Bullet train 11 kw $60m, ooliskia wapiHiyo bullet trains ni editing jomba, tangu huu mradi uanzishwe sijawahi sikia ati bullet trains ndo zinaja, tunazojua ni hizo SGR za diesel tu. Usilete vitu visivyokuwa, hata hapo naona 2013 ilitumika kwa kuomba kura, uongo mtupu coz nilkuwepo na hakuna kitu ka hicho aliahadi isipokuwa SGR pekee. Get your facts right kiddo!![]()
![]()
![]()


Hujajibu swali, utatoka ama utabaki kuendeleza mjadalaAsilimia 100% mark my words
Wewe unafaa kufuata maguYani hapa huu mwandiko ndo umejidhihirisha kabisa ya kwamba wewe ni Choice Variable, sasa kwnn huwa unajifanya kuongea kama Mkenya? Kwnn unakuwa mtumwa wa fikra za watu? Kama kitu hukipendi weka wazi hukipendi na mtu atake asitake atalazimika kukuelewa lkn co kujifanya Mkenya eti unabadili mpk lugha aisee yn wewe ni mpumbavu sn.
Naton Jr kuja uone choice variable nmemdaka mchana kweupe
Dah we jamaa Naton Jr kweli una macho, alafu kawaida ya jamaa akishastukiwa ss anaunganisha ID yani anakuwa ndio yule yule choice variable
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi hua hatupigwi kama mafala nyinyi munaenda numua treni za spain zimetumika miaka 30 kwa 1.5b ksh sawa na almost 15m usd alaf munatufananisha na sisiBullet train 11 kw $60m, ooliskia wapi
Tayari hyo hata the cheapest hawatapat mbili labda
Nasema mwezi wa nane treni ya kwanza ya aina yake inaanza kazi tanzania unataka niseme nn wewe mama🤣🤣🤣Hujajibu swali, utatoka ama utabaki kuendeleza mjadala
Sikiliza mama kwanza 🤣🤣🤣👇👇👇Wewe unafaa kufuata magu
Wewe unafaa kufuata magu
JPM ni rais bora na si tu Afrika bali duniani. kinachomfanya kuwa bora ni uzalendo wake. LNG ilikwama sababu similar facility ambayo inataka kujengwa likong'o mtwa ipo UK. sasa ile ya UK imecost only $20 billion. The question was, kwanini hi ya Tz icost $30bil? hapo ndio JPM alikuwa ana qustion. kumbuka hizi kampuni lazima wafanye cost recovery project ikiisha. JPM was really smart. I will ever miss himNi kweli LNG ni kipaumbele cha TPDC na wapo katika hatua za ukamilishaji mda mfupi chini ya miezi 6 watasign makubaliano
LNG ni mradi mkubwa sana na wa thamani kubwa zaidi ya $30 billion hivyo unahitajika umakini wa hali ya juu japo kwa maneno yake Dr Mataragio kakiri wazi kwamba ndani ya miezi michache na wenyewe utaanza sababu wamekua na kipindi kirefu sana cha mazungumzo kwa zaidi ya miaka 6 sasa.
Ni kweli hata mimi nilipata hizo fununu kwamba kuna fake price quotations kwenye hii miradi ya joint ventures towards host government ya kutishaJPM ni rais bora na si tu Afrika bali duniani. kinachomfanya kuwa bora ni uzalendo wake. LNG ilikwama sababu similar facility ambayo inataka kujengwa likong'o mtwa ipo UK. sasa ile ya UK imecost only $20 billion. The question was, kwanini hi ya Tz icost $30bil? hapo ndio JPM alikuwa ana qustion. kumbuka hizi kampuni lazima wafanye cost recovery project ikiisha. JPM was really smart. I will ever miss him
Uhuru n Umoja, aka former missionary, Rais Samia Hassan ana ujumbe kwa Watengeneza propaganda kama wewe. Especially kuhusu kifo cha Magufuli. Wewe si Ndio ulikuwa unasema alikuwa assasinated?




.Kwamba knight frank walisema 2020 kenya ina millionarea 2000 alaf 2021 corona ikapita na millionares 921alaf hio hio 2021 kenya inamillionares 20000 hahhhaha hata hesabu za dukani lazma zigome![]()




.Key words:Huu mradi utatuinua sana Watz km utalenga kumsaidia mTz wa chini, hii nchi imekaa kimkakati sn yn tumshukuru Mungu kwakweli sema tatizo viongozi wazalendo tulikosa.
Wakenya oneni fursa zinavyotufuata kila kukicha, huku madini, kule mafuta, hapa gesi
Alafu eti mnataka kushindana na Tz kisa makaratasi ya GDP
Sent using Jamii Forums mobile app