Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa international Airport Fame continues,,karibuni Kenya hakuna Matata👏😍

FB_IMG_16186496281262324.jpg
FB_IMG_16186496493044617.jpg
 
Magu alikua jinga sana. Eti msichana akipata mimba asirudi shule? Huo ulikua uamuzi wa kitoto, kijinga na kishabiki sana.
Uamuzi ambao haukufuata sayansi.

No wonder alikufa corona kwa kulenga sayansi.

I hate magu

Suluhu ni mwanamke anafaa abadilishe huo ushuzu wa magu kuhusu elimu ya wasichana.
Kila msichana Tanzania asome ata akipata mimba akiwa darasa la nane. View attachment 1754317
Inaonekana unachokiongea haikuji wewe,

Hiv kwaakili za kawaida tu eti mtoto apate mimba azae afu arudi shule 😂😂, sasa tutakua tunafundisha watoto au wazazi.? Na alichokua anataka magufuli sio eti huyo mtoto asisome kabisa lahasha, zipo taratibu zingine za kufuata ili kwa huyo mtoto aendelee kupata haki yake ya msingi (Elimu) lakini asiendele kuwepo kwenye mfumo rasmi wa Elimu wa serikali since kuendelea kwa huyo mtoto kubaki shule kunaweza sababisha kwa namna moja au nyingine kuwaharibu wengine (watoto wa kike) huku kwenye mfumo rasmi wa Elimu ambako serikali imewekeza nguvu nyingi ili kuijenga kesho nzuri ya Tanzania yetu,kesho nzuri ya watu wetu
 
Kumbe haka ni kale kajinga choice variable, huwa wakati mwingine kanajifanya kakenya, kuna uzi kule jukwaa la siasa kaliona jamaa kaanzisha uzi wa Magu kakafikiri ni mm kisa avatar zimefanana kakaanza kumshambulia jamaa huku kanamkonect na jukwaa hili nilicheka sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni choice variable huyo kabisa, sijui Magufuli alimfanyaga nini, wakenya wanaweza kuwa hawamkubali sana Magufuli lakini hawajafika chuki ya choice variable anaejifanya mkenya, halafu alivyo mpumbavu sijui anafikiri hizi harakati zake Magufuli anaziona?

Jamaa mpumbavu sana, unakuaje na uchungu kiasi hiki kwa long decomposed substance? Kitu hata hakina feelings literally hakipo kama sio utaahira huo ni nini?
 
Kuna wanafunzi walijifungulia nyumbani pindi wapo shuleni na wakarudi kuendelea na masomo yao km kawaida hku kaacha mtoto nyumbani..

Hivi tunavyo argue hapa farhiya bint hassan yupo JKUAT(main campus) anakupigia computer science..we sema km toto lako ni zuzu hata lisipotungwa halitashika tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa elimu ya chuo ni kawaida siyo mtoto wa primary/seco mwenye miaka 14-16 adake mimba kisha aende darasani hivi unajua effect anayokuwa nayo kwa hiko kipindi,,,kiuhalisia lazima ayumbe kwenye perfomance ya masomo vinginevyo awe kaumbwa geneous......

nchi nyingi za africa hazina mifumo rafiki yenye ubora itakayomfanya mtoto atilie maanani masomo kipindi cha mimba mpaka kujifungua..
hao waliopitisha hayo mambo nchi zao tiyari zipo so protected kwenye gender ,wamejidhatiti

ACHA UPIMBI
 
Moro to makutupora project


Ni matusi makubwa kufananisha Tanzania na Kenya, yaani Kenya ukitoka kwenye centers zao wanazoziita cities and towns ni kitendo cha few seconds unaingia kwenye machaka na nyumba za nyasi

Ukiangalia hii video tena oblique photos unaona ni namna gani Tanzania tuna inclusive economy na msawazo wa living standard sio mijini sio vijijini

Morogoro to Dodoma to Singida video inaonesha maisha halisi ya mtanzania, nyumba nzuri za kisasa kabisa kubwa, mashamba makubwa yaliyosheheni mazao manono, utunzaji wa mazingira uliotukuka, amazing sceneries you may confuse with alps mountains of Switzerland though ours are the most beautiful

Tanzania ni ya kifahari sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa elimu ya chuo ni kawaida siyo mtoto wa primary/seco mwenye miaka 14-16 adake mimba kisha aende darasani hivi unajua effect anayokuwa nayo kwa hiko kipindi,,,kiuhalisia lazima ayumbe kwenye perfomance ya masomo vinginevyo awe kaumbwa geneous......

nchi nyingi za africa hazina mifumo rafiki yenye ubora itakayomfanya mtoto atilie maanani masomo kipindi cha mimba mpaka kujifungua..
hao waliopitisha hayo mambo nchi zao tiyari zipo so protected kwenye gender ,wamejidhatiti

ACHA UPIMBI
Kheee!!tena ulisoma komenti yangu na ukaielewa kweli, hyo binti alipachikwa mimba wakati akisubiria majibu yake ya darasa la nane..
Nyumbai alisutwa sana mpka ikafikia babake kumkana na kujitenga nae hku akifikia uamuzi wa kumtelekeza..

Binti yetu amashukuru sana mamake kw kupambana naye kw hali na mali, we unafikiria naongelea story za vijiweni..hili ni swala limetukuta km wanafamilia,

Binti yetu alipambana na wala hakuacha kumuomba Mungu mamake akimfariji na kumpa maneno ya kumtia moyo..ona sasa mtoto kapiga mpka kidato cha nne akapita sai yupo chuo kikuu anakupigia computer science hku akifadhiliwa na serekali japokua baba yake mpka sasa hataki habari zake..

Sasa wewe endelea na akili zako za kizamani eti mtu akizaa hawezi ku forcus na elimu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa elimu ya chuo ni kawaida siyo mtoto wa primary/seco mwenye miaka 14-16 adake mimba kisha aende darasani hivi unajua effect anayokuwa nayo kwa hiko kipindi,,,kiuhalisia lazima ayumbe kwenye perfomance ya masomo vinginevyo awe kaumbwa geneous......

nchi nyingi za africa hazina mifumo rafiki yenye ubora itakayomfanya mtoto atilie maanani masomo kipindi cha mimba mpaka kujifungua..
hao waliopitisha hayo mambo nchi zao tiyari zipo so protected kwenye gender ,wamejidhatiti

ACHA UPIMBI
Sasa nyie hamkupitisha mumejipanga kivipi, alafu ujue kenya hili swala tangia mkoloni labda lilikuwepo
 
Inaonekana unachokiongea haikuji wewe,

Hiv kwaakili za kawaida tu eti mtoto apate mimba azae afu arudi shule [emoji23][emoji23], sasa tutakua tunafundisha watoto au wazazi.? Na alichokua anataka magufuli sio eti huyo mtoto asisome kabisa lahasha, zipo taratibu zingine za kufuata ili kwa huyo mtoto aendelee kupata haki yake ya msingi (Elimu) lakini asiendele kuwepo kwenye mfumo rasmi wa Elimu wa serikali since kuendelea kwa huyo mtoto kubaki shule kunaweza sababisha kwa namna moja au nyingine kuwaharibu wengine (watoto wa kike) huku kwenye mfumo rasmi wa Elimu ambako serikali imewekeza nguvu nyingi ili kuijenga kesho nzuri ya Tanzania yetu,kesho nzuri ya watu wetu
Kwa hiyo Tanzania hakuna wazazi wanasoma?

Ukipata mtoto ata na 30 years na wewe ni mwanafunzi huwezi rudi shuleni?

Magufuli na wewe mna shida ya ubongo.

Uzazi hauna miaka
 
Back
Top Bottom