Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Airport inahusu ndege sio SGR. Uko sawa mkuu, au ushatoa loki?
Alafu mkipewaga ukweli na watu wa kwenyu mnaliaga sana, yaani tukitoa sisi porojo, akitoa mbongo, porojo. Nyie kubalini tu, ni hali ya maisha, msiaibike!
Tukubali nn ss kwamba mna SGR bora kuliko Tz au tukubali kwamba mna millionaire wengi kuliko Tz be specific

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Airport inahusu ndege sio SGR. Uko sawa mkuu, au ushatoa loki? 😂 😂 😂
Alafu mkipewaga ukweli na watu wa kwenyu mnaliaga sana, yaani tukitoa sisi porojo, akitoa mbongo, porojo. Nyie kubalini tu, ni hali ya maisha, msiaibike! 🤣 🤣 🤣
Sasa umepanic au 🤣🤣🤣🤣
Tuko na site preparation ya phase 5 wewe unazungumza nn mzee 👇👇👇👇
 
Airport inahusu ndege sio SGR. Uko sawa mkuu, au ushatoa loki? 😂 😂 😂
Alafu mkipewaga ukweli na watu wa kwenyu mnaliaga sana, yaani tukitoa sisi porojo, akitoa mbongo, porojo. Nyie kubalini tu, ni hali ya maisha, msiaibike! 🤣 🤣 🤣
Hii ni phase 5 na tayar 15% washalipwa by local funds 🤣🤣🤣👇👇👇 341km

 
ndivyo nilivyoelewa.. kwahio hata mim nipo
Hii hapa ya kidunia, we unafikiria knightfrank hutumia data za kimagumashi..
Wale wki rank wanaenda kidunia mzee baba, tena hyo ni as per 2018..
Watanzania hampo bana katika hyo list likija swala la kidunia
20210422_234245.jpg
 
Leta ushahidi huo na mm nautaka
2019 ilikua from 60 to 70 yani usitake upende usipende mwezi wa nane bullet electric train ya kwanza africa mashariki inaanza kazi na trust me hutazuia kitu mzee wa dollar millionares
Yameisha, manake sitaki ubishi na wewe kwa leo..lkn kila nikikumbuka huaga nachema sana..2019 80% 2021 91%
 
Yameisha, manake sitaki ubishi na wewe kwa leo..lkn kila nikikumbuka huaga nachema sana..2019 80% 2021 91%
Umepanic mwezi wa nane utashuhudia treni ya kwanza aina ya bullet africa yenye viwangi vya kimataifa🤣🤣👇👇 karibuni sana
F4EF26E6-833D-481B-A2A6-19168945C738.jpeg
 
Wacha mambo ya 2010, kipindi hicho matajiri wengi Tz walikuwa hawamo kwenye database walikuwa wanaogopa kukatwa kodi, Magu alipoingia mambo hayo yakapungua kwa kiasi kikubwa na ndiyo maana ukaona tumewapiga gap takatifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ona hili zuka, matajiri wakati wa magu si ndio wakati wameingiwa na woga zaidi hata wengine kukimbia nchi kisa wanaogopa kuwekeza
 
Wee fanya hivi, ukipata kasafari pita hapa JKIA kwanza, ndio uzame kwa wakali kule. La sivyo ubaki kwenyu! 🤣
Usipanic tulia mzee shirika lina ndege tatu chakavu miaka 40 alaf munauliza loss ya 333m usd 😅😅😅😅 hio hela inaweza nunua dream liner mpya na cessna caravan 30 na change ikabaki
 
Hiyo pdf ninayo tangu January.
Ina ukubwa wa mb 8 na ina pages 86 kama sijakosea.

Nadhani ungemuuliza yule mkunya mwenzako aliyeshindwa kucopy link iliyo beba hiyo attachment kuwa alisoma shule gani.

Sijaona mkenya wa kunizidi akili humu.
Ndio maana mnapokea vichapo kila forum ya nchi zingine mnazozishobokea.
Nina uhakika hata Burundi wakiwa na forum yao watawapeni tu vichapo.

Ngoja nikufokee kwa herufi kubwa, UKINIZINGUA NAKUZINGUA PUMBAF.
Tujifunze kua 🤣🤣🤣🤣👆👆👆👆
 
Back
Top Bottom