ukiwa slow hata uelewa wako ni duni! Kumbe nilikuwa nadili na circus clown..
Adios.
Pitia hapa mzee, yani usipoelewa alichokiandikia walker basi kuanzia leo mpla kuendelea nitakuona tahira la level zake aiseeOkay.
1. Nguvu
Nguvu ya watu ni feature ya demokrasia kwasababu watu Ndio wanao uwezo wa kuchagua wawakilishi wao (viongozi) na viongozi hawa wanafanya mambo ambayo ni best interest za watu wote kwa usawa.
2. Njia Halali
Ni pale viongozi huchaguliwa na wananchi kwa Haki na usawa. Pale njia za mkato kama kuiba kura zinapotumika katika uchaguzi basi sio hali ya kidemokrasia.
3. Nani anayetoa uhalali wa njia hizo
Sheria za nchi!
4. Kipimo cha uhalali kimewekwa na nani?
Serikali
Hakuna democracy kwenye umaskini, tuondoe kwanza umaskini ndo tushughurike na democracy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachache kivipi na wakati wewe kupata kura za wale wachache lazima uibuke mshindi katika jimbo ndio uzipate hzo unazosema ni chache