President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,010
- 93,371
Sasa nisikutaje wewe nani. Shetani mwenyewe aitwaye ibilisi tunamtaja.Yani hadi untaje, hehe ntakuachia ID basi... 😂
MADE IN TANZANIA
Sasa nisikutaje wewe nani. Shetani mwenyewe aitwaye ibilisi tunamtaja.Yani hadi untaje, hehe ntakuachia ID basi... 😂
Master fabricators na benz ni wapi na wapi🤣🤣🤣🤣 ndio maana mchina kawaletea treni za miaka 70 iliopita mukashangiliaBharatBenz inatengeneza vifaa kulingana na utaratibu wa Benz lakini sio muundo kama za kutoka Ujerumani direct! Hizo zimetengenezwa hususan kwa ajili ya utumizi ndani ya India na walianza kuuzia mataifa ya Afrika pia kama nyinyi. So sio origanal 'made in Germany' benz ni 'made in India' BharatBenz! 🤣 🤣 🤣
Nyi si mlisema kitu kimetoka ujerumani, sasa waruka. Haya mkuu, mi ni hayo nilkuwa ntaka kurekebisha kwanza! 🤣Sijasema ni original from germany ila nimekwmabia wanatumia germany technology na wanafata quality zote za benz sasa ni sawa na kusema under license kinachokuuma ni kwamba kenya mumekosa benz bus sasa munatapatapa🤣🤣🤣🤣View attachment 1764202
Sisi tuna vitu vilivyotoka germany 🤣🤣👇👇 vimejaa hebu na ww tuoneshe sasa tuchekeNyi si mlisema kitu kimetoka ujerumani, sasa waruka. Haya mkuu, mi ni hayo nilkuwa ntaka kurekebisha kwanza! 🤣
Tuoneshe na za kutoka kenya sasa 🤣🤣🤣Nyi si mlisema kitu kimetoka ujerumani, sasa waruka. Haya mkuu, mi ni hayo nilkuwa ntaka kurekebisha kwanza! 🤣
Hvi unafkiri mjerumani anaeza poteza muda kutengeza huu uchafu 🤣🤣🤣🤣Nyi si mlisema kitu kimetoka ujerumani, sasa waruka. Haya mkuu, mi ni hayo nilkuwa ntaka kurekebisha kwanza! 🤣
Miaka ya nyuma mikoa ya kanda ya ziwa hususani Mwanza, Mara na Kagera hawa cranes walikuwa wengi tu.Sikujua Uganda's crane birds wanapatikana Tanzania pia!
![]()
Miaka ya nyuma mikoa ya kanda ya ziwa hususani Mwanza, Mara na Kagera hawa cranes walikuwa wengi tu sijui siku hizi kama bado wanapatikana kwa wingi.
Hawezi onesha vituu kama hivii nilwahi mwambia alete kama wanazo hizi kwaooSisi tuna vitu vilivyotoka germany [emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116] vimejaa hebu na ww tuoneshe sasa tuchekeView attachment 1764216View attachment 1764217View attachment 1764218View attachment 1764219
Punguza ulimbukeniNyi si mlisema kitu kimetoka ujerumani, sasa waruka. Haya mkuu, mi ni hayo nilkuwa ntaka kurekebisha kwanza! 🤣
Wakenya exposure ni almost hawana kabisa, washamba mno.Waache Dharau, MAN, BENZ, BMW, VOLVO, TOYOTA,KTM, HONDA, YAMAHA, SUZUKI, ISUZU, Wote wana manufacturing Plants India na wanatengenza Vehicles za aina mbali mbali.
List of vehicle plants in India - Wikipedia
en.wikipedia.org