Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uhuru n Umoja, aka former missionary, Rais Samia Hassan ana ujumbe kwa Watengeneza propaganda kama wewe. Especially kuhusu kifo cha Magufuli. Wewe si Ndio ulikuwa unasema alikuwa assasinated?

 
Mwambie apost link iliyobeba hiyo attachment (pdf)
Sijui nyinyi wabongo mlienda shule gani, yani hata link yenu yenyewe hamuielewi? Ebu fungua link na udownload report wee kilaza.






1619105419841.png
 

Attachments

  • 1.PNG
    1.PNG
    36.9 KB · Views: 7
Yani hapa huu mwandiko ndo umejidhihirisha kabisa ya kwamba wewe ni Choice Variable, sasa kwnn huwa unajifanya kuongea kama Mkenya? Kwnn unakuwa mtumwa wa fikra za watu? Kama kitu hukipendi weka wazi hukipendi na mtu atake asitake atalazimika kukuelewa lkn co kujifanya Mkenya eti unabadili mpk lugha aisee yn wewe ni mpumbavu sn.

Naton Jr kuja uone choice variable nmemdaka mchana kweupe

Dah we jamaa Naton Jr kweli una macho, alafu kawaida ya jamaa akishastukiwa ss anaunganisha ID yani anakuwa ndio yule yule choice variable

Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅 Mimi napenda tu jinsi anavyokua lunatic mpaka leo yaani hiyo ndio furaha yangu kuona JPM anavyonitesea pimbi mmoja japo yupo kaburini 😅😅


Huyu jamaa inaonekana alikua notorious sana kwenye eneo alimodunguliwa na Magu sababu sio kwa ukichaa huu 😅😅😅

Sasa kuna kima mwingine tena anajiita Kim Dawizzy 😅😅 amini nikuambiayo huyu kima ni oneflash typically yaani 😅😅😅 file lake nimelifunga juzi, yaani humu ndani kuna vituko asikuambie mtu ila cha huyu choice variable ndio komesha 😅😅😅
 
Mama kaiweka vizuri sana mbona? Kasema sio kwamba AirTanzania inapata hasara zinazotajwa kwenye reports, Bali yale ni madeni ilioyarithi toka AirTanzania ya zamani, maana yake kama ingeanza as fresh usingeona hayo madeni
Wapotoshaji wengii hivi kiswahili kimekuwa kigumu namna hii!? BTW mama kahaidi kupunguza kodi kwa shirika letu la ndege kama nchi nyingine zinavyofanya na kutafuta namna ya kulipa madeni yaliyorithiwa kabla ya ununuzi wa ndege! Plan ya expansion Air Tanzania ipo palepale!


 
Sijui nyinyi wabongo mlienda shule gani, yani hata link yenu yenyewe hamuielewi? Ebu fungua link na udownload report wee kilaza.






View attachment 1760601
Hiyo pdf ninayo tangu January.
Ina ukubwa wa mb 8 na ina pages 86 kama sijakosea.

Nadhani ungemuuliza yule mkunya mwenzako aliyeshindwa kucopy link iliyo beba hiyo attachment kuwa alisoma shule gani.

Sijaona mkenya wa kunizidi akili humu.
Ndio maana mnapokea vichapo kila forum ya nchi zingine mnazozishobokea.
Nina uhakika hata Burundi wakiwa na forum yao watawapeni tu vichapo.

Ngoja nikufokee kwa herufi kubwa, UKINIZINGUA NAKUZINGUA PUMBAF.
 
Alright. Tu-reason kwa kila point uliyowasilisha.

1. “Report ile ndio alikua apokee Magufuli, je ndio kind ya report angeletewa na CAG? NO”

You have said No. Why? My guess is because most of the information contained in that report stands against many of the projects initiated by Magufuli, it also falsifies some of Magufuli’s facts, and, to a certain extent, it destroys Magufuli’s reputation and legacy.

So, Yes. I personally believe that that report would not have been released had Magufuli still been alive.

2. “Maana hata wewe umedai kua ufisadi ulikua ukifanyika gizani, let me say "could be" - meaning, CAG alikua akificha kwakua walikua wanamwogopa”

Okay, unavyosema kuwa walikuwa “wanamuogopa” moja kwa moja unamaanisha kuwa Magufuli alikuwa aki- perpetuate ufisadi, sio? Na kama ni kweli, huoni position yake kama rais mkali na asiye-exercise transparency ilitengeneza opportunity ya ku-influence hata ofisi ya CAG kuchapisha taarifa zisizo za kweli?

3. “Sasa woga uliisha lini? Maana report mpaka March mwanzoni ilikua tayari”

Hapa Ndio amendment inaingia, sio?
Hata kama tuki-reason bila bias yoyote bado jibu litakuwa enigmatic. Je kama CAG alikuwa anachapisha report za kweli kwa siri? Maana Kawaida kama unataka ku-fabricate data za kitu inabidi uwe na real information. Because your “fabricated” data still needs to look as real as possible! Kwa hiyo, hata Kama CAG alihofia kutoa information za kweli, bado alizifahamu. Kumbuka Magufuli Alimfukuza Profesa Assad na kumpeleka Kichere! Ninaweza nisifahamu sababu ilikuwa nini lakini Kwa mtazamo wangu Assad ni mtaalamu na ni muungwana. Yawezekana alitaka kuchapisha ukweli na akakatazwa. Na kutokana na uungwana wake, kazi Ikamshinda. Na Ndipo nafasi ya Kichere ikapatikana. Perhaps, Kichere alikuwa na hofu kubwa. Au aliwekwa kwasababu hakuwa mtu wa ku-question. Of course, this is just a theory. Labda pia nilichoandika ni uongo kabisa. Lakini ni speculation Kama idea yako ya amendment.

Honestly, hii information uliyonipa sio proof. Ni detective work na unakuja na kila aina ya theory ili u-support argument zako. Proof itakayonifanya nikuamini ni kama utapata hiyo repoti original ambayo haikuwa amended tuone contents zake.

“So, Yes. I personally believe that that report would not have been released had Magufuli still been alive.”

“Of course, this is just a theory. Lakini ni speculation Kama idea yako ya amendment.”

Mpaka hapa, nidhahiri kabisa, hata wewe wajua report ile CAG asingemkabidhi Magufuli, kwa maana nyingine, report hii ya CAG ni report mbadala kama neno kuchakachuliwa or amended hulipendi.

Kwakua report ilikua tayari tangu march, ilikua inasubiriwa tu date ikabidhiwe kwa Magufuli, hata wewe unakiri kabisa report aliyokabidhuiwa Suluhu sio report angekabidhiwa Magufuli.

That means, kuna reports mbili ambayo aliyokua ready kukabidhiwa Magufuli na hii mpya aliokabidhiwa Suluhu.

~ ~ Mine is never a theory but a LOGICAL FACT.

------------------------------------------------------------------------

“Je kama CAG alikuwa anachapisha report za kweli kwa siri?”

CAG ni mkuu wa taasisi, hafanyi hizi mambo peke yake, yeye ni mkuu tu wa taasisi ile, na kama hujui, tangu miaka ya 1970 baada ya failure za coups kadhaa, usalama wa taifa walibadili gia na kuakikisha TISS agent wako kwenye kila kona ya public sphere.

Ni ngumu kwa yeye kufanya hivyo isijulikane, kaka.

---------------------------------------------------------------------------
”Kwa mtazamo wangu Assad ni mtaalamu na ni muungwana”

Nitaongelea hili kwa ufupi tu, sitaki kwenda in details hapa.

Assad ni mfuasi wa kundi kubwa la “wadini”, kundi hili linaongozwa na Ramadhan Dau, mfuasi mwingine wa kundi hili ni Mzee Mohamed.

Nitaishia hapa kuhusu Assad na kundi hili.
 
Wapotoshaji wengii hivi kiswahili kimekuwa kigumu namna hii!? BTW mama kahaidi kupunguza kodi kwa shirika letu la ndege kama nchi nyingine zinavyofanya na kutafuta namna ya kulipa madeni yaliyorithiwa kabla ya ununuzi wa ndege! Plan ya expansion Air Tanzania ipo palepale!



Mama ni msikivu, juzi mh Zungu alishauri hili bungeni
 
Nimemsikiliza James Mataragio
Nimepata insights kadhaa muhimu kuhusu EACOP

✅ Tanzania itakua na 15% sawa na wenye mafuta Uganda

✅ Total watajenga jumla ya kilometers 300 za barabara kama sehemu ya mradi

✅ Total wataimarisha zaidi reli ya kati kwa kujenga depots zaidi ya 8

✅ TRC watabeba mzigo wa Total kwa zaidi ya 80%

✅ Tanesco watafanya Biashara kubwa sana Total na ya kudumu wakati wa ujenzi na baada ya ujenzi

🇹🇿🕯️ Magufuli Legacy Lives 🕯️🇹🇿


 
Back
Top Bottom