The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Watanzania now wanaenjoy matunda ya kubana matumizi ya kipumbavu ya pesa na ku invest kwenye miradi yenye tija kama huu, ona watu wamepumzika wanaosubiri kusafiri na wengine wametoka safari so wanapumzika bure kabisa huku wakila upepo natural.
Zamani ilikuwa ukifika Ubungo unaanza kukutana na vumbi pamoja na harufu ya choo ukiwa nje, so ukiingia ndani hurembi Fasta umeamsha, kwanza sehemu ya kupumzika hamna lkn ona leo watu walivyojinafasi, alafu eneo kubwa halina watu viti vingi vipo empty.
Pia kuna floor zinazofuata zipo empty kabisa, kwakifupi ni ngumu sana kuijaza Magufuli bus terminal, Magu huyu dah, km kweli kuna pepo basi naamini kabisa huyu mzee ataionja ata kama sio yote lkn lazima ataionja tu, Mungu mkubwa tumuombee iwe hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani ilikuwa ukifika Ubungo unaanza kukutana na vumbi pamoja na harufu ya choo ukiwa nje, so ukiingia ndani hurembi Fasta umeamsha, kwanza sehemu ya kupumzika hamna lkn ona leo watu walivyojinafasi, alafu eneo kubwa halina watu viti vingi vipo empty.
Pia kuna floor zinazofuata zipo empty kabisa, kwakifupi ni ngumu sana kuijaza Magufuli bus terminal, Magu huyu dah, km kweli kuna pepo basi naamini kabisa huyu mzee ataionja ata kama sio yote lkn lazima ataionja tu, Mungu mkubwa tumuombee iwe hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app