Kheee!!tena ulisoma komenti yangu na ukaielewa kweli, hyo binti alipachikwa mimba wakati akisubiria majibu yake ya darasa la nane..
Nyumbai alisutwa sana mpka ikafikia babake kumkana na kujitenga nae hku akifikia uamuzi wa kumtelekeza..
Binti yetu amashukuru sana mamake kw kupambana naye kw hali na mali, we unafikiria naongelea story za vijiweni..hili ni swala limetukuta km wanafamilia,
Binti yetu alipambana na wala hakuacha kumuomba Mungu mamake akimfariji na kumpa maneno ya kumtia moyo..ona sasa mtoto kapiga mpka kidato cha nne akapita sai yupo chuo kikuu anakupigia computer science hku akifadhiliwa na serekali japokua baba yake mpka sasa hataki habari zake..
Sasa wewe endelea na akili zako za kizamani eti mtu akizaa hawezi ku forcus na elimu