Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Saa hii Kenya inapigana na UK. Hao sio marafiki zetu.
ASA nyie mnapigana na UK kwa lipi? Labda kwa mfano🙂 Mnawaitaji UK mara Mia Zaid ya wanavyowategemea nyinyi hapo wazee wa kujipendekeza😏
 
Juhudi za magufuli leo zinatimia 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

4D6C82F3-AEE1-4EDE-8F1B-A37F2E6D5D6F.jpeg
436861CB-67C6-4D67-9B39-E1B7551ADB73.jpeg
 
Yaani majirani mumeamua kua huu mwaka lazima mupelekaneni na wakenya head to head kwa huu ugonjwa..naona mwataka kuchukua kikombe kwenye hili ligi..
1617999274065.png
1617999346561.png
 
Back
Top Bottom