Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


IMG_1617810102.789323.jpg
 
Ni sawa lakini hujajibu mbona mumlete mahali ambapo matibabu hususan ya upasuaji ni mbaya? Si huwa mnasema huduma ya matibabu Kenya ni mbaya? Mbona msingempeleka Uganda basi ambako ni karibu?
Kwasababu alikua na emergency case ni lazma atafute sehemu ambayo ipo karibu kwake uganda ni mbali sana kutoka dodoma ni over 2 and ahalf hours wewe vp hukusoma geography mzee 🤣🤣🤣🤣


Wapi ni karibu naomba utumie akili ya maziwa ya mama 👇👇👇👇
721AC1CE-3F07-4015-9B18-57C475871321.jpeg
 
Mataga wa humu mpo? Tunaenda opp kabisa na the deseased Jiwe
Samia Suluhu Hassan anatokea CCM na anatekeleza ilani ile ile ya chama, kinachokufurahisha wewe ni pale anapoanza kuandaa mazingira ya wewe kumpigia kura 2025 kwa kukuambia kile unachotaka kusikia ila fahamu kwamba yale yale aliyoyaanzisha mtangulizi wake ndiyo yale yale anaenda kuyatimiza utake usitake na hakuna chama kingine kitakacho ongoza hii nchi zaidi ya CCM mpk mm na ww tutakapokuwa tumekufa km hutaki hama nchi
 
Kwasababu alikua na emergency case ni lazma atafute sehemu ambayo ipo karibu kwake uganda ni mbali sana kutoka dodoma ni over 2 and ahalf hours wewe vp hukusoma geography mzee 🤣🤣🤣🤣


Wapi ni karibu naomba utumie akili ya maziwa ya mama 👇👇👇👇
View attachment 1746022
Mnachoogopa kusema ni kuwa Kenya ina matibabu bora kushinda nchi yoyote hapa Africa Mashariki. By the way sio kweli kwamba Tundu hakutibiwa Dodoma kwa sababu ya usalama. Hospitali ya kwanza ambayo Tundu Lissu alifikishwa ni hospitali ya Dodoma alipofanyiwa matibabu ya dharura ikiwemo kuongezewa damu na mambo mengine lakini ilipofahamika kwamba hali yake ilikuwa inazorota na kwamba alihitaji upasuaji wa hali ya juu ikabidi aletwe kwenye superpower wa eneo hili ili kufanyiwa upasuaji. Akakaa hospitalini kwa zaidi ya mwezi moja hadi akapona. Halafu mnakuja huku kuongea matope.
Nairobi ni karibu zaidi kutokea Dodoma.
 
Wewe umeanza kuwa kama Geza Ulole. Umeanza kuwa addicted na habari kutoka Kenya. Unaamka asubuhi unapiga staftahi na kuanza kusearch mambo ya Kenya kwenye google.
Hvi kuna watu wakatili kama wakenya ukanda huu wa east africa hebu just be frank, na hakuna nchi wananchi ni wakarimu kama watanzania hio nakwambia wazi kabisa
 
Na pia huo ukarimu wenu sio wa ukweli. Ni ukarimu wa kujifanya. Nyie mnajulikana kuwa wanafiki
Hvi kuna watu wakatili kama wakenya ukanda huu wa east africa hebu just be frank, na hakuna nchi wananchi ni wakarimu kama watanzania hio nakwambia wazi kabisa
 
Back
Top Bottom