The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527










Sasa kama corona imezuia unataka tulazmishe au??Hakuna Safari mlifaa muende, hakuna Corona Tanzania na pia hakuna Corona China.




Hata mm naona 😀😀😀😀Barabara zenye hazina markings haziezinipea pressure hata kidogo. Huku Kenya barabara ziko marked sio kama Tz.
View attachment 1760498
Waliozuia ni wachina sio watanzania mzee usichamganye mada 😀😀😀😀'Inaanza' dah kibarua mnacho! Nilidhani Bongo hamuaminigi Corona eti, au kunaendaje? 😂












Unaniletea maneno ya porojo 😅😅😅 siasa za twitter za kina kigogo na genge lakeKwetu kuna loss lakini kazi kama kawaida, ndio hali ya biashara. Kuna kupanda na kushuka, ukizingatia janga linalokumba dunia kwa sasa. Huko Tz naskia zimelala AIRPORT zile zenyu, hazina kazi? 😂
View attachment 1760511
Umepanic sasa 😅😅😅 magufuli na mkenya ni wapi na wapi?? Mbingu na ardhiMataga wewe.
Kwamba knight frank walisema 2020 kenya ina millionarea 2000 alaf 2021 corona ikapita na millionares 921alaf hio hio 2021 kenya inamillionares 20000 hahhhaha hata hesabu za dukani lazma zigome 😅😅😅😅Knight Frank wakisema wana mamillionea wengi, inakuwa Bibilia yao ila wakitoa information kama hii utawasikia wakisema eti ooh Knight Frank is a bogus source. 🤣 🤣
Msikilize msemaji wa serikali ya KenyaUnaniletea maneno ya porojosiasa za twitter za kina kigogo na genge lake
SGR
Phase one 91% 300km
Phase two 58% 442km
Phase five site preparations 341km
Alaf tunashindana nn![]()
















2019 phase 1 80%Unaniletea maneno ya porojosiasa za twitter za kina kigogo na genge lake
SGR
Phase one 91% 300km
Phase two 58% 442km
Phase five site preparations 341km
Alaf tunashindana nn![]()


Hatujaanza juzi kuzalisha milllionaires wengi kuliko majirano, so hii tunaita kujitoa ufahamuKwamba kuuza blue band na chai tu ndio mtengeneze millionaires wengi kuliko nchi inayozalisha madini, gesi, na yenye mfumo bora wa kiserikali
Yuko wapi huyu msemaji wa serikali ya Kenya aje hapa mana ule mda anaweka vi report vyake nilikuwa bize sn nikasema nitamkamata usiku, sasa aje hapa atuambie blue band na chai vibawezaje kuzidi madini na gesi
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaidie mwenzako kutafuta hii official blog yao ukipata nitag nifunge acc😅😅Huyo hajui kusoma kiingereza. 🤣 🤣 🤣 🤣
Kwahiyo mnatuzidi idadi ya millionaires au sijakuelewaHatujaanza juzi kuzalisha milllionaires wengi kuliko majirano, so hii tunaita kujitoa ufahamu





Sijui nyinyi wabongo mlienda shule gani, yani hata link yenu yenyewe hamuielewi? Ebu fungua link na udownload report wee kilaza.
View attachment 1760601