Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naelewa kuhusu izo kashfa zote ni propaganda tuu za wazungu kwasababu mm nmekaa China nilikua naenda kanisani jumapili na waislamu walikua wsnaenda misikitini kila ijumaa kwaiyo mpaka nasema hivyo sijaropokwa tuu
😂😂😂😂 kwamba ni propaganda za wazungu. Labda nikuulize swali moja. China ulikuwa unafanya nini na ni mji gani uliokuwa unakaa?
 
Democracy ni mind game tuliletewa Africa kama obstacle ya kuendelea mbele, hakuna mafanikio yoyote ya kimaendeleo kwenye so called democracy, kama ingekua hivyo basi kusingekua na umasikini mkubwa kwenye nchi za kidemokrasia

Wazungu wenyewe democracy wameiunda wakiwa tayari wlishapiga hatua kubwa za kimaendeleo good decades ago na wengine hata leo hiyo democracy hawafati ndio maana Markel na Putin wapo madarakani miaka mingi sasa na nchi nyingi za ulaya zipo na mifumo yao ya asili ya utawala
Actual footage of you when you were writing that post 🤡🤡🤡🤡
6EB49A56-54F6-4D04-A336-9643662F47C5.jpeg
 
Hakuna kitu kama “wengi wao wanapenda communism”

Kwenye nchi kama hizo, wanaofurahia uongozi usio na demokrasia ni wale wanaofaidika moja kwa moja na uongozi huo na wasioelewa haki zao.

Bali wale ambao ungozi unawakandamiza ndio huteseka! Hebu fikiria Uyghur muslims. Wanachukuliwa kinguvu kutoka kwenye nyumba zao halafu wanapelekwa kwenye camps ambapo wanafundishwa ku-behave kama wachina halisia. Wanakuwa-brainwashed kuamini kuwa dini yao sio nzuri na pia wanafungwa vizazi ili wasizae na kuongeza Idadi ya waislamu. Na kama walikuwa na watoto, hao watoto wanaibiwa halafu wanapelekwa kwenye nyumba za kulelea watoto za kichina Kwa lengo la kuwakuza kwenye ya tamaduni tofauti na za Kwao. Sasa imagine uwe kwenye position ya hawa jamaa Na Ndio utafahamu kuwa demokrasia sio illusion. Au nenda North Korea halafu utanielewa zaidi.

Mnaishi kwenye hii nchi mnachukulia kila kitu for granted! Yes, demokrasia Tanzania haina nguvu sana (Mama anajaribu kuipa nguvu) lakini there are worse places.

Mzee baba nakuambiaje izo zote ni propaganda na hata kama kuna ukweli ndani yake sio kiasi cha jinsi Wazungu wanavyolikuza ilo swala, mfano mzuri wa propaganda za Wazungu ni uongozi wa magufuli sina la ziada
 
Mzee baba nakuambiaje izo zote ni propaganda na hata kama kuna ukweli ndani yake sio kiasi cha jinsi Wazungu wanavyolikuza ilo swala, mfano mzuri wa propaganda za Wazungu ni uongozi wa magufuli sina la ziada
Hapana. Ukitaka kujua mtu muongo, asiyejua kitu anachokizungumza na mnafiki Utaona jinsi ambavyo anakujibu. Hakupi DEFINITIVE ANSWERS! Na Huyo mtu ni wewe! Nilikuuliza Swali la Kwanini demokrasia ni illusion mpaka sasa hivi hujanijibu na nikakuuliza China ulikuwa unafanya nini na ni mji gani uliikuwa unakaa bado unazunguka mbuyu. Sasa hoja zako unaziteteaje? Unasema wazungu ni waanzisha propaganda, wewe hapa unafanya nini?
 
Wakati wengine wanafuatilia BBI sisi tunafanya haya:
View attachment 1769803
Viva JPM. Katuheshimisha within a very short time. Mapema alipoingia aliwaagiza BoT waanze kununua dhahabu ila ikaonekana hatuna viwanda vya refinery. Akaamua kujenga. Sasa hicho kimoja tu kimejengwa kwa tune 8bn ila kina potential ya kuingiza mapato ya +450bn annually!

Ujue nilikuwa najiuliza, iweje makaburu kuijenga SA kwa kutumia dhahabu na almasi pekee ambazo nasi tunazo ila hatutembei! Sasa hivi ni vicheko tu. [emoji23][emoji23]
 
Hapana. Ukitaka kujua mtu muongo, asiyejua kitu anachokizungumza na mnafiki Utaona jinsi ambavyo anakujibu. Hakupi DEFINITIVE ANSWERS! Na Huyo mtu ni wewe! Nilikuuliza Swali la Kwanini demokrasia ni illusion mpaka sasa hivi hujanijibu na nikakuuliza China ulikuwa unafanya nini na ni mji gani uliikuwa unakaa bado unazunguka mbuyu. Sasa hoja zako unaziteteaje? Unasema wazungu ni waanzisha propaganda, wewe hapa unafanya nini?
Kafanye uchunguzi mwenyeww mzee kuna watanzania wengi wanaishii China kawauulize wakiwa uko wanaabudu wapi na kama wanabuguziwa kwa vyovyote vile wakiwa wanaenda kuabudu ungeniambia kuna ubaguzi wa rangi ningekuelewa labda ila sio huo utopolo
 
Kafanye uchunguzi mwenyeww mzee kuna watanzania wengi wanaishii China kawauulize wakiwa uko wanaabudu wapi na kama wanabuguziwa kwa vyovyote vile wakiwa wanaenda kuabudu ungeniambia kuna ubaguzi wa rangi ningekuelewa labda ila sio huo utopolo
Kwa nini nikaulize watanzania wanaoishi China wakati na wewe ulikuwa unakaa huko? Ulikuwa unaishi wapi?

Na kama hutaki kuamini violation za freedom of religion, Pitia hapa

 
Ni juzi kati tu 1920 Marekani imemruhusu mwanamke kupiga kura

Mpaka Leo haijawahi kumpa mwanamke urais kwenye chaguzi zaidi ya 46 wala hawajawi kuvuka 27% of female representatives kwenye Congress na Senate's 🚮🚮🚮
There’s something called “ societal progress” and there’s something else called “democracy.” First, understand the difference between the two and then come back for a meaningful discussion with me.
 
Back
Top Bottom