Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alaf swali la kujiuliza magufuli anawahusu nn wakenya hilo ndio swali muhimu zaidi, na kama hawahusu kwann wanamchukia jibu ni moja tu, wanaona wivu kuona tanzania imefanikiwa pakubwa sana kwenye wakati wake na kawabana sana hasa kwenye madini ya tanzanite
Unawakumbuka wale washikaji ambao wakimpenda demu halafu wakishindwa kumpata huyo demu wanaanza kumponda huyo demu?
Kupitia huu mfano utagundua kwanini wanamchukia.
 
Kwn nyie ndio mumeanza kuvifanya sai hvo
Alafu ukumbuke bado madudu yamejaa km sisimizi vile, nianze sai kukupa
Hahahaha asante kwa kukubali kwamba JPM was beast kwamba umekubali hayo yote aliyafanya ndani ya kipindi kifupi cha uongozi wake sasa na wewe tuambie Uhunye kafanya nini kwa miaka yote aliyoishi kwenye hiyo ikulu kibanda umiza[emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji382][emoji382][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji3545][emoji3545]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
8CA7AFFC-A2B9-4077-98F7-944F796235EA.jpeg
 
Mwezi wa nane funga safari uje ushuhudie treni ya kwanza east africa ya umeme aina ya bullet from south korea ikichanja mbunga kaa tayari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We mpuuzi nini, njoo mombasa bwege wewe nikupigishe deki alafu usonde
 
Mwezi wa nane funga safari uje ushuhudie treni ya kwanza east africa ya umeme aina ya bullet from south korea ikichanja mbunga kaa tayari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni lini, emu mlitoa oda lini?
 
Hahahaha asante kwa kukubali kwamba JPM was beast kwamba umekubali hayo yote aliyafanya ndani ya kipindi kifupi cha uongozi wake sasa na wewe tuambie Uhunye kafanya nini kwa miaka yote aliyoishi kwenye hiyo ikulu kibanda umiza[emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji382][emoji382][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji3545][emoji3545]

Sent using Jamii Forums mobile app
Viko wapi au ni madudu tu ndio amejaza, sisi tulivifanya 80s kw taarifa yako
 
Hyo peinter maintanance & repair ilikua inakula hela ngapi nayo, CAG tujuze
CAG anasema Tsh10b kurepair printer ya JPM. Rais alikua na kazi nyingi anaprint[emoji23][emoji23][emoji23][emoji88][emoji88][emoji382][emoji382]
 
CAG anasema Tsh10b kurepair printer ya JPM. Rais alikua na kazi nyingi anaprint[emoji23][emoji23][emoji23][emoji88][emoji88][emoji382][emoji382]
Nitag ukipata kasema, magufuli kakunyima usingizi miaka 6 ukifkiri mambo yatayumba hahahaha huyu mama ndio mutakoma nae
 
Back
Top Bottom