President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Ninakuambia andika kwa kiswahili au nenda katupe flying toilet huko kibera.I meant once its connected to the national grid, can't you see that a typo.
Ninakuambia andika kwa kiswahili au nenda katupe flying toilet huko kibera.I meant once its connected to the national grid, can't you see that a typo.
OkayAndika kwa kiswahili kizungu chako broken kiandikie hukooo!! Kibera.
Chill out you don't have to answerNinakuambia andika kwa kiswahili au nenda katupe flying toilet huko kibera.
ni noma naona ina kioo cha mbele macho mawili kama panzi




OkayMkiachana na bicycle Taxi mje tuongee
View attachment 1759552
Sasa tunapangiana cha kufanya. Are you stupid or something!?Chill out you don't have to answer
Ukiweza kuonesha speed ya internet kama hii nitakusikiliza. La sivyo nenda kagombanie usafiri.Okay
Thanks for TBT, Nairobi having more water than the day that article was published. I know you hate facts, the day Tanzania will be mentioned with Kenya in the same sentence pia usisahau kunitag tafadhali.Mzee hayo masuala ya kuandika na kutafuta statistics kwenye paper. Yaimeisaidia nini Kenya kuondokana na;-
View attachment 1759542
Does she even know what a 'typo' is??? 😂I meant once its connected to the national grid, can't you see that's a typo.
Oh, shit!!! Tuko 5G kudadadeki! 🤣 🤣 🤣Ukiweza kuonesha speed ya internet kama hii nitakusikiliza. La sivyo nenda kagombanie usafiri.View attachment 1759553
Desperation imekupeleka kwa picha za 2005😂😂Mkiachana na bicycle Taxi mje tuongee
View attachment 1759552
Hajui mwenye baiskeli, ana watoto University, ana shamba, ana nyumba yake, hiyo baiskeli tu hapo. Yeye je? 😂Po
Desperation imekupeleka kwa picha za 2005😂😂
But your phone bar is reading 0B/s😂😂🤣🤣😂🤣🤣😂Ukiweza kuonesha speed ya internet kama hii nitakusikiliza. La sivyo nenda kagombanie usafiri.View attachment 1759553
Lugenzi Kabale director wa program ya Tanzania Mpya TBC, kutokana na contents zake kuzungumzia sana projects za JPM pamoja na Caliber ya JPM kwenye uzalendo na uchapa kazi nahofia kifo cha JPM kitakua pigo kubwa mno kwa upande wake na program yake.Well said mkuu. Ila sijakusoma kwenye hiyo aya ya katikati. Naomba unifafanulie kidogo twende sawa.
Ila nina hofu Rioba anaweza kukatwa mabega mda wowote. Itambidi apunguze matumizi ya neno "mabeberu"maana hilo neno ni chukizo kwa wenye nchi ambao ninaamini pasi na shaka kuwa "they are back to business".
Do you want to see my phone bar!?But your phone bar is reading 0B/s😂😂🤣🤣😂🤣🤣😂
Kwe kwe kwe 😂😂😂😂 mobius nani kanunua na imetemgeza profit kias gan ukipata nitag😁😁😁😁😁Hivi pia wataka kulazimisha Isuzu iwe kampuni ya Kenya, loh, wee boya kweli!
Isuzu Motors Ltd, is a Japanese commercial vehicle and diesel engine manufacturing company headquartered in Tokyo. 👆😁
Amekasirika 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 siku nyingine usilete porojo huu sio uwanja wa porojo za BBi
What is all this now, where did this come from. Anyway let it rest.Ukiweza kuonesha speed ya internet kama hii nitakusikiliza. La sivyo nenda kagombanie usafiri.View attachment 1759553
Walete Benzi