Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,915
- 103,782
Northlands city kazma iishe!Serikali yetu imepotea njia kwenye mambo ya kuomba omba deni. Watatupeleka pabaya.
Northlands city kazma iishe!Serikali yetu imepotea njia kwenye mambo ya kuomba omba deni. Watatupeleka pabaya.
welcome to the club hata mie nishakula bans now and then!Niliita mtu ms*nge. Nikala ban ya siku mbili. Sikujua mods huku hawapendi jina hilo.
View attachment 1745601
Cc Geza Ulole joto la jiwe
Simon
Watanzania msitumie jina hilo. Mods hawalipendi.
vinaenda Kwala ICD!
Magufuli: Mwekezaji akiwekeza, zile kazi zinazoweza kufanywa na watanzania wapewe watanzania
Samia: Mtu anawekeza mnalazimisha aweke Mtanzania, kila mwekezaji ana haki ya kuweka mtu anaemwamini yeye, kwann umlazimishe?
SA wenzetu wanapigania wafanye kama alivyokuwa anafanya Magu, ila Samia anataka kufanya kinyume chake
asee
Yaani hadi hamu ya kutembelea humu imeniishiaNaona tumeamua kuvuana nguo peupe mbele ya wageni...
Magufuli: Mwekezaji akiwekeza, zile kazi zinazoweza kufanywa na watanzania wapewe watanzania
Samia: Mtu anawekeza mnalazimisha aweke Mtanzania, kila mwekezaji ana haki ya kuweka mtu anaemwamini yeye, kwann umlazimishe?
SA wenzetu wanapigania wafanye kama alivyokuwa anafanya Magu, ila Samia anataka kufanya kinyume chake
asee
DEADJamaa anajifanya mungu-mtu sasa Kenya kamuua
bloody hell yeye



akili ndogo bhn....apo kunya kuna nini mpka aletwe Rais wa Tz? Ikiwa mbunge tu referral ni IndiaMashashola
Hizi ndio huduma bora za Afya Kenya unazojaribu kulinganisha na Tanzania?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwa hivyo Tundu Lissu alienda India wasiojulikana walipompiga marisasi?akili ndogo bhn....apo kunya kuna nini mpka aletwe Rais wa Tz? Ikiwa mbunge tu referral ni India
Lisuu ilikua lazma aje hapo kwasababu ni mpinzani hata kama ingekua odinga katungwa risasi lazma angeletwa nchi jirani kwa usalama wake kwanzaKwa hivyo Tundu Lissu alienda India wasiojulikana walipompiga marisasi?