Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unakuwa huna demokrasia sasa. Mimi sikuwepo. Na mimi nataka haki yangu ya kuelimishwa.
Acha uzembe! Si nimekwambia usome post za juu? Haya, hii hapa

Demokrasia kama demokrasia ( sio kulingana na mimi) ni mfumo ambapo nguvu za kuendesha nchi hutekelezwa na watu na kupitia njia halali za ushiriki katika maamuzi ya kisiasa.
 
Acha uzembe! Si nimekwambia usome post za juu? Haya, hii hapa

Demokrasia kama demokrasia ( sio kulingana na mimi) ni mfumo ambapo nguvu za kuendesha nchi hutekelezwa na watu na kupitia njia halali za ushiriki katika maamuzi ya kisiasa.
Unaanza udikteta sasa. Mimi sijakuuliza kulingana na wewe. Mimi nataka kujua ki ujumla.
Je demokrasia ni imani au ni utamaduni!?
 
Unaanza udikteta sasa. Mimi sijakuuliza kulingana na wewe. Mimi nataka kujua ki ujumla.
Je demokrasia ni imani au ni utamaduni!?
Udikteta upi tena? Hiyo post nilikuwa nimemjibu mtu mwingine so nimecopy na kupaste.

Demokrasia sio imani Ila inaweza ikawa aspect ya tamaduni.
 
Udikteta wapi tena? Hiyo post nilikuwa nimemjibu mtu mwingine so nimecopy na kupaste.

Demokrasia sio imani Ila inaweza ikawa aspect ya tamaduni.
Sasa nataka uniambie Demokrasia ni nini kwa kiswahili!?

NIJIBU KWANZA MAANA YA DEMOKRASIA.
 
Sasa nataka uniambie Demokrasia ni nini kwa kiswahili!?

NIJIBU KWANZA MAANA YA DEMOKRASIA.
Hivi unataka nikujibu mara ngapi? Maana ya demokrasia nimeshakupa unataka Maana gani tena nyingine?

Haya, hii hapa tena.

Demokrasia ni mfumo ambapo nguvu za kuendesha nchi hutekelezwa na watu na kupitia njia halali za ushiriki katika maamuzi ya kisiasa.
 
Nilikwambia natandikanga Githeri Mafimbo,Naipa Kichapo mpaka Inateremka Vizuri😛
Kuanzia asubuhi mpaka sasa hivi unakula chakula aina moja!? Utakuwa na ugonjwa wa safura.
images - 2021-05-01T200006.751.jpeg
 
Acha uzembe! Si nimekwambia usome post za juu? Haya, hii hapa

Demokrasia kama demokrasia ( sio kulingana na mimi) ni mfumo ambapo nguvu za kuendesha nchi hutekelezwa na watu na kupitia njia halali za ushiriki katika maamuzi ya kisiasa.
Huo mfumo umetokana na nn kama sio mitazamo ya watuu
 
Hivi unataka nikujibu mara ngapi? Maana ya demokrasia nimeshakupa unataka Maana gani tena nyingine?

Haya, hii hapa tena.

Demokrasia ni mfumo ambapo nguvu za kuendesha nchi hutekelezwa na watu na kupitia njia halali za ushiriki katika maamuzi ya kisiasa.
1. Unaposema GUVU unamaanisha nini!?
2. Njia halali ni nini!?
3. Nani anaye toa uhalali wa njia hizo!?
4. Kipimo cha uhalali kimewekwa na nani!(Mungu, Shetani, Adamu au!!?)

Haya mambo huwa yananichanganya sana. Kujibu kwako kutanifumbua macho.

Wasalaam
VENUS STAR
 
Huo mfumo umetokana na nn kama sio mitazamo ya watuu
Mitazamo ya watu yenye nia moja! Mitazamo ya watu ikiwa tofauti unadhani kutakuwa na demokrasia?

Kwa mfano, kuna watu humu hawataki demokrasia. Lakini hawaelewi jinsi gani wanavyoishi maisha yao kwenye hii nchi kila siku kutokana na demokrasia!

Sasa, mtazamo wao wa demokrasia ni mbovu Maana hawatambui umuhimu wa demokrasia maishani mwao.
 
Mitazamo ya watu yenye nia moja! Mitazamo ya watu ikiwa tofauti unadhani kutakuwa na demokrasia?

Kwa mfano, kuna watu humu hawataki demokrasia. Lakini hawaelewi jinsi gani wanavyoishi maisha yao kwenye hii nchi kutokana na demokrasia!

Sasa, mtazamo wao wa demokrasia ni mbovu Maana hawatambui umuhimu wa demokrasia maishani mwao.
1. Unaposema GUVU unamaanisha nini!?
2. Njia halali ni nini!?
3. Nani anaye toa uhalali wa njia hizo!?
4. Kipimo cha uhalali kimewekwa na nani!(Mungu, Shetani, Adamu au!!?)

Haya mambo huwa yananichanganya sana. Kujibu kwako kutanifumbua macho.

Wasalaam
VENUS STAR

Nijibu maswali yangu haya nami nijue. Utamu na uchungu wa demokrasia.
 
Hivi unataka nikujibu mara ngapi? Maana ya demokrasia nimeshakupa unataka Maana gani tena nyingine?

Haya, hii hapa tena.

Demokrasia ni mfumo ambapo nguvu za kuendesha nchi hutekelezwa na watu na kupitia njia halali za ushiriki katika maamuzi ya kisiasa.
Mzee baba ili swala tunaweza tukajadili mpaka kukuche bila muafka ila nlitaka nikumbie jinsi mmerekani anavyoitafsiri demokrasia isiwe ndio kipimo cha kupimia jinsi demokrasia inavyotekelezwa katika mataifa mengine kwasababu tamaduni na mitazamo ya nchi na nchi inatofautiana
 
1. Unaposema GUVU unamaanisha nini!?
2. Njia halali ni nini!?
3. Nani anaye toa uhalali wa njia hizo!?
4. Kipimo cha uhalali kimewekwa na nani!(Mungu, Shetani, Adamu au!!?)

Haya mambo huwa yananichanganya sana. Kujibu kwako kutanifumbua macho.

Wasalaam
VENUS STAR
Okay.

1. Nguvu
Nguvu ya watu ni feature ya demokrasia kwasababu watu Ndio wanao uwezo wa kuchagua wawakilishi wao (viongozi) na viongozi hawa wanafanya mambo ambayo ni best interest za watu wote kwa usawa.

2. Njia Halali
Ni pale viongozi huchaguliwa na wananchi kwa Haki na usawa. Pale njia za mkato kama kuiba kura zinapotumika katika uchaguzi basi sio hali ya kidemokrasia.

3. Nani anayetoa uhalali wa njia hizo
Sheria za nchi!

4. Kipimo cha uhalali kimewekwa na nani?
Serikali
 
Mzee baba ili swala tunaweza tukajadili mpaka kukuche bila muafka ila nlitaka nikumbie jinsi mmerekani anavyoitafsiri demokrasia isiwe ndio kipimo cha kupimia jinsi demokrasia inavyotekelezwa katika mataifa mengine kwasababu tamaduni na mitazamo ya nchi na nchi inatofautiana
Naelewa unachokizungumzia. Kwasababu Marekani kuna uhuru wa kumchora picha za katuni Rais akiwa uchi? Kuna mahali nimeandika kuwa demokrasia inaweza kuwa aspect ya tamaduni. Wamarekani wengi wako liberal! Kwa hiyo uhuru wa kujieleza ni asili yao.

Huku kwetu sheria za nchi zinaweza kulinda hadhi ya viongozi ili kutunza “utumaduni” wetu. Lakini kwa wakati huo huo tunaweza kutumia demokrasia kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
 
Okay.

1. Nguvu
Nguvu ya watu ni feature ya demokrasia kwasababu watu Ndio wanao uwezo wa kuchagua wawakilishi wao (viongozi) na viongozi hawa wanafanya mambo ambayo ni best interest za watu wote kwa usawa.

2. Njia Halali
Ni pale viongozi huchaguliwa na wananchi kwa Hali na usawa. Pale njia za mkato kama kuiba kura zinapotumika katika uchaguzi basi sio hali ya kidemokrasia.

3. Nani anayetoa uhalali wa njia hizo
Sheria za nchi!

4. Kipimo cha uhalali kimewekwa na nani?
Serikali
Mzee nenda kalale hujui kueleza.
Nimekuuliza GUVU maana yake ni nini!?
Wewe unaleta nguvu ya watu.
NIAMBIE NGUVU NI NINI!?


Unajua maana ya Maana!?

Ukiambiwa kutaja maana ya kitu, kwenye sentensi yako hutakiwi kuingiza neno la hicho kitu tena.

MF: ukiulizwa Nini maana ya msichana?
Huwezi kusema msichana ni mwanamke msichana.

Kwa kipimo cha maswali hayo nimegundua uelewa wako ni duni.

Pata elimu kwanza ndio uje ujaribu. Kwa sasa hujui unachokiongea.

Mungu akusaidie.
 
Back
Top Bottom