Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uyole Mbeya
images - 2021-04-26T170157.823.jpeg
images - 2021-04-26T170211.058.jpeg
images - 2021-04-26T170231.584.jpeg
 
Ndiyo. Kujenga upya taasisi iliyooza siyo suala la overnight. Ni suala la mchakato mgumu; vita na majangili. Imagine mtendaji mkuu wa chama alikuwa kinara kwenye mtandao wa ujangili, usindaji haramu, na usafirishaji wa meno ya tembo.

Magu katumia miaka mitano yote akipambana nao mpaka kwa kiasi kikubwa akafanikiwa kujenga msingi mpya. Kuwaondoa viongozi maslahi na kuleta watu wasiokuwa na connections na mafisadi, akina Bashiru, Polepole, Mangula, nk haikuwa kazi rahisi.

Bahati mbaya majangili yamerudi tena ila ichukue kutoka kwangu; Magu kaacha sumu kali kila kona ya nchi. Usihadaike na hili daraja letu la kati la "wasomi" huku mitandaoni. Watanzania wengi tayari wamekwisha jua ni aina gani ya nchi na uongozi wanataka.

Kwa sasa wanajifanya kuwa na imani ila hao wapigaji wala hawatafika mbali. Kuna makundi mengi pia yenye nguvu ambayo hayatavumilia kuona nchi ikirudishwa ilikotoka. Jiulize ni lini iliwahi kutokea viongozi wa dini wakaamua kuanza kuuasa uongozi hadharani!

Well said!

Dear brother of good will,

Wishing you all the best, with so much God's blessings.
 
Uzuri ni kuwa Majaliwa, Mpango, Rais Hussein na Mzee Mwinyi hawako kwenye kundi lile na Hussein yuko well connected na mabakabaka na pia amelelewa kwenye system. Mama hana budi kumsikiliza.
Mkuu, Mwinyi ameiva barabara. Anayo kila sifa kiongozi visionary anapaswa kuwa nayo. Mbali na maono, ni mtu anayejua namna ya kufanya teuzi.

Juzi hapo kwa mfano, kateua watu ambao kwa hizi elimu zetu za vyeti alikosolewa. Kwamba aliteua watu pasi na kuzingatia profession zao zikilinganishwa na taasisi watakazoongoza. Katoa jibu lililonikosha sana na kunipa imani kubwa sana kwake:

"Mimi sitafuti utaalam, natafuta uongozi". Period.

Rejea,

Ulimwengu wa wanazuoni ulikosoa teuzi/chaguzi zifuatazo;

1. Mkemia kuwa Rais.
2. Mhandisi kuwa Katibu mkuu kiongozi.
3. Mwanasheria kuwa waziri wa mambo ya nje.
4. Mwanasheria kuwa gavana wa benki kuu, nk

Lakini tazama matokeo yake. Chini ya uongozi wa hao watajwa hapo juu ndipo taasisi zao zimekuwa na ufanisi zaidi tangu uhuru wa nchi hii.
 
Well said!

Dear brother of good will,

Wishing you all the best, with so much God's blessings.
Pamoja mkuu.

Hii nchi lazima tuielewe vema. Lazima tuwepo wale ambao uzalendo wetu ni wa kutupwa na tusiyumbishwe kwa namna yoyote ile.

Kama Magu alijitoa sadaka ili sisi tufunguke, tutakuwa wajinga ikiwa tutakaa kimya kuona nchi inarudi gizani.

Tusiache kupeana moyo na kufunguana no matter what.

Thanks for the wishes. I wish you all the best too.
 
Ndiyo. Kujenga upya taasisi iliyooza siyo suala la overnight. Ni suala la mchakato mgumu; vita na majangili. Imagine mtendaji mkuu wa chama alikuwa kinara kwenye mtandao wa ujangili, usindaji haramu, na usafirishaji wa meno ya tembo.

Magu katumia miaka mitano yote akipambana nao mpaka kwa kiasi kikubwa akafanikiwa kujenga msingi mpya. Kuwaondoa viongozi maslahi na kuleta watu wasiokuwa na connections na mafisadi, akina Bashiru, Polepole, Mangula, nk haikuwa kazi rahisi.

Bahati mbaya majangili yamerudi tena ila ichukue kutoka kwangu; Magu kaacha sumu kali kila kona ya nchi. Usihadaike na hili daraja letu la kati la "wasomi" huku mitandaoni. Watanzania wengi tayari wamekwisha jua ni aina gani ya nchi na uongozi wanataka.

Kwa sasa wanajifanya kuwa na imani ila hao wapigaji wala hawatafika mbali. Kuna makundi mengi pia yenye nguvu ambayo hayatavumilia kuona nchi ikirudishwa ilikotoka. Jiulize ni lini iliwahi kutokea viongozi wa dini wakaamua kuanza kuuasa uongozi hadharani!

Umeiacha imara, Tanzania salama
Lala salama, mwendo ume umaliza.
😭😭😭
 
Guys, this article raises the exact points that I wrote about adolescent pregnancy in Tanzania a few weeks ago. But since most of you were not willing to discuss about this issue ( not that I’m surprised), I’ll continue sharing information about it to raise awareness among the Tanzanians who follow this thread.



124DEABD-5B76-46C8-9030-D3686039525E.jpeg


If Magufuli’s approach to this problem works then shouldn’t we be seeing a fall in the number of schoolgirls dropping out because of pregnancy?
 
Back
Top Bottom