ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Lazima mutuachie sisi 🤣🤣👇👇👇 tafuteni aliwaachia laana kwanzaBullet trains tuliwaachia nyinyi wenye kujua, sisi hatuna haraka. One step at a time! 🤣
Lazima mutuachie sisi 🤣🤣👇👇👇 tafuteni aliwaachia laana kwanzaBullet trains tuliwaachia nyinyi wenye kujua, sisi hatuna haraka. One step at a time! 🤣
Sitaki ubishi ndio manake nimeamua kufuta na kuachilia mbaliTujifunze kua![]()
June vipi, kw mli postpone lini tenaUmepanic mwezi wa nane utashuhudia treni ya kwanza aina ya bullet africa yenye viwangi vya kimataifakaribuni sanaView attachment 1760899
Kuna sehemu lazima mulilaaniwa 🤣🤣👇Bullet trains tuliwaachia nyinyi wenye kujua, sisi hatuna haraka. One step at a time! 🤣
Loss kila mtu ameipata, hata the so called 'first world' countries ka huangalii ni wewe. So kama kwenyu hamna losses zozote hii miaka miwili imepita, basi hamfai kuwa level hata ya Africa, au nasema uongo.? 😂 😂 😂Usipanic tulia mzee shirika lina ndege tatu chakavu miaka 40 alaf munauliza loss ya 333m usd 😅😅😅😅 hio hela inaweza nunua dream liner mpya na cessna caravan 30 na change ikabaki
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwamba 2020 mulikua two thousand alaf 2021 with corona and lockdown mumefika twenty thousand 😂😂Sitaki ubishi ndio manake nimeamua kufuta na kuachilia mbali
Inategemea na loss huwezi kupata loss ikafika 333m usd wakat muna ndege tatu chakavu munazomiliki alaf mutuambie kila mtu anapata loss 🤣🤣🤣 mchawi mpe mwanao amlee kwanzaLoss kila mtu ameipata, hata the so called 'first world' countries ka huangalii ni wewe. So kama kwenyu hamna losses zozote hii miaka miwili imepita, basi hamfai kuwa level hata ya Africa, au nasema uongo.? 😂 😂 😂
We siku yako itafika leo utoto kando, labda uje kistaarabu ndio nita argue na wewe..Umepanic tayarihutaki bullet train
June ni test ya kwanza itafanyika alaf august ndio safari ya kwanza kufanyika tuliza kipapa mzee 😅😅😅😅😅June vipi, kw mli postpone lini tena
Hasira za uhuru ndio unatuletea sisi 🤣🤣 akawaingiza choo cha kikeWe siku yako itafika leo utoto kando, labda uje kistaarabu ndio nita argue na wewe..
Lkn usijali, huaga nina siku zako special za kukusemesha
Hiyo bullet trains ni editing jomba, tangu huu mradi uanzishwe sijawahi sikia ati bullet trains ndo zinaja, tunazojua ni hizo SGR za diesel tu. Usilete vitu visivyokuwa, hata hapo naona 2013 ilitumika kwa kuomba kura, uongo mtupu coz nilkuwepo na hakuna kitu ka hicho aliahadi isipokuwa SGR pekee. Get your facts right kiddo! 🤣 🤣 🤣Kuna sehemu lazima mulilaaniwa 🤣🤣👇
View attachment 1760903
😂😂😂😂 nimecheka vbaya mnoHivi hii list si inasema tu kiasi cha pesa ambacho mtu anatakiwa awe nacho ili ahesabike yupo ndani ya 1% ( Super Rich ndani ya population ya Nchi flani) kwa hiyo Kenya ukiwa na Usd 20,000 wewe ni mmoja wa 1% ?
Kwa hiyo mwenye Milioni arobaini na kitu Bongo ni noma Kenya
Au??
View attachment 1760733
View attachment 1760734
Aliepost ni nani mm au kiongozi alieua kenya 🤣🤣🤣👇👇👇👇 kumbe alitumia kuomba kura hahahhaha na sasa akawaletea painted 1950s trainHiyo bullet trains ni editing jomba, tangu huu mradi uanzishwe sijawahi sikia ati bullet trains ndo zinaja, tunazojua ni hizo SGR za diesel tu. Usilete vitu visivyokuwa, hata hapo naona 2013 ilitumika kwa kuomba kura, uongo mtupu coz nilkuwepo na hakuna kitu ka hicho aliahadi isipokuwa SGR pekee. Get your facts right kiddo! 🤣 🤣 🤣
Hawa lazmia kuna sehemu walilaaniwa😂😂😂😂 nimecheka vbaya mno
Mmoja ya wanafunzi walienda south korea kusomea huyu hapa sio porojo🤣🤣👇👇Hiyo bullet trains ni editing jomba, tangu huu mradi uanzishwe sijawahi sikia ati bullet trains ndo zinaja, tunazojua ni hizo SGR za diesel tu. Usilete vitu visivyokuwa, hata hapo naona 2013 ilitumika kwa kuomba kura, uongo mtupu coz nilkuwepo na hakuna kitu ka hicho aliahadi isipokuwa SGR pekee. Get your facts right kiddo! 🤣 🤣 🤣
Na ndo nimekwambia, bakini na faida yenyu tuone itazaa nini, ka si kicheko kutuachia huku! 🤣Inategemea na loss huwezi kupata loss ikafika 333m usd wakat muna ndege tatu chakavu munazomiliki alaf mutuambie kila mtu anapata loss 🤣🤣🤣 mchawi mpe mwanao amlee kwanza
Na ndege tatu mpya mwaka huu zinaingiaNa ndo nimekwambia, bakini na faida yenyu tuone itazaa nini, ka si kicheko kutuachia huku! 🤣
August mwaka huu huu, na isipofanyika utatoka jf sio ama?June ni test ya kwanza itafanyika alaf august ndio safari ya kwanza kufanyika tuliza kipapa mzee![]()
Asilimia 100% mark my wordsAugust mwaka huu huu, na isipofanyika utatoka jf sio ama?