kikihboy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,812
- 3,168
Utajua hujui,,BRT project is real in Kenya,Mnachora mistari ya BRT au co? Vp petition nawe umehusika? Alafu hii petition mngestuka mapema sizani km mngekuwa na huyu tembo mweupe![]()
Utajua hujui,,BRT project is real in Kenya,Mnachora mistari ya BRT au co? Vp petition nawe umehusika? Alafu hii petition mngestuka mapema sizani km mngekuwa na huyu tembo mweupe![]()
Picha tafadhali au ndio hidden BRTUtajua hujui,,BRT project is real in Kenya,


Ata wamiliki 100 yrs,,haitahama Kenya😁Kwahiyo watu wataimiliki hyo 10km kwa miaka 27 au sio![]()
Huku maskini wa mathare mkishindwa kupita kwa toll fee ya kinyonyaji, anyway gud nightAta wamiliki 100 yrs,,haitahama Kenya![]()












Hio ni optional,,if hutaweza kulipa expressway utatumia the current road na hakuna yeyote atakuliza swali😁Huku maskini wa mathare mkishindwa kupita kwa toll fee ya kinyonyaji, anyway gud night![]()
Chang'ombe iyo
Interchange ya mwenge itakuja kuwa baba yao wakae mkao wa kuliwa tuuHii Tz aliyoianzisha Magufuli co mchezo yn inakimbiza mwizi haraka haraka na co pole pole, mda hautoshi![]()
Wakenya nao wanakwambia wanajenga BRT yao inaitwa "hidden BRT" yn haionekani ikijengwa ila inajengwa, yn majengo na expressway vinaonekana vikijengwa ila brt haionekani lkn mtaiona ikiwa imekamilika![]()
inamaana itatoboa mpaka magomeni...?
Army or police sir!? What a stuff!!Ukiwa makini utaziona kwenye matukio kadha wa kadha.
Vijana wa mama SSH, utawaona nazo.
BRT ya bus au baiskeli itakua ikipita kwenye hizo narrowed Island?
Nmeskia kuna kampuni mpya inakuja na mabasi yake 300 na huyu udart anapigwa chiniWakati BongoTunajenga BRT lanes Mwaka 2015 , Hili bus ndio lilitumika kujaribishia Barabara . Na tukaambiwa yatakua haya. Lakini yakanunuliwa Mengine. So nina uhakika na hao watanunua Yatakayowafaa. Umegundua humu pia tulionyeshwa mabus wameshanunua yapo SA yameandikwa Namata?
Ona MAN Bus kabla ya Jinlong.
View attachment 1746357
View attachment 1746358