Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tafadhali usiniingize kwenye propaganda zako za siasa za Tanzania. Nimeshakwambia peleka story zako kwenye vijiwe vya kahawa. Kwani wakati wa Magufuli hakukuwa na ubadhilifu wa fedha kwenye taasisi za serikali? Au ufisadi haukuonekana kwasababu ulifanyika Sirini?

Hivyo vijiwe vya kahawa mimi sivijui.

Report ya CAG ilikua amended. Mi sijawahi kuvijua or kufahamu vijiwe vya kawaha.

Wewe ni mmoja wa wana-kahawa.
 
Tafadhali usiniingize kwenye propaganda zako za siasa za Tanzania. Nimeshakwambia peleka story zako kwenye vijiwe vya kahawa. Kwani wakati wa Magufuli hakukuwa na ubadhilifu wa fedha kwenye taasisi za serikali? Au ufisadi haukuonekana kwasababu ulifanyika Sirini?

Wewe unachojua ni kile ulichofindhishwa darasani, in absence of what you acquired from learning institutions, huna za kuzaliwa nazo.

Si wengine tulikua tunasoma na kuandika kabla hatujajua shule ni nini na tulikua na umri mdogo sana.

Former missionary mimi, sivijui vijiwe vya kahawa mimi.
 
Urban planning Tanzania ni aibu!! Hii population inavyokua kwa kasi tunatengeneza hatari ya miji yetu kujaa slums. Na wizara ya ardhi Sijui inafanya kazi gani? Hii thread inatazamwa na watu wengi mno. Basi toeni suggestions za kupanga miji yetu. Huwezi jua hizi discussions zitakuwa wake up call kwa hii wizara!
ni kweli kabisa wizara ya ardhi inabidi ifanye kazi imelala sana kwenye planning @wizara ya ardhi
 
Unatumia free data alafu kelele kibaoooo
 
Wewe unachojua ni kile ulichofindhishwa darasani, in absence of what you acquired from learning institutions, huna za kuzaliwa nazo.

Si wengine tulikua tunasoma na kuandika kabla hatujajua shule ni nini na tulikua na umri mdogo sana.

Former missionary mimi, sivijui vijiwe vya kahawa mimi.
Hiki ndicho ulichoandika

“Wewe unachojua ni kile ulichofindhishwa darasani, in absence of what you acquired from learning institutions, huna za kuzaliwa nazo”

Hizi ni hasira zako tu. Hunifahamu. Kwa hiyo huzijui academic qualifications zangu and more importantly, hujui my level of intelligence.

Bla bla bla...who cares if you were a missionary? Did you retire or drop out? If you retired, you’re actually wasting your potential. Nenda kanisani kafundishe Vijana kuhusu Mungu ili waogope kuwa mafisadi in the future! Sio kutengeneza propaganda hapa JF.
 
Umepanica au ???😅😅😅😅
Barabara zenye hazina markings haziezinipea pressure hata kidogo. Huku Kenya barabara ziko marked sio kama Tz.


47fornairobi_20201127_2.jpg
 
Unatumia free data alafu kelele kibaoooo
Haha, unakula facts, unanuna. Hakuna free huku ka huna hela itakula kwako. Msipende vya bure sana, wachina waliwajulia ndo maana wakawafanyia 'maovu' yale, loh. Ka mm president wenyu, namfukuzia mbali mchina akifanya utopolo ka huo, dadeki! 🤣 🤣 🤣
 
Who amended that report? And do you have any proof?
Yeah ninayo.

Dear brother,


Tuache kubishana pasipo sababu, there is a lot to learn from you na waweza kujifunza ubaya wa ujunga wangu.

Lets be neutral na tureason kwa pamoja.

Report ile ndio alikua apokee Magufuli, je ndio kind ya report angeletewa na CAG? NO.

Maana hata wewe umedai kua ufisadi ulikua ukifanyika gizani, let me say "could be" - meaning, CAG alikua akificha kwakua walikua wanamwogopa.

Sasa woga uliisha lini? Maana report mpaka March mwanzoni ilikua tayari.

Sasa wewe huoni hapo, kuna adjustments zilifanyika kwenye report baada ya kufa??
 
Vp kushu kenya airways bado inamiliki ndege 3 chakavu 😅😅😅😅 naskia loss imefika 333m usd na hapo bado hamujasema ukweli
Kwetu kuna loss lakini kazi kama kawaida, ndio hali ya biashara. Kuna kupanda na kushuka, ukizingatia janga linalokumba dunia kwa sasa. Huko Tz naskia zimelala AIRPORT zile zenyu, hazina kazi? 😂

Screenshot_20210422_115422.jpg
 
Back
Top Bottom