Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What happened to mr Tony, naona kala ban nayeye
Niliita mtu ms*nge. Nikala ban ya siku mbili. Sikujua mods huku hawapendi jina hilo.

Screenshot_20210406-100844.jpg

Cc Geza Ulole joto la jiwe
Simon

Watanzania msitumie jina hilo. Mods hawalipendi.
 
Nikiangalia vizuri nahisi kama mama anaiangalia 2025 so anatengeneza mazingira kwanza ya kurudi, lazima apambane kuwafurahisha wapiga kura, na atawafurahishaje?

1. Atahakikisha pesa zinarudi mifukoni kwa kuwapa kipaumbele wafanyabishara na investors ili kivyovyote pesa irudi katika mzunguko na zijae mtaani wananchi wawe na imani naye.

2. Ataruhusu uhuru wa habari ili kutengeneza trust kwa mabeberu waweze kumsaidia mikopo ili kumalizia miradi iliyobaki cz hawezi kuruhusu pesa iingie mtaani na at the same time akafanya miradi mikubwa ni ngumu sana.

3. Kwenye kutengeneza trust kwa mabeberu ataruhusu baadhi ya mambo ambayo mtangulizi wake aliyapinga hususan katika suala zima la covid, na hata baadhi ya mikataba iliyokuwa ikiwabana waende 50% na nchi especially kwenye madini.

Hayo ni machache tu ambayo naona yanaenda kutekelezwa ili kuhakikisha anarudi 2025.

My Take: Siasa inarudisha nyuma sana maendeleo ya Afrika kwa kigezo cha democracy but hakuna namna cz tulishachelewa waafrika na kufika walipo wenzetu ni ndoto.
Nikwanin wafrika hatutak kuelew swala la democracy haliendani na level yetu ya uchumi?

Tunajidanganya na democracy tusio weza garama zake, sisemi democracy sihipendi , ni nzuri sana sababu inarudisha power kwa wana nchi lakini nivigumu sana kufanikiwa nchi za Afrika kutafuta equilibrium kati ya democracy na ukuwaji wa uchumi , Na hii inatokana na wepesi wa kugeuzwa democracy kuwa silaha ya mabeberu kupata wanacho taka, tumeona ikitumika kwa Gadafi, hata kwa marehem.

Wa Afrika tunapaswa kujiuliza nini tunataka kianze kati ya ukombozi wa uchumi au demokrasia ya kweli, Tumejaribu kufanya vyote kwa miaka isiyo pungua 50-60 sasa kwanini tusibadili mtazamo wetu kwa njia isiyo wezekana
Ukiangalia walio chagua uchumi dhidi ya democracy kiukweli wamefanikiwa sana katika angle hiyo mfano Uchina , Urusi na pia wale wote wanao shinikiza demokrasia at one point walinyonya wengine .


Afrika bado safari ndefu sanaa
 
Back
Top Bottom