Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hilo daraja la main highway liko wapi? Muache ujinga wakati mwingine muelewe kilichoolezwa na CAG, TANROADS hawana mradi wa kujenga hiyo underpass kuepusha foleni inayosemwa na amesisitiza uanzishwe! kama mradi wa underpass upo leta evidence! Na usilete pedestrian overpass!
Mimi ninafuatilia huu mjadala bila kujiumiza kichwa changu, wacha tu kila mtu atapike kile anachokitaka, kipindi hiki ni kipindi cha mihemuko, utapata shida sana kueleweka kwa sasa.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Then i guess we shouldn't believe any body then... kwaio ata mama samia na yeye anaweza akawa anatudanganya..CAG anaweza akawa anapika hizo repoti... si ndo hvyo? Broo stfu unaboa kiukweli.

Kwenye stendi yenyewe ya magu huja fika lakini bado ume amua kuegemea upande wa CAG...tukisema na wewe upo bias uta kata? Swali ni moja pamoja na kujua Jpm hakua mkamilifu do you belive alikua ana taka hii nchi iende pabaya? Navitu vyote hv alivyo fanya vilikua havina umuhimu kwenye hii nchi in a long run?

Yani ukiangalia ata kwenye ndege we all know kupata losses ilikua inevitable. Bado company ni mpya. Na ukijumuisha na huu ugonjwa it's worse lakikini bado watu wanajitoa ufahamu. Kwaio walitaka tusiwe na ndege? Aya wata sema tunge iekeza hiyo hela sehemu nyingine, ni sector gani magofuli hakugusa apa tanzania? Tuwe wakweli tu.

We jama angu unataka kujikuta intellect on how to receive things n how to articulate them lakini common logic na utashi ndo inayo kushinda.

Ndo tuna waita vibendera nyie. Kila kitu anacho ambiwa ye sawa tu.. hu angali outside the box. Hutumi utashi ulio pewa na Mungu.
You STFU! There is no “we” in this. “We shOulDn’T beLiEvE aNyBoDy” and you go on to defend your biased beliefs! What an idiot!

From the beginning I said that I always supported magufuli’s efforts, however, there were things that he did that I never supported. I have the freedom to express my views even if they do not align with yours! So save your breath and keep your shallow thoughts to yourself!

Unasema kuwa ununuzi wa ndege shirika jipya tutegemee losses right? Magufuli aliwahi kusema ATCL inatengeneza losses? As a matter of fact, he once tweeted that ATCL made billions in profits! There was never honesty and transparency!

Also, I never started the topic about Mbezi Louis bus terminal. It was brought up by someone I was arguing with and since I do not like to participate in arguments that involve topics I’m not familiar with, I decided to tell him to ask someone else.
 
Magufuli Ameumiza Maelf ya Watanzania
magufuli Ameliza Maelf ya Watanzania
Magufuli Amesononesha Maelf ya Watanzania
Eti leo wanaona hajafanya kitu
mfe muone Kama hamta liliwa na ndugu zenu na matumbo yenu pekee.
Madaraja,Flyover,Mahospital,Barabara,Nidhamu,Stand kila kona.
Uzalendo wake
Mtanzania gani hana macho, Kafa eti anaonekana Hana jema
Kifo cha Magufuli kimetuliza Watanzania na Sioni Kiongozi Kwa Karne hii Atatuliza hivyo
pumzika Mzee Nimeelewa kwanini Ulisema Tukuombee
Mashetani ulikuwa nayo Mfukoni mwako leo ndio yamejitokeza!!
Rais wangu ni Magufuli Milele nitakukumbuka
Pumzika kwa Amani
Tunahitaji strong institutions kwa sasa.Alafu kosa kubwa alilofanya ni kutuficha kua japo anaweka juhudi bado kuna mianya ya upotevu angekua ametuzoesha habari hizi hakuna ambae angemshangaa muda huu. ..tuliaminishwa mambo ni safi sasa ndio maana tunashindwa kuelewa
 
Mkuu mimi ningependa unipe mwangaza nielewe kama Magu alikua fisadi alizifaidi vipi hizo pesa? au aliwafaidisha wengine kwa kuwafurahisha?
Na nikukumbushe kuwa Kikwete alipoingia Madarakani 2005 walitoa report za ufisadi wa Mkapa mara ana 5 star hotel South, alikua anajikusanyia pesa Uswiss n.k.
Sasa hapa kwa Magu kuipika hii report naona kama imekua ngumu kidogo maana jamaa alikua haendi kula bata nje n.k
Kuna sehemu nimeandika Magufuli alikuwa fisadi? Taasisi za serikali ndizo nilizokuwa nazungumzia. Kwenye ufisadi there is no such thing as one person! Watu wengi wanakuwa involved, hence, it’s wrong to think that one person in power was responsible for everything.
 
Hivi mkuu unakumbuka tulivokua tunasema humu ndani kuwa Raisi ajae ana kazi ngumu sana kutafuta kitu cha kufanya ili WaTZ wamuelewe? Sasa hii ndio kazi yenyewe, Ili watu wasikuone hujafanya kitu cha maana itabidi ukosoe yaliyofanywa ili utakayofanya yaonekane nayo ni ya maana aka "Wivu wa kumloga mtu badala ya kufanya bidii kumpita"
Na hii inadhihirishwa na the fact kwamba CAG kapeleka report kwenye vyombo vya habari "Silaha No.1 duniani" na unajua nani kamruhusu
Nimeelewa ulichoandika. Mimi sikuwa mfatiliaji mkubwa sana wa habari za serikali hapo nyuma. Hivi wakati wa Magufuli kulikuwa na CAG report yoyote? Nahitaji kufahamu ili nisome hizo report nione ni Kwanini Rais Hassan Afanye ubatili wa report za CAG kujitengenezea reputation bora huku akiivunja ile ya Magufuli.
 
Stand italeta foleni vipi wewe?? Ilivyoongelea CAG ni kuponda Stand kama mradi. Stand italetaje foleni??

Mimi nakuuliza hili swali kwakua wewe unasema italeta foleni, hutoi ufafanuzi wewe unayejua badala yake unanirifaa kwa mtu mwingine, so why ushadadie mambo usiyoyajua?
Brother, acha UONGO! Naomba unionyeshe ushahidi kuwa niliandika sehemu kwamba Stendi inaleta foleni.
 
Hili group la Kina Kikwete halijaanza leo fitna juu ya baadhi ya viongozi na ni kundi ndani ya CCM linalotaka kuongoza lenyewe kila kona wakati hawana weledi wa uongozi.

2005 tulitakiwa tupate kiongozi Mzuri sana na group lakina Kikwete likiwa na backup ya Group la Lowassa wakamfitini sana na kumtuharibia Tanzania kumpata kiongozi wa hali ya juuu, Dr. Salim Ahmed Salim.

2015 CCM nusura imfie Kikwete nduio kuwealeta wakina Magufuli na kumtosa Lowassa jambo lillilopelekea wawili hawa kuwa mahasimu wakubwa.

Kwakua Lowassa na Kikwete hawaendi na Magufuli alimwalika Lowassa tena CCM, sikia kauli ya Lowassa kuhusu swala hili, kama ataongea.


MY TAKE:
"Kinachofuata sasa, baada ya hii report ya kupika, ni kuwatoa mawaziri karibia wote waliokua wakifanya na Magufuli kwa bunge kumkalia kooni Waziri mkuu ajiuzuru, ili kwenye cabinet ya Mawaziri wapya, wakina Nape, Makamba ndio waingie.

Mama na kundi lake waliona kuwatosa wote watu wangewashangaa, so wakapika hii kitu, kumtoa Waziri mkuu then mawaziri wote ili wale wa kundi lile waingie."
Sawa. Time will tell. Tukae tuone kama hizi theories zako zitakuwa proved right. And you never answered my question about your sources.
 
Hata kama unavyosema ni ukweli kwamba tumezuia mahindi yenu kuingia Kenya bado hainiingi kichwani vipi nyinyi mumeamua kuzuia kila kitu kuingia TZ. Yaani angalau sisi tulizuia mahindi pekee. So wewe unaona kama mko proportional kweli au mnaleta utoto na ubabe?
Sasa ww mlitaka tufanye nini?
 
Mimi kuna watu siwaelewi kabisa. Siko biased whatsoever lakini kila mtu anayepingana na hoja zangu yupo biased. Nina appreciate na kuzitambua juhudi za Magufuli na ninajitahidi kulisema Hilo kwenye karibu kila post yangu. Lakini hakuna mwanadamu MKAMILIFU! Nitafutieni mkimpata mniletee! Hata wakati wa Kikwete kulikuwa kuna figisufigisu nyingi hasa za ufisadi lakini hayupo mtu humu wa kuniambia kuwa utawala wa kikwete haukuwa na mazuri yake. Watanzania wengi tupo kama ng’ombe wanaoelekea machinjoni! Doomed! Vichwa vyetu viko chini na akili zetu zimezorota kwasababu tunaangalia mema tu ya viongozi wetu na kutosheka as if hakuna room ya improvement! Nilichogundua ni kuwa mtu yeyote atakayemkosoa Magufuli Kwa jambo lolote anaonekana msaliti, mpinzani au hata supporter wa wanaharakati kama Kigogo lakini si kweli. Wengine hatuko short sighted! Tunaona Uzuri wa kiongozi lakini pia tunaona kama kuna tatizo Fulani linalotakiwa Kutatuliwa kwenye uongozi wake!
 
If people have different views and opinion in Tanzania you call it division, when it happens in Kenya you call it freedom of expression and free society, hovyo kabisa wewe.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
And where did a call it freedom of expression in Kenya? Whatever I said is a universal fact. Its not always me Vs you.....calm your titties!!!
 
Back
Top Bottom