CAPABLE GOD
JF-Expert Member
- Dec 5, 2020
- 288
- 343
Ni lazima kuwainisha ni aina gani ya haki zapaswa zilindwe kutokana na utu na maadili yetu ..... HR are unlimited...
“Mifumo yetu ya kiutawala” ni ipi hiyo? Kwasababu mimi kama msomi ninatambua kuwa “mifumo yetu kiutawala” sio originally ya kwetu! imekuwa adapted from our former colonial rulers ama other global powers! Sasa Democracy ya IMF na WD unayozungumzia ni ipi? Unaongelea masharti ya mikopo?Kwani we unanielezea democracy gani..? Inaonekana hujui hata historia ya democracy .. rudi kwenye maandiko ya historia ya democracy alaf uje hapa uitetee. Democracy tunayoipinga sisi ni hii from US, mifumo yetu ya kiutawala zamani hailandani kabisa na hii democracy from IMF and WB . Soma historia ndugu yangu.
Soma historia ya dunia acha kuwadanganya watu, dunia haikuwahi kuwa democracy hii tunayoitafsir sasahiv, tena hata nchi mojaNani aliwadanganya kuwa nchi zenye demokrasia haziku-practice democracy mpaka zilivyoendelea kiuchumi?
Demokrasia ni ya zamani sana. Na nimeuliza swali kwanini mnadhani demokrasia ni mbaya katika kijenga na kuendeleza uchumi? Mniambie halafu na mimi nitatoa hoja zangu.
Kweli. Demokrasia ya leo sio kama ya zamani lakini principle ya nguvu ya umma bado ni ile ile. Kitu ninachoshangaa ni pale mnapodhani kuwa demokrasia ni mbaya kwa maendeleo ya kiuchumi. Nipeni arguments Zenu. Unajua hapa tunafundishana? Mimi sio lecturer!Soma historia ya dunia acha kuwadanganya watu, dunia haikuwahi kuwa democracy hii tunayoitafsir sasahiv, tena hata nchi moja
Yes.
Mzee hebu endelea na mambo yako. Unatuharibia utaratibu wa hapa.Yes.
Nita base africa...ebu nambie kitendo cha kumuua gaddafi kimeleta demokrasia waliokuwa wanaihubiri?Tuambie ni jinsi gani demokrasia inazuia ukuaji na maendeleo ya kiuchumi! Kwasababu kuna correlation kubwa kati ya demokrasia na maendeleo ya kiuchumi!
😂😂😂😂😂 Hapo huongelei democracy. Unaongelea racism! Na sio Marekani nzima ni racist kwa watu Weusi. Ndio bado kazi ni kubwa lakini USA impepiga hatua kuondoa oppression na ndo maana hata leo kuna compensation kwa vitukuu vya waafrika amabao ancestors wao walikuwa slaves. Pia Kama kulikuwa kuna wizi wa maeneo yao, sasa hivi yanarudishwa.
We unaonekana hujui kitu wewe, shame on you.. soma historia ya dunia utajua nini namaanisha nikisema way back tulikua na mifumo yetu ya kiutawala kabla ya wakoloni, tz for example zamani tulitawaliwa na machifu mf, mkwawa, chifu mangungo wa msovero, chifu mangisina n.k aina yao ya utawala haikuzingatia mifumo ya kidemocrasia, baada ya wakoloni kuja mf germany wao wakatutawala kwa aina yao kabla british hajapewa atusimamie maamuzi ya (versailles peace treaty) lakini baadae US alivyopata status ya world super power 1945 ndio aka introduce hii democracy tuliyonayo sasahiv, na wakati tunapata uhuru sisi huku Africa wakaleta mfumo wa utawala indirect ambao ni Neo colonialism, implementation zake sasa tulishurutishwa kupitia program za structural adjustment program by IMF and WB .. je masharti yalikua yapi.?“Mifumo yetu ya kiutawala” ni ipi hiyo? Kwasababu mimi kama msomi ninatambua kuwa “mifumo yetu kiutawala” sio originally ya kwetu! imekuwa adapted from our former colonial rulers ama other global powers! Sasa Democracy ya IMF na WD unayozungumzia ni ipi? Unaongelea masharti ya mikopo?
Nating Kan Put my spirit down I am happy always,unasema ATI Dhiki???😃 Ya Nini?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇰🇪🔥🔥🔥🔥Pambavu mkibera acha kujitapa hapa kama una good time kumbe dhiki imekujaa
Marekani ambayo Rais anachaguliwa na wachache?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo huongelei democracy. Unaongelea racism! Na sio Marekani nzima ni racist kwa watu Weusi. Ndio bado kazi ni kubwa lakini USA impepiga hatua kuondoa oppression na ndo maana hata leo kuna compensation kwa vitukuu vya waafrika amabao ancestors wao walikuwa slaves. Pia Kama kulikuwa kuna wizi wa maeneo yao, sasa hivi yanarudishwa.
Okay umekijosoa mwenyewe kwenye maandiko yako. “Aina ya demokrasia wanayoimplement Africa hubakwa na wenyewe”Nita base africa...ebu nambie kitendo cha kumuua gaddafi kimeleta demokrasia waliokuwa wanaihubiri?
The so called demokrasia in africa mostly ndo chanzo cha civil war....mfano kenya..wanatumia hiyo demokrasia kuweka watu wao ili for easy exploitation...mikataba mibovu...utitili wa vyama kazi kula ruzuku...USA wanavyama vngp? Uk.,canada je?....so nambie how can you make economic progress while political unrest,puppet leadership...always bussines as usual...how Mkuu we....
Theoretical ni nzuri...lkn aina ya demokrasia wanayoiplement africa hubakwa na wenyewe...ila demekrca iliyopo kwenye vitabu ni nzuri sana.....Anyway si jukwaa la siasa....anzisha uzi jukwaa la siasa nakuja kuchangia
Mkuu....Mimi sijawi kumfuatilia huwa naona tu notification tu humu jfWakuu naomba aliyemuelewa mh Rais leo atuambie mana mm huyu mtu sijawahi kumuelewa kabisa sijui kwnn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mjomba anazumngumzia vitu asivyovijua ni mpuuzi huyo
Simwelewi kabisa na sidhani kama nitamuelewa, namuona mwepesi mno anayesoma badala ya kutoa ya moyoni, kweli kiongozi wa kweli huwa anatokea mara chache mno.Mkuu....Mimi sijawi kumfuatilia huwa naona tu notification tu humu jf