President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,010
- 93,371
Mbeya Racing 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tanzania Tamu Sana
Kenya haya mambo hakuna
Wakibahatika rarely basi ni Nairobi 😆
Watajua hawajui. This is Tanzania. JOBO mwenyewe kaogopa.
Mbeya Racing 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tanzania Tamu Sana
Kenya haya mambo hakuna
Wakibahatika rarely basi ni Nairobi 😆
Ati tourist hotel, hahahaha, pumba sana, Wakenya wanakaa huko! 🤣 I hope swali lako nimekujibu, usione Nairobi tu ndo kuna vikali!
Ndio nimeshapata chai. Huwa hatusemi kunywa chai.
Vitu ambavyo unaweza kunywa ni vya baridi kama soda, maji, pombe, sharubati nk.
Sasa upo tayari na mpambano au unagwaya!?
Chagua sector gani unaimudu.
Yes.Kwa sababu tumeona mengi sana humu itakua vizuri kama tutapost vitu ambavyo upande wa pili wanaweza wasiwe nazo.
Wakenya wakiishi huko na wale wazungu tourist kilifi watakaa wapi ongea ukwei tu hata kama ni mchungu 🤣🤣🤣🤣🤣Ati tourist hotel, hahahaha, pumba sana, Wakenya wanakaa huko! 🤣 I hope swali lako nimekujibu, usione Nairobi tu ndo kuna vikali!
The bitter truth.Mama anamsikiliza Kikwete. Unamsikilizaje mtu aliyefail? Miaka 10 umeme vijiji 2018, wakati Magufuli "Jembe" miaka 5 vijivi 8300. Ingemchukua Kikwete miaka 40 kufanya aliyofanya Magufuli kwenye umeme kwa miaka 5.
Vyama vya upinzani kikubwa wanafanya ni kudhoofisha serikali iiliyo madarakani. Utafanya maridhiana mpaka lini, tena upinzani kama huu wakijinga wa Lisu, Mbowe na Zitto? hawana jema na hupinga kila kitu, karibia kila jambo litataka maridhiano na wakishashtuka wewe ni legelege kama Kikwete lazima wakuendeshe.
Africa inahitaji maendeleo ya haraka sana, na sio siasa kwa sasa. Ni mjinga tu ndio anafikiri anaweza kwenda na vyote: siasa na maendeleo Africa hii.
Major opposition parties in Africa are surrogates of western imperialists, western countries have a full control of those parties.
Kama alivyosema Dr. Slaa, demokrasia ya kimagharibi imekwisha choka. Kwa mujibu wake demokrasia tunayohitaji siyo ile ya kufurahisha vikundi kadhaa vya watu (NGOs, vyama vya siasa, wanaharakati, wahisani, nk?). Bali demokrasia iliyoanza kuchipua kwetu katika kipindi cha miaka mitano iliyopita ndiyo kitu tunakihitaji Afrika. Yaani kwamba demokrasia ni kuwa na serikali inayowatumikia watu na kuiongoza jamii kuamua aina ya maendeleo inayotaka pasi na kuingiliwa na jamii nyingine.Kwa Afrika, demokrasia siyo kipau mbele. Maendeleo yakiongezeka, ndiyo tutaanza kufikiria democracy.
Kabisa mkuu. Wahenga wetu walitupatia misemo tele ituongoze; Ukicheza na tope litakuchafua.Naona umetumia ile formula ya mjinga mpe cheo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I wish watu wangeelewa nini unamaanisha. Yaani kwamba hatuhitaji mpinzani anayeenda kuiwekea nchi yake pingamizi kwa wakopepeshaji ilhali anajua hiyo pesa inaenda kutumikia wananchi! Hata hao mabosi zao hizo kitu kwao hawafanyi.Hakuna mahala nimesema upinzania au demokrasia haifai "kabisa". Nilisema "Upinzania huu".
Democrasia sio kuwa na vyama vingi. Demokrasia ni uhuru ambao wote tunao na sijui wewe kazi unayofanya umechaguliwa na nani, ama nani alikuchagulia nini usomee or nani uwe ukiwa mkubwa, or umoe nani or utembee na nini - hii ni uhuru ndio demokrasia.
Uhuru unamipaka.
Hakuna chama mbadala wa CCM Tanzania, hakipo, labda kama unamakengeza ya kimtazamo. Hakuna chama mabadala wa CCM Tanzania, vyama havina hata ITIKADI wala hujui nini wanasimamia.
Mkuu, wewe unajuaje kuwa wamefukuzwa! Walipewa muda wa kukata rufaa kuutetea uanachama wao na wakautumia vema. Mbowe (simshabikii hata kidogo) ila ni political genius. Hapana mahali panathibitisha kuwa wamefukuzwa uanachama. Mbowe anajua vizuri sana namna ya kucheza na hivi vitu;Hao akina Mdee watamchafua sana spika...iweje wanawang'ang'ania na barua walishapewa kutoka kwenye chama chao kwamba wameshafukuzwa
Baada ya mwamba kupumzishwa huwa najifariji kwa kumsikiliza Kagame. Kwenye mdahalo na Mo Ibrahim Foundation alisema "Inaonekana tatizo kiongozi kukaa muda mrefu madarakani huku akifanya mambo ya maana, lakini hukuna tabu ikiwa viongozi watakuwa wakiingia na kutoka bila kufanya chochote cha maana".Kama nilivyokwambia kwenye post iliyopita, hivi vyama vya upinzania Tanzania havipo kwa maslahi mapana ya taifa, ni maagents wa nchi za magharibi. Sasa, kwa sera ya maendeleo aliyokuja nayo Magufuli ni ngumu kuwaacha wawe huru, amini nakuambia.
Lazima ujiulize kwanini nchi za magharibi wanashinikiza sana mfumo wa vyama vingi Africa, unafikiri mfumo huo wanaoulazimisha kwetu ni kwa kututakia mema? HAPANA. This is specifically meant: to reach us and unseat a democratically elected president through ( competitive politics ) political strategy.
France, Uingereza, USA kuna vyama vingapi vya siasa? angalia Africa.
Who finances all these political parties, and what is(are) the motive(s) of doing that?
Kwa kifupi hizo gari ni mali ya Daimler. Sema haya makampuni makubwa ni mepesi kucheza na mazingira ya soko husika. To me, that's a German vehicle produced in India by Germany Daimler. Sidhani kama kuna native Indian vehicles zinaweza kuwabattle kwa ubora.[emoji3][emoji3][emoji3] unafkiri anapewa jina bila technology investments acha upupu View attachment 1764184
Baada ya mwamba kupumzishwa huwa najifariji kwa kumsikiliza Kagame. Kwenye mdahalo na Mo Ibrahim Foundation alisema "Inaonekana tatizo kiongozi kukaa muda mrefu madarakani huku akifanya mambo ya maana, lakini hukuna tabu ikiwa viongozi watakuwa wakiingia na kutoka bila kufanya chochote cha maana".
Binafsi siyo tu siupendi upinzani tulionao bali siungi kabisa mkono kitu kinaitwa demokrasia. We need to invent our own way of leading our nations. Pa kuanzia tunapo. Magu alianza kutujengea msingi mzuri kwa kuanza kuondoa maccm maslahi na kuanza kupandikiza wazalendo wa ukweli.
Pia alisisitiza viongozi wa umma na chama kuwa wawazi na utajiri wao badala ya kufanya chini chini kama ilivyokuwa kwa miongo kadhaa.
Ndiyo. Kujenga upya taasisi iliyooza siyo suala la overnight. Ni suala la mchakato mgumu; vita na majangili. Imagine mtendaji mkuu wa chama alikuwa kinara kwenye mtandao wa ujangili, usindaji haramu, na usafirishaji wa meno ya tembo.Tatizo hata CCM wamekua serious utawala wa JPM ila hawajawah kua serious na unalijua hilo
CAG aliona uzia akapenyeza rupia! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msikieni mtaalamu mshauri wa Julius nyerere dam [emoji116][emoji116][emoji116] inaonekana kama CAG alikurupuka sana taarifa