Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halafu usome hapa:

Hapa leo hutoki, mpira hko kwenu wanalipwa na serekali sio..sasa mwenzako najushangaa uliongea vitu vingi na wala huna back-up kumbe..

Twende kwenye mishahara uone km utatoka ki nchi, narudia tena pia ukitaka kwenye michezo hutoboi vile vile
 
Hawa watu wajinga mno. Uwe na uchumi mkubwa:-
1. Ushindwe kulipa mishahara mizuri
2. Ushindwe kulisha watu wako
3. Ushindwe kufanya projects zako
4. Ushindwe kuajili watu wako
So many to say. Hawa watu ni wapumbavu mno.
Haya mambo mnayojadili sina know-how sana huko lakini nina haya ya kuuliza tu;
1:Tanzania, wafanyikazi wa umma wanalipwa mishahara yao vizuri na ambayo inakidhi mahitaji yao vizuri?
2:Tanzania chakula kiko kingi sana, yaani hakuna anayelia njaa. Huko ni full shibe, all day, everyday?
3:Tanzania tangu ijitambue kama nchi, projects zote zilizowahi kuwa proposed na kuwekewa bajeti na serikali kuu, zimekamilka zote, hakuna hata moja iko unfinished ama hata ilitupiliwa mbali na story yake kufifia?
4:Tanzania, vijana au hata wazee wanaojiweza kiafya, wote wana kazi, iwe private sector ama government sector, hakuna wanaoranda randa mtaani bila kazi, waliokaa vijiweni wakigoja chakula cha 'bibi'. Huko kila mtu ni kazi tu?

NB:maswali ninayo mengi ya kuuliza kuhusu Tz, sababu ni vilio ninavyoviona JF kila siku, shida inayopitiwa na mabarobaro huko, alafu hapa unaona mwingine anatoa povu kwa nchi nyingine ilhali kwao sio peponi! TAFAKARI!.
✌️
 
Haya mambo mnayojadili sina know-how sana huko lakini nina haya ya kuuliza tu;
1:Tanzania, wafanyikazi wa umma wanalipwa mishahara yao vizuri na ambayo inakidhi mahitaji yao vizuri?
2:Tanzania chakula kiko kingi sana, yaani hakuna anayelia njaa. Huko ni full shibe, all day, everyday?
3:Tanzania tangu ijitambue kama nchi, projects zote zilizowahi kuwa proposed na kuwekewa bajeti na serikali kuu, zimekamilka zote, hakuna hata moja iko unfinished ama hata ilitupiliwa mbali na story yake kufifia?
4:Tanzania, vijana au hata wazee wanaojiweza kiafya, wote wana kazi, iwe private sector ama government sector, hakuna wanaoranda randa mtaani bila kazi, waliokaa vijiweni wakigoja chakula cha 'bibi'. Huko kila mtu ni kazi tu?

NB:maswali ninayo mengi ya kuuliza kuhusu Tz, sababu sio vilio ninavyoviona JF kila siku, shida inayopitiwa na mabarobaro huko, alafu hapa unaona mwingine anatoa povu kwa nchi nyingine ilhali kwao sio peponi! TAFAKARI!.
Hahaha!!amekimbia mzee baba, yani nimepa maswali hayo akaona asepe mazee
 
Halafu usome hapa:

Oh, kwaio mchezaji akisajiliwa club za Tz, mnaona vibaya ama unadai aje, hayo ni maisha ya mchezaji anayatengeneza mwenyewe. Na sio Tz pekee wako, nchi za bara Asia, Uropa, Uarabuni na hapa hapa Afrika kwetu. So sioni ishu, ikilinganishwa na vile issue ya football imekuwa na shida ya kuingiliwa kisiasa ndio maana bado tunahitaji more improvements kuanzia Management hadi ground level. Ingekuwa wachezaji hawatoki waliko basi sahi naona wakina 'Messi' tungekuwa tunawasikia league za kwao nyumbani, sio nchi za ugenini!

NB:Zambian clubs have become a pursuit for Kenyan players who ply the Sportpesa premier league. The players prefer the MTN sponsored FAZ Zambian Super league Clubs as compared to clubs from within the country or within the East African Territory.Hawa jamaa wanalipa vizuri sahi, safari ni huko sahi, mtajipanga ka mwaona kwenyu ndio watu wanaweza kuja tu!
 
mbowe
IMG_1619041650.619067.jpg
 
Lugenzi Kabale director wa program ya Tanzania Mpya TBC, kutokana na contents zake kuzungumzia sana projects za JPM pamoja na Caliber ya JPM kwenye uzalendo na uchapa kazi nahofia kifo cha JPM kitakua pigo kubwa mno kwa upande wake na program yake.

Na kweli kumbe hata wewe umeona, katika misamiati itayoondoka na JPM ni pamoja na hilo la mabeberu na huenda hata misamiati wa wanyonge tukausahau, naomba msamiati wa uzalendo na kuchapa kazi usiguswe.
Well, nimekusoma mkuu. Let's hope mambo yataenda sawa.
 
Men don't get obsessed with a woman's looks unless you want to seduce her of which you'll simply not if she doesn't please your eye. Sio kushinda ukimpost ana Sura mbaya. Tabia ya kishoga hiyo.
Mzee wanawake wanapendeza kwaajili ya wanaume.
Anayeangalia Roho ni Mungu. Sisi wanaume tunaangalia sura na wowowo.
Sura nzuri na wowowo vinafanya mkonga wa tembo usimame.
 
Mzee wanawake wanapendeza kwaajili ya wanaume.
Anayeangakia Roho ni Mungu. Sisi wanaume tunaangalia sura na wowowo.
Sura nzuri na wowowo vinafanya mkonga wa tembo usimame.
Ila mwanaume anayeshinda akimbeza mwanamke Fulani eti ni mbovu ana shida ya kiakili kama sii shoga. Wee mwanaume mzima mwenye makende mbili kila siku unaposti picha ya mwanamke Fulani uoimbexa eti ana Sura mbaya? Umbeya was kike Huo. Bibi yako akiskia Haya atakuwacha arudi kwa wazaziwe.
 
Ila mwanaume anayeshinda akimbeza mwanamke Fulani eti ni mbovu ana shida ya kiakili kama sii shoga. Wee mwanaume mzima mwenye makende mbili kila siku unaposti picha ya mwanamke Fulani uoimbexa eti ana Sura mbaya? Umbeya was kike Huo. Bibi yako akiskia Haya atakuwacha arudi kwa wazaziwe.
Mbeya ni wewe hapo kufuatilia mwanaume au wewe ni mambo poa!?
We call a spade a spade siyo a big spoon.

Akothee sura yake ni mbovu. THIS IS THE TRUTH.
 
Mbeya ni wewe hapo kufuatilia mwanaume au wewe ni mambo poa!?
We call a spade a spade siyo a big spoon.

Akothee sura yake ni mbovu. THIS IS THE TRUTH.
Matusi ama ukweli? Mwanaume mwenye makende hufai kushinda ukigombana na wanawake Kisa Sura. Tunaweza piga banter juu ya vitu kama economy, trains, buildings, infrastructure, music, culture et al. Kama unataka kuonyesha urembo wa nchi yako, post picha za mademu wa Tz but Hili la kutusi mwanamke eti ana Sura mbaya ni ushoga maanake mashoga huona wanawake kama competition. Mwanaume wa kawaida huona mwanamke kama opportunity.
 
Matusi ama ukweli? Mwanaume mwenye makende hufai kushinda ukigombana na wanawake Kisa Sura. Tunaweza piga banter juu ya vitu kama economy, trains, buildings, infrastructure, music, culture et al. Kama unataka kuonyesha urembo wa nchi yako, post picha za mademu wa Tz but Hili la kutusi mwanamke eti ana Sura mbaya ni ushoga maanake mashoga huona wanawake kama competition. Mwanaume wa kawaida huona mwanamke kama opportunity.
This guy has got some mental issues for real.Kila siku arguments zake ni sura I don't whether sura ya mke wake au yake ndio mbovu so anaafeel kudrag jina ya Akothee kwa his own personal issues.Akothee is busy making millions for ua info.He must deal with his bitterness alone mwanaume mzima hana ata aibu nonsense!!
 
Men don't get obsessed with a woman's looks unless you want to seduce her of which you'll simply not if she doesn't please your eye. Sio kushinda ukimpost ana Sura mbaya. Tabia ya kishoga hiyo.
U don't have to argue we with some guy dealing with inferiority complex.Who knows what he deals with daily.Maybe the wife looks something like orangutan or his life is just fucked up🙂
 
Back
Top Bottom