Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BRT ya bus au baiskeli itakua ikipita kwenye hizo narrowed Island?
Hizo ni stations zanajengwa,, Buses zitakuwa na dedicated lanes
photo_2020-09-18_21-08-09.jpg
photo_2020-09-18_21-08-15.jpg
photo_2020-09-18_21-08-22.jpg
 
Nmeskia kuna kampuni mpya inakuja na mabasi yake 300 na huyu udart anapigwa chini

mkuu unajua gharama ya mabas 300? kampuni gan iwekeze hela kwa biashara hii? si bora afanye kusafirisha abiria mikoan?

anyway, hii biashara ya udart ikoje? serikali inafaidika vip mana miundombinu inajenga serikali
 
mkuu unajua gharama ya mabas 300? kampuni gan iwekeze hela kwa biashara hii? si bora afanye kusafirisha abiria mikoan?

anyway, hii biashara ya udart ikoje? serikali inafaidika vip mana miundombinu inajenga serikali
Udart kafeli Sanaa mabasi machache sana ndio maana kuna hatihati kuongezewa mkataba
 
mkuu unajua gharama ya mabas 300? kampuni gan iwekeze hela kwa biashara hii? si bora afanye kusafirisha abiria mikoan?

anyway, hii biashara ya udart ikoje? serikali inafaidika vip mana miundombinu inajenga serikali
SerikalI inakusanya ushuru tuu kwa kila tiketi
 



Hichi kitu kinaniumizaga sana yani kati ya jirani ambaye hatuna mawasiliano naye ni msumbiji aisee
 
Mnachoogopa kusema ni kuwa Kenya ina matibabu bora kushinda nchi yoyote hapa Africa Mashariki. By the way sio kweli kwamba Tundu hakutibiwa Dodoma kwa sababu ya usalama. Hospitali ya kwanza ambayo Tundu Lissu alifikishwa ni hospitali ya Dodoma alipofanyiwa matibabu ya dharura ikiwemo kuongezewa damu na mambo mengine lakini ilipofahamika kwamba hali yake ilikuwa inazorota na kwamba alihitaji upasuaji wa hali ya juu ikabidi aletwe kwenye superpower wa eneo hili ili kufanyiwa upasuaji. Akakaa hospitalini kwa zaidi ya mwezi moja hadi akapona. Halafu mnakuja huku kuongea matope.
Matibabu bora yapi wakati wakenya wafa kwa kuharisha tu...
 
Kwani hushangai hata treni muliochukua spain treni zimetumika spain miaka 30 ndio munanunua nyinyi vyuma chakavu alaf utasema munakwenda mbele na dunia 🤣🤣🤣🤣 unasahau SGR mchina alivowafanya na ahadi hii munaikumbuka
View attachment 1746101
Ila china wana roho mbaya sana, wao wanatrains za kisasa model nyingi but wakaamua wawape kenya model ya zamani. Wangewapa hata model ya 40 years ago but wamewapa ya 60+ years ago. Hili swala nimeliona kama kumjengea nyani banda la miti
 
Ila china wana roho mbaya sana, wao wanatrains za kisasa model nyingi but wakaamua wawape kenya model ya zamani. Wangewapa hata model ya 40 years ago but wamewapa ya 60+ years ago. Hili swala nimeliona kama kumjengea nyani banda la miti
😁😁😁 na hio train waliopewa na mchina unaambiwa cost of maintenance ni moto
 
Back
Top Bottom