Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi hii list si inasema tu kiasi cha pesa ambacho mtu anatakiwa awe nacho ili ahesabike yupo ndani ya 1% ( Super Rich ndani ya population ya Nchi flani) kwa hiyo Kenya ukiwa na Usd 20,000 wewe ni mmoja wa 1% ?

Kwa hiyo mwenye Milioni arobaini na kitu Bongo ni noma Kenya

Au??

IMG_6934.jpg

IMG_6935.jpg
 
Hivi hii list si inasema tu kiasi cha pesa ambacho mtu anatakiwa awe nacho ili ahesabike yupo ndani ya 1% ( Super Rich ndani ya population ya Nchi flani) kwa hiyo Kenya ukiwa na Usd 20,000 wewe ni mmoja wa 1% ?

Kwa hiyo mwenye Milioni arobaini na kitu Bongo ni noma Kenya

Au??

View attachment 1760733
View attachment 1760734

ndivyo nilivyoelewa.. kwahio hata mim nipo
 
Hivi hii list si inasema tu kiasi cha pesa ambacho mtu anatakiwa awe nacho ili ahesabike yupo ndani ya 1% ( Super Rich ndani ya population ya Nchi flani) kwa hiyo Kenya ukiwa na Usd 20,000 wewe ni mmoja wa 1% ?

Kwa hiyo mwenye Milioni arobaini na kitu Bongo ni noma Kenya

Au??

View attachment 1760733
View attachment 1760734
Ushamba mzigo baba, jamaa huwa anaokota link zinazoongelea utajiri popote zilipo ili kujifariji na maumivu aliyoyapata kutoka Knight Frank

Report ni ya mwaka jana lkn jamaa ameshindwa kabisa ku move on, Wakenya wenzie wote wamekubali matokeo wanaendelea na maisha km kawaida ila yeye bado anaugulia ndani kwa ndani

Sipati picha cku Knight Frank watasema Kenya imeizidi Tz kwa idadi ya millionaires jinsi atarukaruka kwa furaha

Unajua kwnn BWANA MAPESA anaumia na report ya millionaires? Ni kwasababu haileti afya uwe na GDP kubwa lkn unazidiwa idadi ya matajiri na mtu uliyemzidi GDP tena bora ingekuwa unamkaribia lkn amekuacha mbali kabisa, na hiyo ina proove kwamba GDP ya Kenya ni ya kupika na haina ukweli wowote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
leo ndo nagundua kwenye hii picha mama Samia nae alikuwepo
probably, wote tulikuwa hatujui
View attachment 1760763
Kweli Mungu ni siri kubwa, hapo watu hawajui nani atakuwa rais anayefuatia baada ya JK walidhani atakuwa mtu yuleee, lkn pia hawakuwahi kutegemea km huyo mmama atakuwa rais ajaye, hata yeye mwenyewe hakuwahi kuota, kwanza kuwa hapo kwake ilikuwa ni mafanikio makubwa kabisa ktk historia yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemsikiliza James Mataragio
Nimepata insights kadhaa muhimu kuhusu EACOP

Tanzania itakua na 15% sawa na wenye mafuta Uganda

Total watajenga jumla ya kilometers 300 za barabara kama sehemu ya mradi

Total wataimarisha zaidi reli ya kati kwa kujenga depots zaidi ya 8

TRC watabeba mzigo wa Total kwa zaidi ya 80%

Tanesco watafanya Biashara kubwa sana Total na ya kudumu wakati wa ujenzi na baada ya ujenzi

Magufuli Legacy Lives


HGA was initialized in 2017 ambapo serikali ya TZ walitakiwa kupata 5% ila kwa sasa wamediscuss upya na wamekubaliana TZ nao wapate 15%. ndio maana walishindwa kusign tareh 11 april. hence wakimaliza hiyo discussion watasign ya 15%
 
We kweli mgeni na Jf, hao ulio screenshot ni UFIPA hao na bosi wao ni Zitto Kabwe huwa wanakosoa mpaka hewa ya Tanzania wakati dunia nzima hewa ni moja

Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂 😂 Unawakana ndugu zako mkuu? 🤣 Kumbe 'Judas' mko wengi bongo? Wanasema ukweli lakini ndio maana unaponda. The truth will set you free, my 'broda'... 😂
 
Hivi hii list si inasema tu kiasi cha pesa ambacho mtu anatakiwa awe nacho ili ahesabike yupo ndani ya 1% ( Super Rich ndani ya population ya Nchi flani) kwa hiyo Kenya ukiwa na Usd 20,000 wewe ni mmoja wa 1% ?

Kwa hiyo mwenye Milioni arobaini na kitu Bongo ni noma Kenya

Au??

View attachment 1760733
View attachment 1760734
Wametukanwa kwa lugha ya kichumi ila walivyo mazuzu wanashangilia, yaani Kenya ni the most poorest when comes to wealth status in the world, masikini wa mwisho wa Marekani ni tajiri mkubwa Kenya 😅
 
Mama kaiweka vizuri sana mbona? Kasema sio kwamba AirTanzania inapata hasara zinazotajwa kwenye reports, Bali yale ni madeni ilioyarithi toka AirTanzania ya zamani, maana yake kama ingeanza as fresh usingeona hayo madeni
Mbona unamlisha maneno tena
 
HGA was initialized in 2017 ambapo serikali ya TZ walitakiwa kupata 5% ila kwa sasa wamediscuss upya na wamekubaliana TZ nao wapate 15%. ndio maana walishindwa kusign tareh 11 april. hence wakimaliza hiyo discussion watasign ya 15%
Ni hatua kubwa sana na maslahi makubwa kwa taifa kupata huo usawa hasa ukizingatia asset kubwa kwa upande wetu ni ardhi tu ambayo haingeweza kuingizia taifa pato kubwa kiasi hiki hata kama tungeitumia katika uwekezaji mwingine wowote

Dr Mataragio ni walking national treasure kwenye hili la negotiations and lobbying cadre, history yake hasa elimu na uzoefu wake katika oil and gas resources au geopolitics ni wa kiwango cha kupigiwa mfano na ndio maana nilivyosikia Samia kamreplace nilishtuka sana.
 
Nimemsikiliza James Mataragio
Nimepata insights kadhaa muhimu kuhusu EACOP

✅ Tanzania itakua na 15% sawa na wenye mafuta Uganda

✅ Total watajenga jumla ya kilometers 300 za barabara kama sehemu ya mradi

✅ Total wataimarisha zaidi reli ya kati kwa kujenga depots zaidi ya 8

✅ TRC watabeba mzigo wa Total kwa zaidi ya 80%

✅ Tanesco watafanya Biashara kubwa sana Total na ya kudumu wakati wa ujenzi na baada ya ujenzi

🇹🇿🕯️ Magufuli Legacy Lives 🕯️🇹🇿



Ebu tupe madini zaidi na vipi kuhusu LNG maza naona kagusia
 
Ebu tupe madini zaidi na vipi kuhusu LNG maza naona kagusia
Ni kweli LNG ni kipaumbele cha TPDC na wapo katika hatua za ukamilishaji mda mfupi chini ya miezi 6 watasign makubaliano

LNG ni mradi mkubwa sana na wa thamani kubwa zaidi ya $30 billion hivyo unahitajika umakini wa hali ya juu japo kwa maneno yake Dr Mataragio kakiri wazi kwamba ndani ya miezi michache na wenyewe utaanza sababu wamekua na kipindi kirefu sana cha mazungumzo kwa zaidi ya miaka 6 sasa.
 
Ni kweli LNG ni kipaumbele cha TPDC na wapo katika hatua za ukamilishaji mda mfupi chini ya miezi 6 watasign makubaliano

LNG ni mradi mkubwa sana na wa thamani kubwa zaidi ya $30 billion hivyo unahitajika umakini wa hali ya juu japo kwa maneno yake Dr Mataragio kakiri wazi kwamba ndani ya miezi michache na wenyewe utaanza sababu wamekua na kipindi kirefu sana cha mazungumzo kwa zaidi ya miaka 6 sasa.
Huu mradi utatuinua sana Watz km utalenga kumsaidia mTz wa chini, hii nchi imekaa kimkakati sn yn tumshukuru Mungu kwakweli sema tatizo viongozi wazalendo tulikosa.

Wakenya oneni fursa zinavyotufuata kila kukicha, huku madini, kule mafuta, hapa gesi

Alafu eti mnataka kushindana na Tz kisa makaratasi ya GDP

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom