Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bibie kiswahili chako kina improve siku hadi siku,ukishakijua sawa sawa sasa utakavyowaringia mungiki wenzio!
Wenzenu wachuuzi wa gikomba kutoka tanzania wanaishi kw slums, madanguro yenu yaliyotokea hko yaniashi slum areas..

Narudia tena, mtanzania wa kawaida maisha ya kenya hayamudu hata kwa chembe we ukitaka lia sasa
 
Ila ukweli usemwe TBC na hasa Rioba a me play part kubwa sana kwenye kuchochea uzalendo wa Tanzania toka JPM amuweke pale, contents za tbc zimekua ni tanuru la uzalendo mwanzo mwisho

Rafiki yangu wa Tanzania Mpya program ya TBC atakua defeated sana na hili zahama lililotukuta wazalendo

Asante kwa hii taarifa nzuri lazima niwe online wakati huo, nitavunja ratiba zote.
Well said mkuu. Ila sijakusoma kwenye hiyo aya ya katikati. Naomba unifafanulie kidogo twende sawa.

Ila nina hofu Rioba anaweza kukatwa mabega mda wowote. Itambidi apunguze matumizi ya neno "mabeberu" maana hilo neno ni chukizo kwa wenye nchi ambao ninaamini pasi na shaka kuwa "they are back to business".
 
Elimu yenu mbovu sana, yani hata kusoma uelewe huwezi..we unafikiria india haina uwezo wa kujenga miundombinu km ya japan..
Uchumi wao ni mkubwa na una wawezesha, tatizo uongozi mbovu na mfumo wao no mbovu pia..

Yani unakuja kujibu kw point za kijinga sana
We jamaa ujinga wako wa kijinga sana. Unasema wanaweza ila tatizo mfumo mbovu! Sasa wanaweza nini hapo! . Unaona sasa? Sasa hapo fananisha GDP yenu na hicho ulichoandika halafu uniambie mwenyewe. Shule ulipigwa ada wewe.
 
Kwn uliambiwa GDP ndio maendeleo, nyie kweli mabwege..
GDP pia ina umihimu wake katika nchi, nyie km hamtaki tueni.
Please ask those goons to show you anywhere that Tanzania has been ranked ahead of Kenya in terms of development, I'm waiting for their answer.
 
Came across this online. Why do governments have to lie really
EzgevvnXoAQ19pQ.jpg
EzgevvnXoAQ19pQ.jpg


EzgevvyX0AA8Nxv.jpg
 
What about the welfare of the citizens?
There are countries with largest GDP, but poor citizens wellbeing.
E.g Nigeria vs Botswana. USA vs Sweden etc
Ok let's compare Kenya Vs Tanzania
1. Kenyans have the ability to save their money in banks. Watanzania wanaficha pesa zao chini ya kitanda.
2. Kenyan kids have better education environment and every year their is 100% post primary transition. Tanzanians kids drop out of schools every year in thousands due to lack of teachers and classes.
3. More than 7.6M kenyan households enjoys electricity compared with only 2.7M Tanzanians despite Tanzania having huge population.
4. Close to Half of Kenyans are insured, less than 1% of Tanzanians are insured.
5. Kenyans enjoy longer paved road network of high quality while Tanzanians have only 12,000km of poor quality road network in their country.
6. Working Kenyans are paid more money compared to their counterparts in Tanzania.
7. Kenyans have better healthcare compared to Tanzanians and that's why most Tanzanians wenye wanajiweza are crossing over to be treated in Kenya.
8. Higher percentage of Tanzanians are poor compared to Kenyans.
 
MAJOR RETAILERS;
1-Toyota East Africa/Toyota Kenya
2-Cooper Motor Corporation
3-General Motors East Africa (GMEA)
4-Simba Colt
5-DT Dobie.
6-Inchcape Kenya Ltd
7-Beiben Trucks - Nelion Trading Ltd
8-Urysia Limited
9-Transafrica Motors Ltd (FAW & IVECO)

MAJOR ASSEMBLERS;
1-Kenya Vehicle Manufacturers (KVM) - Also Assembles for Hyundai Motor Corp and Peugeot S.A.
2-General Motors East Africa (GMEA)
3-Honda Motorcycle Kenya Ltd
4-Associated Vehicle Assemblers Ltd (AVA)-Largest Assembler in Kenya) Also Assembles for Toyota (East Africa)/ Toyota Kenya Ltd (TKL)
5-TVS Motors Kenya
6-DT Dobie for Volkswagen
7-Associated Motors (AM)
8-Transafrica Motors Ltd-Mombasa (FAW & IVECO)

FUTURE ASSEMBLERS;
1-Tata Motors

LOCAL AUTOMOTIVE PLANT;
1-Mobius Motors
Kenya is currently attempting to completely build its own cars. After building its first car in the late 80's (the Nyayo Car), Kenya has a shot at the industry with Mobius Motors, which was founded in 2009. with KIBO Africa Limited, motorcycles have been rolling out from this local manufacturer.
✌️
Naona unadunga hawa watu sindano mzito kabisa. Endelea vivyo hivyo. Wajue Tanzania sio ligi ya Kenya. Wao bado wanacheza baby league.
 
Wenzenu wachuuzi wa gikomba kutoka tanzania wanaishi kw slums, madanguro yenu yaliyotokea hko yaniashi slum areas..

Narudia tena, mtanzania wa kawaida maisha ya kenya hayamudu hata kwa chembe we ukitaka lia sasa
haujaeleweka mzee ongeza sauti
 
Ok let's compare Kenya Vs Tanzania
1. Kenyans have the ability to save their money in banks. Watanzania wanaficha pesa zao chini ya kitanda.
2. Kenyan kids have better education environment and every year their is 100% post primary transition. Tanzanians kids drop out of schools every year in thousands due to lack of teachers and classes.
3. More than 7.6M kenyan households enjoys electricity compared with only 2.7M Tanzanians despite Tanzania having huge population.
4. Close to Half of Kenyans are insured, less than 1% of Tanzanians are insured.
5. Kenyans enjoy longer paved road network of high quality while Tanzanians have only 12,000km of poor quality road network in their country.
6. Working Kenyans are paid more money compared to their counterparts in Tanzania.
7. Kenyans have better healthcare compared to Tanzanians and that's why most Tanzanians wenye wanajiweza are crossing over to be treated in Kenya.
8. Higher percentage of Tanzanians are poor compared to Kenyans.
Mzee hayo masuala ya kuandika na kutafuta statistics kwenye paper. Yaimeisaidia nini Kenya kuondokana na;-
Screenshot_20210420-150425.png
 
Back
Top Bottom