Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tafuta ushuzi kutoka kwenye blog yao wenyewe kwamba nairobi inamillionares wengi kuliko lagos leo nimecheka sana

Umeumbuka we kubali tu wala hutikufa, manake ukiendelea hivi ndio unazidi kujishusha hadhi..
 
Huenda ikawa umeokoteza link
Tanzania hamna mishahara ya maana kutuliko wakenya, yani hapa nkm jnataka kuanzisha mjadala ambao mwisho utaukimbia..
Chagua tuanze na sector gani nikupige haraka haraka nilalae


Screenshot_20210421-232703.png
Screenshot_20210421-232824.png
Screenshot_20210421-232037.png
Screenshot_20210421-232403.png
 
Tumsamehe tu maskini huyo ni yatima wenzake wametelekeza kw sasa...
Huenda hata posho yake akakosa hapo kesho
Mimi namuacha na hizi screenshots tatu, saa hii ako na machungu kweli kweli 😂😂

Screenshot (6).png
Screenshot (3).png
Screenshot (5).png
 
Acah nimpuuze kwanza
Unipuuze mm wakat official blog imekua ya moto 🤣🤣🤣🤣 mukafkiri mutaleta hesabu za dukani hapa

Umeumbuka we kubali tu wala hutikufa, manake ukiendelea hivi ndio unazidi kujishusha hadhi..
Mm au official blog ya wenyewe 😆😆😆😆

 
Mimi namuacha na hizi screenshots tatu, saa hii ako na machungu kweli kweli 😂😂

View attachment 1759917View attachment 1759923View attachment 1759929
Mm nakuachia hii official blog moja tu ukipata huo ushuzi unitag mapema nifunge acc👇👇👇👇😂😂😂😂

 
Naomba muifanyie kazi hii official blog mukipata ushuzi munitafute 🤣🤣👇👇👇
Teargas komora096
Wazo la leo nairobi ina millionares wengi kuliko lagos 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

 
Anakwambia nairobi ina millionares wengi kuliko lagos leo nimecheka sana 🤣🤣🤣 hawa watu sijui wanalaana gani ya sifa za who is fooling who
Hawa watu wajinga mno. Uwe na uchumi mkubwa:-
1. Ushindwe kulipa mishahara mizuri
2. Ushindwe kulisha watu wako
3. Ushindwe kufanya projects zako
4. Ushindwe kuajili watu wako
So many to say. Hawa watu ni wapumbavu mno.
 
Hawa watu wajinga mno. Uwe na uchumi mkubwa:-
1. Ushindwe kulipa mishahara mizuri
2. Ushindwe kulisha watu wako
3. Ushindwe kufanya projects zako
4. Ushindwe kuajili watu wako
So many to say. Hawa watu ni wapumbavu mno.
Nchi inategemea mikopo kulipa mishahara alaf anakwambia wana millionares wengi 🤣🤣🤣🤣 yani 2020 walikua na millionarea elf mbili na 2021 corona ikafagia millionarea 912 leo wanakwambia wapo millionares elf 20

5AC418CF-6BD7-44DA-96CA-5EB1C71CE99D.jpeg


 
Hawa watu wajinga mno. Uwe na uchumi mkubwa:-
1. Ushindwe kulipa mishahara mizuri
2. Ushindwe kulisha watu wako
3. Ushindwe kufanya projects zako
4. Ushindwe kuajili watu wako
So many to say. Hawa watu ni wapumbavu mno.
Tuonyeshe sector ambayo mnalipa watu vizuri kutuliko..
Nionyeshe sehemu tanzania imelisha watu wake kule chato..
Nionyeshe sehemu kenya hakuna miradi inayoendelea..
Nionyeshe huu mwezi mumetoa ajira ngapi na mi pia nikuonyeshe

Nakusubiria mzee wa mihemko
 
Tuonyeshe sector ambayo mnalipa watu vizuri kutuliko..
Nionyeshe sehemu tanzania imelisha watu wake kule chato..
Nionyeshe sehemu kenya hakuna miradi inayoendelea..
Nionyeshe huu mwezi mumetoa ajira ngapi na mi pia nikuonyeshe

Nakusubiria mzee wa mihemko
Hivi unajua kwanini wachezaji wenu wanakikbilia Tanzania!?
Screenshot_20210421-232703.png
Screenshot_20210421-232824.png
Screenshot_20210421-232037.png
Screenshot_20210421-232403.png
 
Mzee unadhani mimi huwa natishwa!?
Nimekuuliza kwanini wachezaji wenu wanakimbilia TZ!?
We ni mpuuzi sana, mbona unaikimbia mada yetu pendwa...
Ukitaka nikuletee mishara ya watu wa rugby kenya na volleyball wa hko kwenu wataingiza hata pua unafikiria..
Wana riadha je..

Km unataka mada jibu vitu nilivyokuuliza kwanza, pia vile vile ukitaka twende kwnywe michezo hutoki pia
 
Back
Top Bottom