Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwaka ndo huwa hauonekani kabia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka ni 2021,saa hii lazima mtoe excuses Kama zote🤣🤣😂😂

13210414_tapatalk1614606795998_jpeg_jpeg70ae8226ba676ef7a7007794e41f9a4e.jpeg
 
Useless president. Jamaa kafa kama mende Nairobi

Most stupid president. Darwin's sward winner.
Hasira zako zitasaidia nn kwamba yatazuia maendeleo tanzania ama yatarudisha miradi nyuma ama???? Magufuli ni rais wa tanzania ww anakuhusu nn ??? Anahusika nn na kenya mbona munakua wajinga na wapumbavu 😁😁😁 huyo kenyatta mlionae nchi inaibiwa kila siku 2b ksh anamaana gani kwenu
 
Sema katika watu wehu humu ndani na wewe unashika namba sasa ujiulize ripoti za millionaires tz in 2019 ni 5k+ na unakubaliana nazo alafu now eti mwaka mmoja baadae ulete source inayodai eti 2021 tz millionaires ni 2k+ .. you must be fucking crazy, 😂😂😂, unatumia matako kufkiria.? Au hicho kichwa chako ni mfuniko wa shingo, au kisoda (kizibo) cha chupa ya soda 😂😂😂
Do you know what's called currency flactuations and it's effects? Ukijua hutauliza swali za kijinga Kama hizi.
 
Kwani hi ni source ya Magufuli?😂😂🤣🤣

View attachment 1759761
Hii hapa official website ya knight frank tafuta hio page au huo ushuzi ukipata nitag 🤣🤣🤣👇👇👇👇
 
Hayawezi kweli, cc tushazoea maisha tunagusa tu imooo, hatujaja kuteseka duniani hapa tuanze kushindana ugumu wa maisha


Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahaha!!tatizo uwezo wenu ndio uko chini
Hamna cha maisha rahisi wala nini, mkenya wa kawaida bills zake za mwezi ukilinganisha na mtz basi kw hko atahesabika km ana pochi nene
 
Sema katika watu wehu humu ndani na wewe unashika namba sasa ujiulize ripoti za millionaires tz in 2019 ni 5k+ na unakubaliana nazo alafu now eti mwaka mmoja baadae ulete source inayodai eti 2021 tz millionaires ni 2k+ .. you must be fucking crazy, , unatumia matako kufkiria.? Au hicho kichwa chako ni mfuniko wa shingo, au kisoda (kizibo) cha chupa ya soda
Mkuu Tanzania kuwa na dollars millionaires wengi huwa inamuuma mnoo

Yaani ataokota chochote mitandaoni ili ajifariji.
 
Hii hapa official website ya knight frank tafuta hio page au huo ushuzi ukipata nitag
huyo jamaa kila siku huwa anaumbuka lakini hakati tamaa,,,,,hakika abarikiwe sana

huwa namcheka sana..
 
Back
Top Bottom